Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Ulikuwa hujazaliwa. Mrema alikuwa tishio zaidi ya Lowassa. Hadi leo haelewi kwanini hakushinda.Unamaanisha Tundu saivi rally aliyonayo inawiyana na Ile ya Mrema?
Wajinga pia uzeeka tupo 2020 theory za miaka 15 iliyo pita hazi ingii apa .badilikaaaa
Uchaguzi mkuu wa 1995 ulitawaliwa na mbwembwe za kila aina kuliko ule wa 2015.
Mgombea urais wa Nccr mageuzi Augustino Lyatonga Mrema alikuwa anabebwa juu juu na vijana kama mkungu wa ndizi na wengi waliamini angeibuka kidedea.
Kila alikopita Lyatonga Pwani hadi Bara shughuli zote zilisimama watu wakaenda kumsikiliza mzee wa " Siku 7"
Lakini siku ya uchaguzi aligaragazwa mapema kabisa na ndivyo itakavyokuwa kwa Tundu Antipas Lisu.
Maendeleo hayana vyama!
Subiri 28 October!Unaishi kwa historia? Lafa
Sasa hivi watu wameerevuka sana mzee... Watu wana macgungu yao... Oppressive gvt ndio mwisho wake ssaUmeshapanic....na kufeli huanzia hapo bwashee!
Subiri wewe kama pacemaker haijafyatukaSubiri 28 October!
Wa mwaka 1995 walikuwa makini zaidi!Usilinganishe Watanzania wa mwaka 1995 na wa 2020 huo ni upoyoyo
Basi wewe ndo siyo makiniWa mwaka 1995 walikuwa makini zaidi!
Uchaguzi mkuu wa 1995 ulitawaliwa na mbwembwe za kila aina kuliko ule wa 2015.
Mgombea urais wa Nccr mageuzi Augustino Lyatonga Mrema alikuwa anabebwa juu juu na vijana kama mkungu wa ndizi na wengi waliamini angeibuka kidedea.
Kila alikopita Lyatonga Pwani hadi Bara shughuli zote zilisimama watu wakaenda kumsikiliza mzee wa " Siku 7"
Lakini siku ya uchaguzi aligaragazwa mapema kabisa na ndivyo itakavyokuwa kwa Tundu Antipas Lisu.
Maendeleo hayana vyama!
if is that so,mbona mnapaniki namna hii?Mrema, lowasa pia kumbuka nguvu kubwa ya ukaskazini ilitumika kwa kuwasapoti huyu Lisu hilo halipo wala ukati hawamsaport ataambulia 3% ya kura zote zitakazo pigwa
Kwamba tunazo sheria legelege zinazo ruhusu vyama vya ukanda? na vinapewa ruzuku.Ila kiukweli Mrema angekuwa rais Ikulu ingeamia Kilimanjaro. ivi vyama vya ukanda inatakiwa vipigwe chini.
That was 1995 this is 2020 almost 25 years back, mambo yamebadilika sana kuanzia teknoloji, uelewa, tabia za watu na hata vijana wengi wanaopiga kura leo walikuwa hawajazaliwa, Mzee Mwinyi alisema kila zama na kitabu chake.Uchaguzi mkuu wa 1995 ulitawaliwa na mbwembwe za kila aina kuliko ule wa 2015.
Mgombea urais wa Nccr mageuzi Augustino Lyatonga Mrema alikuwa anabebwa juu juu na vijana kama mkungu wa ndizi na wengi waliamini angeibuka kidedea.
Kila alikopita Lyatonga Pwani hadi Bara shughuli zote zilisimama watu wakaenda kumsikiliza mzee wa " Siku 7"
Lakini siku ya uchaguzi aligaragazwa mapema kabisa na ndivyo itakavyokuwa kwa Tundu Antipas Lisu.
Maendeleo hayana vyama!
Watu wa Kanda moja wanajazana kisa kuwa na kiongozi mkuu ambae tabia yake ni ya kikandaKwamba tunazo sheria legelege zinazo ruhusu vyama vya ukanda? na vinapewa ruzuku.
Unachokili ni kwamba tunazo sheria dhaifu zinazoruhusu vitu hivyo!Watu wa Kanda moja wanajazana kisa kuwa na kiongozi mkuu ambae tabia yake ni ya kikanda