Kwa hiyo karatasi na peni zinatoka sana madukani!!!Siku hizi mashabiki wa Yanga wanatembea na Bunda la Rim paper na peni..... ukiwagusia tu habari za Caf wanatoa karatasi na peni wanaanza kupiga mahesabu hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo karatasi na peni zinatoka sana madukani!!!Siku hizi mashabiki wa Yanga wanatembea na Bunda la Rim paper na peni..... ukiwagusia tu habari za Caf wanatoa karatasi na peni wanaanza kupiga mahesabu hapo.
Zinatoka Mnoo nashauri kuelekea kufunguliwa shule wazazi wawahi kununua hivyo vitu mapema maana madukani vimeanza kuwa adimu.Kwa hiyo karatasi na peni zinatoka sana madukani!!!
Mhasibu hesabu rahisi hivyo unahitaji calculator? Yanga anatakiwa kushinda mechi zake mbili tu anaingia hatua inayofuata bila kujali matokeo ya wengine.Naona mahesabu ya Yanga yanachanganya sana katika mchakato wa kuingia robo. Hesabu zinakuwa ngumu kwa sababu sio wewe tu ushindwe inabidi na mwingine ashindwe, mara hivi na vile. Mara inabidi MC Algers ifungwe na Mazembe lakini wasiifunge Yanga
Nashauri mashabiki watembee na Calculator, sio ile ya Mangi bali ni Scientific Calculator kwa sababu hesabu zao zinahitaji matumizi ya Calculalus na Magazijuto
Kama Yanga akishinda mechi zake mbili hao wengine hawawezi kushinda mechi zao zote mbili. Kwasababu mechi hizo ni miongoni mwa mbili za Yanga.Na hao wengine wakishinda mechi zao 2?
Naona mahesabu ya Yanga yanachanganya sana katika mchakato wa kuingia robo. Hesabu zinakuwa ngumu kwa sababu sio wewe tu ushindwe inabidi na mwingine ashindwe, mara hivi na vile. Mara inabidi MC Algers ifungwe na Mazembe lakini wasiifunge Yanga
Nashauri mashabiki watembee na Calculator, sio ile ya Mangi bali ni Scientific Calculator kwa sababu hesabu zao zinahitaji matumizi ya Calculalus na Magazijuto
Tunaanzia na kupiga hesabu ya Bravo, tukipata point 1 tu tunafuzuLeo jumatano tunaanzia wapi na TUKI WAKI [emoji851][emoji851][emoji851]
Hata Yanga ikidroo mechi moja na kushinda moja inakwenda robo.Last game ni Yanga Vs MC Algiers Kwa Mkapa.
Hii Game Yanga anahitaj Zaid ya goal mbil atakiw ashafuzu.
Al hilal Vs Yanga. Hii game tunachukua point. 3
hiyo kalkuleta itacheza yenyewe kuwasaidia yanga?Naona mahesabu ya Yanga yanachanganya sana katika mchakato wa kuingia robo. Hesabu zinakuwa ngumu kwa sababu sio wewe tu ushindwe inabidi na mwingine ashindwe, mara hivi na vile. Mara inabidi MC Algers ifungwe na Mazembe lakini wasiifunge Yanga
Nashauri mashabiki watembee na Calculator, sio ile ya Mangi bali ni Scientific Calculator kwa sababu hesabu zao zinahitaji matumizi ya Calculalus na Magazijuto
Nami naongezea watumie zile zinazokubalika na NECTA ili kuepuka kugezelea!Naona mahesabu ya Yanga yanachanganya sana katika mchakato wa kuingia robo. Hesabu zinakuwa ngumu kwa sababu sio wewe tu ushindwe inabidi na mwingine ashindwe, mara hivi na vile. Mara inabidi MC Algers ifungwe na Mazembe lakini wasiifunge Yanga
Nashauri mashabiki watembee na Calculator, sio ile ya Mangi bali ni Scientific Calculator kwa sababu hesabu zao zinahitaji matumizi ya Calculalus na Magazijuto
Wewe sasa inabidi utembee na visodaHata Yanga ikidroo mechi moja na kushinda moja inakwenda robo.
Yanga safari hii ikiifunga Al hilal kutakuwa na uwezekano wa kuifunga mc AlgersNaona mahesabu ya Yanga yanachanganya sana katika mchakato wa kuingia robo. Hesabu zinakuwa ngumu kwa sababu sio wewe tu ushindwe inabidi na mwingine ashindwe, mara hivi na vile. Mara inabidi MC Algers ifungwe na Mazembe lakini wasiifunge Yanga
Nashauri mashabiki watembee na Calculator, sio ile ya Mangi bali ni Scientific Calculator kwa sababu hesabu zao zinahitaji matumizi ya Calculalus na Magazijuto
NdioNyinyi mkipigwa mnaenda robo si ndio?
Klabu bingwa"""..hakuna kocha mpya wa timu yoyote aliyewavusha timu hatua ya makundi katika msimu wake wa kwanza... never....""" Labda wa yanga huyu awe wa kwanza....Mbumbumbu akili zao ni ndogo wamesahau kundi A hata Mazembe ana nafasi ya kwenda robo
Gamondi ulikua na msimu wake wa ngapi alipo ivusha Yanga?Klabu bingwa"""..hakuna kocha mpya wa timu yoyote aliyewavusha timu hatua ya makundi katika msimu wake wa kwanza... never....""" Labda wa yanga huyu awe wa kwanza....
hesabu rahisi ni yanga atoke drow na al hilal halafu yanga mechi ya mwisho kwa mkapa ashinde goli 3+Wewe sasa inabidi utembee na visoda
Yanga hapo atakuwa na point 8, MCA akitoa droo na Yanga na kuifunga Mazembe atakuwa na point 9
Hesabu zinaanza kutazamiwa kesho Mc Alger vs Mazembehesabu rahisi ni yanga atoke drow na al hilal halafu yanga mechi ya mwisho kwa mkapa ashinde goli 3+
kama ilivyo kuwa mwaka jana na CR B.
Mc akishinda bado haiondoi yanga sc lazima washinde 3+ kwa mkapa na Mc.Hesabu zinaanza kutazamiwa kesho Mc Alger vs Mazembe
Wala sio lazima, kinachotakiwa Yanga ashinde mechi zake zote mbili hata ikiwa kwa goli moja moja tuMc akishinda bado haiondoi yanga sc lazima washinde 3+ kwa mkapa na Mc.
tofauti na hapo watatoka tu.