Hesabu zinambeba Dkt. Mwigulu Nchemba

Hauna pdf ya hio report
 
Kuna mtu ananiuliza hata huko WB na IMF unaweza kununua data as if zile honorable PhD ?
Ukisikia kutongozwa ndio huko:
Sisi tuliokulia kijijini tunajua vzr unampamba mwanamke ili umkule, haya mambonya hela yamekuja juzi ya kuhonga..
WB, IMF n.k ni mikono ya wazungu kutuibia hivyo wanapoaanza kukutongoza wanawatumia wanatupamba mwisho wanapita na raw material zetu kiulaiiiini.

Reflection ya uchumi haikomei makaratasi tu njoo ground watu wanaishije? Sawa inflation inasemekana imeongezeka kwa 5% . Je ni kweli ? Mchele 2022 januari uliuzwa sh ngapi na je ni kweli kuna ongezeko la 5%? Bei ya fuel ikoje, nauli za mikoani. Formula inayopima uchumi wa nchi inajumuisha nini?

Kifupi maisha yanakaza. Sisi watu wa biblia tunajua hata afanyeje Rais wetu maisha yataendelea kukaza na kukaza na kukazaaaa as long tunaelekea miisho ya dunia
 
Alishindwa elezea TRAB na TRAT nilimshusha thamani sana. Afu hizo report haandai yeye asee zinaandaliwa na vijana makini pale BOT na wizarani. Waziri anapiga simu tu anatumiwa report anaisoma.
 
Mimi ile figure ya mfumuko wa bei nakataa siyo ya kweli.Yule Mkurugenzi Mkuu wa kudumu wa NBS Nina mashaka nae sana na statistics zake,kama siyo za kupikwa basi Mungu anajua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…