HESHIMA KUBWA: Jukwaa la uwanja kupewa jina la Okrah huko Ghana

HESHIMA KUBWA: Jukwaa la uwanja kupewa jina la Okrah huko Ghana

Huyu mwamba mpira anaujua sana ila ana ujinga mwingi.

Mbona siku za karibuni kumekuwa na mfululizo wa kufukua makaburi? Kama mmekosa vitu vya kujadili basi nijadilini hata mimi.
Fanya ujinga tukujadili.
 
Lage alivyo waita mbumbumbu hakukosea. Aya mambo muwe mnaandikiana kwenye page zeny za Simba kuficha umbumbumbu wenu sio uku kwenye watu wenye akili timamu.
Lage ndio nani..mbona unaandika kama.....
 
Huyu mwamba mpira anaujua sana ila ana ujinga mwingi.

Mbona siku za karibuni kumekuwa na mfululizo wa kufukua makaburi? Kama mmekosa vitu vya kujadili basi nijadilini hata mimi.
Mbona kama unamaind vitu vidogo!!
 
Back
Top Bottom