njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmejinyea aisee, manara alikuwa sahihi, msimu uliopita kazi ilikuw akushangilia kwa kutingisha manyonyo kama mayele mkajipatia na jina kabisa, useless idiotstulieni mpelekewe moto ngao ya jamii,,, hao wachezaji wenu wapya wameenda misri kujiandaa wakati hawajazoea atmosphere ya bongo... ngoja waje kujionea wakitoka huko kwenye mabweni ya shule mlikoenda kuweka kambi.
Kuwakamua manyonyo hakukwepeki 😂😂😂
Karia kayakanyaga, ni kiongozi gani hivi ana ruhusa ya kutupa maneno machafu kama hayo na aitumie nguvu ya mamlaka yake kumfungia mtu aliekuwa anamrushia maneno.mmejinyea aisee, manara alikuwa sahihi, msimu uliopita kazi ilikuw akushangilia kwa kutingisha manyonyo kama mayele mkajipatia na jina kabisa, useless idiots
mbona imewauma sana issue ya waghana kujenga jukwaa kwa pesa za simba, mna wivu mkali sana unaonuka kama kinyesianyways sawa but Who cares?
sawambona imewauma sana issue ya waghana kujenga jukwaa kwa pesa za simba, mna wivu mkali sana unaonuka kama kinyesi
Ajabu sana sisi wenyewe vilabu vyetu mazoezi hufanya kwa kuhama hama viwanja.
Mayele katikisa manyonyo msimu mzima kaambulia ng'ombe tu[emoji16][emoji23][emoji28]Ngao ya jamii dozi ipo pale pale manyonyo [emoji23][emoji23]
Ni kweli lakini una majukwaa?simba wana uwanja wa mazoezi tena wa viwango vya kimataifa usijitoe ufahamu
we nawe kila kitu unataka udandieNi kweli lakini una majukwaa?
"Eti Yanga wote tuna vinyesi kwenye chupi zetu" mwisho wa kunukuu.Ngao ya jamii dozi ipo pale pale manyonyo [emoji23][emoji23]
Kwani haji manara tarehe 25/07/2022 aliposema uto wote mna vinyesi kwenye chupi zenu alikosea?Lage alivyo waita mbumbumbu hakukosea. Aya mambo muwe mnaandikiana kwenye page zeny za Simba kuficha umbumbumbu wenu sio uku kwenye watu wenye akili timamu.
Hiyo ya Haji ni part two, part one alisema "pale yanga wenye akili ni wawili tu, Jakaya na dingi"Kwani haji manara tarehe 25/07/2022 aliposema uto wote mna vinyesi kwenye chupi zenu alikosea?
Au yule legendary Luc Eymael aliposema yanga manyani,mambwa mnabweka bweka hovyo alikosea?