vposterior
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 732
- 1,233
Kumbe upinzani haujafa. Tofauti ni kuwa this time Lisu hakubali akiibiwa kura.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe, na nani? Isemee nafsi yako,,labda kama inamaanisha wewe nani fisadi wenzakoMrema alikuwa Ccm na mkapa hakuwa amewaonea waTz kufikia hiyo 1995
Lakini sasa basi, hatumtaki jiwe
Kura zinaibwa?Kumbe upinzani haujafa. Tofauti ni kuwa this time Lisu hakubali akiibiwa kura.
Huko Zanzibar daftari la wapiga kura kuna majina laki moja na ushee hewa hayaonekani. Sasa kawaulize hao jamaa wa ZEC eti kura zinaibwa.Kura zinaibwa?
Ngoja nikutie akiliUchaguzi mkuu wa 1995 ulitawaliwa na mbwembwe za kila aina kuliko ule wa 2015.
Mgombea urais wa NCCR mageuzi Augustino Lyatonga Mrema alikuwa anabebwa juu juu na vijana kama mkungu wa ndizi na wengi waliamini angeibuka kidedea.
Kila alikopita Lyatonga Pwani hadi Bara shughuli zote zilisimama watu wakaenda kumsikiliza mzee wa " Siku 7"
Lakini siku ya uchaguzi aligaragazwa mapema kabisa na ndivyo itakavyokuwa kwa Tundu Antipas Lisu.
Maendeleo hayana vyama!
Sema mimi simtaki. Wengine wanamtaka sana.Mrema alikuwa Ccm na mkapa hakuwa amewaonea waTz kufikia hiyo 1995
Lakini sasa basi, hatumtaki jiwe
Mkuu unadhani kwanini magufuli analalamika kila siku,usishangae mwaka huu nyekundu ikaitwa nyekundu.usiishi kwa mazoea,Uchaguzi mkuu wa 1995 ulitawaliwa na mbwembwe za kila aina kuliko ule wa 2015.
Mgombea urais wa Nccr mageuzi Augustino Lyatonga Mrema alikuwa anabebwa juu juu na vijana kama mkungu wa ndizi na wengi waliamini angeibuka kidedea.
Kila alikopita Lyatonga Pwani hadi Bara shughuli zote zilisimama watu wakaenda kumsikiliza mzee wa " Siku 7"
Lakini siku ya uchaguzi aligaragazwa mapema kabisa na ndivyo itakavyokuwa kwa Tundu Antipas Lisu.
Maendeleo hayana vyama!
Mku kwa hali ilivyo juu ya Lisu sidhani kama alivyodai ushindi wa mezani hatakubali kurudi nyuma kama alivyojinasibu.Na hili mwanaccm mwenzangu wakati umebadilika kumbuka vuguvugu la upinzani limezidi kukua kwani Mrema na Lisu ni watu wawili tofauti kwa msimamo na kila kitu.Uchaguzi mkuu wa 1995 ulitawaliwa na mbwembwe za kila aina kuliko ule wa 2015.
Mgombea urais wa NCCR Mageuzi Augustino Lyatonga Mrema alikuwa anabebwa juu juu na vijana kama mkungu wa ndizi na wengi waliamini angeibuka kidedea.
Kila alikopita Lyatonga Pwani hadi Bara shughuli zote zilisimama watu wakaenda kumsikiliza mzee wa " Siku 7"
Lakini siku ya uchaguzi aligaragazwa mapema kabisa na ndivyo itakavyokuwa kwa Tundu Antipas Lisu.
Maendeleo hayana vyama!
Muulize magufuli alipata Kura ngapi 2015,why uandikie mate na wino upo?Kura zinaibwa?
Hakuna mtu mwenye akili nzuri anayemtaka magufuliSema mimi simtaki. Wengine wanamtaka sana.
Umeshapanic....na kufeli huanzia hapo bwashee!sasa wewe Tanzania ya 1995 unailinganisha na Tanzania ya sasa?
itoshe tu kusema umepungukiwa na akili
Koma kumfananisha Mh. Tundu Antiphas Lissu na vitu vya kijinga. Mzee wa Kiraracha alikuwa anabebwa na wafuasi wake alioambatana nao kutoka CCM na si wana mageuzi waliohangaika juani wakipigania uwepo wa demokrasia ya vyama vingi.Tulioshiriki uchaguzi mkuu wa 1995 Mkapa vs Mrema hatushangazwi na hizi mbwembwe za Tundu Lisu, lazima atafeli!
Miongoni mwa waliokuwa wakimbeba Lyatonga huyu Lisu alikuwamo!Koma kumfananisha Mh. Tundu Antiphas Lissu na vitu vya kijinga. Mzee wa Kiraracha alikuwa anabebwa na wafuasi wake alioambatana nao kutoka CCM na si wana mageuzi waliohangaika juani wakipigania uwepo wa demokrasia ya vyama vingi.
Awali akiwa CCM kabla kwa tamaa ya kuusaka Urais baada kupitia NCCR Mageuzi, kama Waziri Mkuu mdogo, aliongoza mashambulizi dhidi ya wana mageuzi yaliyowaacha wengi wakiwa vilema. Tuliopenda Mageuzi kutoka moyoni hatukuhangaika hata kujitokeza kumpigia kura.
Mh. Tundu Antiphas Lissu alianza kutetea utawala wa haki na usawa kabla ya kumaliza shule na aliendelea na harakati hizo hata kabla hajaukwaa Ubunge. Eti leo unathubutu kumfananisha na mlafi aliyewapa watu siku saba akizengea hongo kwa wafanya biashara wa kihindi, koma kabisa!
Hatumtaki Mimi na familia yangu yote ninao walisha (wapiga kura watano)Sema mimi simtaki. Wengine wanamtaka sana.
😀😀😀daahsasa wewe Tanzania ya 1995 unailinganisha na Tanzania ya sasa?
itoshe tu kusema umepungukiwa na akili
Unaishi kwa historia? LafaUchaguzi mkuu wa 1995 ulitawaliwa na mbwembwe za kila aina kuliko ule wa 2015.
Mgombea urais wa Nccr mageuzi Augustino Lyatonga Mrema alikuwa anabebwa juu juu na vijana kama mkungu wa ndizi na wengi waliamini angeibuka kidedea.
Kila alikopita Lyatonga Pwani hadi Bara shughuli zote zilisimama watu wakaenda kumsikiliza mzee wa " Siku 7"
Lakini siku ya uchaguzi aligaragazwa mapema kabisa na ndivyo itakavyokuwa kwa Tundu Antipas Lisu.
Maendeleo hayana vyama!