Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Kweli anacheza na kalkuleta...Ukiona umeanza kucheza na keyboard ujue mpira umekushinda, fanya mambo mengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli anacheza na kalkuleta...Ukiona umeanza kucheza na keyboard ujue mpira umekushinda, fanya mambo mengine.
Under ceteris paribas sio😀😀😀Yanga kabakiza mechi 4.
Anatakiwa kushinda mechi 2 za nyumbani.
Anatakiwa kushinda mechi 1 ugenini.
Anatakiwa kupata sare mechi 1.
Akiwa na point 10 anaenda robo fainali.
Matokeo ya jana sio mwisho wa safari ya Yanga kwenda robo.
Pia leo aombee sana sare ya Mazembe Vs Al hilal.
Hakuna timu iliyofuzu hatua ya robo fainali wakiwa na kocha mpya...tunza hiyo.....never....labda yanga iwe ya kwanzaNaam, sio mbaya
Yanga anaweza shinda mechi tatu zilizobakia kama akikaza.Bado hesabu zinampa nafasi uto. Sema uwezo ndo bilabila