Hesabu kufuzu: Nashauri wana Yanga watembee na Scientific Calculator

Hesabu kufuzu: Nashauri wana Yanga watembee na Scientific Calculator

Naona mahesabu ya Yanga yanachanganya sana katika mchakato wa kuingia robo. Hesabu zinakuwa ngumu kwa sababu sio wewe tu ushindwe inabidi na mwingine ashindwe, mara hivi na vile. Mara inabidi MC Algers ifungwe na Mazembe lakini wasiifunge Yanga

Nashauri mashabiki watembee na Calculator, sio ile ya Mangi bali ni Scientific Calculator kwa sababu hesabu zao zinahitaji matumizi ya Calculalus na Magazijuto
bwana ee kila mtu apambane kivyake na uzuri tupo mashndano tofauti. Kwa hiyo kila mtu anahesabu zake ktk mashndano yake. Nb mashindano makubwa,mashindano magumu,timu ngumu,kufuzu kwa mbinde, na mahesabu makali.
 
IMG-20241207-WA0005.jpg
 
Hii hoja tayari washaisahau😀😄😆
Hahaha, Ndo namwambia mheshimiwa hapo, changamoto iliyopo ndo hiyo.

Unadhani kwanini mahesabu yanakuwa meengi ilihali mwanzoni ilikuwa ni kila mtu ashinde mechi zake? Ni Uwezekano wa kupata point 4 au 3 katika 6 zilizobaki ndo unaleta hizo hesabu.
 
hasibu la magazijuto na kipeuo limengurumaa mmmh grrrrr 🦁
 
Naona mahesabu ya Yanga yanachanganya sana katika mchakato wa kuingia robo. Hesabu zinakuwa ngumu kwa sababu sio wewe tu ushindwe inabidi na mwingine ashindwe, mara hivi na vile. Mara inabidi MC Algers ifungwe na Mazembe lakini wasiifunge Yanga

Nashauri mashabiki watembee na Calculator, sio ile ya Mangi bali ni Scientific Calculator kwa sababu hesabu zao zinahitaji matumizi ya Calculalus na Magazijuto
Maneno haya si mageni hapa mjini, labda uwe umefika leo..!! Mlianza na HAFIKI KRISMAS, LAKINI YULEEE TUNAMUONA ANAITAFUTA PASAKA..!!!

CC Bantu Lady
 
Naona mahesabu ya Yanga yanachanganya sana katika mchakato wa kuingia robo. Hesabu zinakuwa ngumu kwa sababu sio wewe tu ushindwe inabidi na mwingine ashindwe, mara hivi na vile. Mara inabidi MC Algers ifungwe na Mazembe lakini wasiifunge Yanga

Nashauri mashabiki watembee na Calculator, sio ile ya Mangi bali ni Scientific Calculator kwa sababu hesabu zao zinahitaji matumizi ya Calculalus na Magazijuto
Uzuri Nyuzi zako dhidi ya Yanga siku zote huwa zinakugeuka. Nina uhakika hata Simba wenzako watakuwa wanakulaumu huko Inbox kwamba kwa nini uzi huu umeufungua wewe kwanini usingempa mwingine?
 
Florent ibenge "Master tactician" anataka kuongoza kundi kwa pointi nyingi so huo mchezo na uto hawezi kulegeza uzi.

Kumbuka yanga hawatalinda na wala hawatakaa nyuma watafunguka na ibenge anapenda sana umshambulie wewe kuliko yeye akushambulie wewe.

Kumbuka uto akipigwa na ibenge imeisha.
 
Back
Top Bottom