Heshima kwa Rais Samia

Heshima zingine muwe mnasuburi zinakuja. Sio kuziforce. mtaambulia matusi watu wafungiwe.
 
YESU KRISTO alukuwa na Wanafunzi 12 tu na hata kati yao walimsaliti, Huyo alikuwa masiha alileta neno La Mungu.

MTUME MOHAMMAD alikuwa na kikundi cha Maswahaba , na waumini wachache walio amini kwamba Dini ya Mtume ndio Dini ya kweli.
 
Jinsi hali ilivyo mbaya hasa maeneo ya Kijijini na hata mijini pia, Serikali inajaribu kuweka mamba sawa
Tangu 1961 tunajaribu tu?? Kwanini tusiwape nchi dp world?
- Unajiuliza utawalipaje watumishi mishahara.
Kwani pesa anatoa mfukoni mwake ama ni hizi kodi na tozo tunazolipa sisi walalahoi??
Kama kazi imekuwa ngumu kuna option ya kuachia ngazi pia, usitegemee kusifiwa kwa majukumu unayopaswa kuyafanya ingawaje ukiyafanya vyema zaidi hautakosa kupongezwa. Kwenye taifa lenye watu milioni 60 usitegemee wote wakusifie iwe kwa wema au ubaya. Chapa kazi
 
mimi tangu auze bandari na misitu yetu kwakweli heshima yangu imepungua, sitakuja kumpigia kura 2025. bora nipigie kura hata jiwe wakimshindanisha nalo. hata akitokea Bambo amegombea chama kingine nitampigia bambo au hata joti kuliko huyu mama.
[emoji1666]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…