Hesabu kufuzu: Nashauri wana Yanga watembee na Scientific Calculator

Hesabu kufuzu: Nashauri wana Yanga watembee na Scientific Calculator

Naona mahesabu ya Yanga yanachanganya sana katika mchakato wa kuingia robo. Hesabu zinakuwa ngumu kwa sababu sio wewe tu ushindwe inabidi na mwingine ashindwe, mara hivi na vile. Mara inabidi MC Algers ifungwe na Mazembe lakini wasiifunge Yanga

Nashauri mashabiki watembee na Calculator, sio ile ya Mangi bali ni Scientific Calculator kwa sababu hesabu zao zinahitaji matumizi ya Calculalus na Magazijuto
Ni hesabu nyepesi tu labda kwa wale wasiojua mahesabu ndio wanahitaji calculator. Angalia

1736449064661.png
 
Naona mahesabu ya Yanga yanachanganya sana katika mchakato wa kuingia robo. Hesabu zinakuwa ngumu kwa sababu sio wewe tu ushindwe inabidi na mwingine ashindwe, mara hivi na vile. Mara inabidi MC Algers ifungwe na Mazembe lakini wasiifunge Yanga

Nashauri mashabiki watembee na Calculator, sio ile ya Mangi bali ni Scientific Calculator kwa sababu hesabu zao zinahitaji matumizi ya Calculalus na Magazijuto
Kalyukulyeta imetupa mafanikio..!!
 
Naona mahesabu ya Yanga yanachanganya sana katika mchakato wa kuingia robo. Hesabu zinakuwa ngumu kwa sababu sio wewe tu ushindwe inabidi na mwingine ashindwe, mara hivi na vile. Mara inabidi MC Algers ifungwe na Mazembe lakini wasiifunge Yanga

Nashauri mashabiki watembee na Calculator, sio ile ya Mangi bali ni Scientific Calculator kwa sababu hesabu zao zinahitaji matumizi ya Calculalus na Magazijuto
Mwasibu CPA unaidharau calculator, na wakati inarahisisha muda wa kufanya mahesabu. Sasa subiri uone manufaa yake.
 
Ndugu za Wananchi, huu uzi unatakiwa ulindwe kwa gharama kubwa. Imagine nimeutafuta sana ndiyo nikaukuta umetupwa huku jalalani, na Mwasibu wetu CPA kwa lengo la kupoteza ushahidi.

adriz, Ulimakafu na Mfufua Nyuzi, tafadhali muulinde huu uzi kwa matumizi ya sasa na ya baadaye. Nilimuonya mapema Mwasibu CPA, akapuuza.
Ndugu yangu Tate Mkuu huyu Mwasibu feki CPA uchwara SUNZU BOBAN OKW ni wa kupuuzwa, hajui hata; Capital=Assets-Liabilities. Sasa yeye ni liability kwenye firm.
Naulinda uzi huu kwa gharama yoyote mkuu.
 
Back
Top Bottom