Hesabu kufuzu: Nashauri wana Yanga watembee na Scientific Calculator

Hesabu kufuzu: Nashauri wana Yanga watembee na Scientific Calculator

28b3f42234a64ee4840ae62c0cbef361.jpg
 
Mwarabu anakuja kwa Mkapa na Msudani ndio tutamfata kwao ambako na yeye ni mgeni
Miaka ile Simba tunafuzu robo fainali Kwa miaka minne mtawalia, Tulikuwa na slogan mbalimbali ikiwemo Kwa Mkapa hatoki mtu

Yanga alifanya kosa kubwa sana kuruhusu kufungwa na Wasudan pale Kwa Mkapa

Wamefanya wawe na mlima mrefu wa kuupanda
 
Miaka ile Simba tunafuzu robo fainali Kwa miaka minne mtawalia, Tulikuwa na slogan mbalimbali ikiwemo Kwa Mkapa hatoki mtu

Yanga alifanya kosa kubwa sana kuruhusu kufungwa na Wasudan pale Kwa Mkapa

Wamefanya wawe na mlima mrefu wa kuupanda
Sahihi sana kaka; Yanga ilifanya makosa sana kuipoteza ile match na Wasudan. Hakika ni matokeo ya kujutia hadi leo; mlima uliobakia mrefu sana kuupanda
 
Sahihi sana kaka; Yanga ilifanya makosa sana kuipoteza ile match na Wasudan. Hakika ni matokeo ya kujutia hadi leo; mlima uliobakia mrefu sana kuupanda
Pole zao

Kufika robo fainali watahitaji Muujiza
 
Naona mahesabu ya Yanga yanachanganya sana katika mchakato wa kuingia robo. Hesabu zinakuwa ngumu kwa sababu sio wewe tu ushindwe inabidi na mwingine ashindwe, mara hivi na vile. Mara inabidi MC Algers ifungwe na Mazembe lakini wasiifunge Yanga

Nashauri mashabiki watembee na Calculator, sio ile ya Mangi bali ni Scientific Calculator kwa sababu hesabu zao zinahitaji matumizi ya Calculalus na Magazijuto
Aaaah Mwasibu feki CPA uchwara OKW BOBAN SUNZU umerudi tena kwa mtindo mpya.
 
Na sio scientific calculator tu. Inabidi iyo scientific iwe inachora mpaka graph na kusolve probability.😁
Hizo hesabu za yanga kufuzu haiwezekani mtaitesa bure calculator, hiyo calculator ni mwendo wa ku-stack na kutetemeka kama magobole kwenye movie za Rambo
 
Yanga hana mpango wa kuangalia nani afungwe na nani.Anamchapa Al Hillal 3-1 anakuja mchapa MC Alger 3-1 habari kwisha mnaanza stori nyingine.
 
Yanga mwenyewe uwezekano wa kumfunga MC Algiers kwa mkapa ni mdogo , mwaka juzi si alikula mbili bila
 
Endeleeni kupiga hesabu za vidole. Jumamos Al Hilal anamkanda uto anafikisha pointi 13 uto anabaki na point zake 4

MC Alger anamkanda TP Mazembe anafikisha pointi 8 .
Mechi ya mwisho hata uto akimkanda Mc Alger magoli 100 hayatamsaidia Maana atafikisha pointi 7 ambazo MC Alger tayari atakuwa ameshazivuka

Biashara inaishia hapo . Uto anarudi kwenye Kazi yake maalumu tuliyoizoea (KAMATI YA MAPOKEZI)
Hizo unazofanya ni hesabu za nini?
 
img_1_1730588381369_1.jpg


Mwaka huu hakuna namna ndicho kitakacho wakuta weekend hii kwa IBENGE na Algeria watawamalizia hapa kwa mkapaaa
 
Back
Top Bottom