HESLB: Hatujapunguza mikopo ya Wanafunzi. Tunatoa fedha za kujikimu kulingana na siku za masomo

HESLB: Hatujapunguza mikopo ya Wanafunzi. Tunatoa fedha za kujikimu kulingana na siku za masomo

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imefafanua kuwa inatoa mkopo kwa Wanafunzi kulingana na siku za masomo kwa kila robo ya mwaka wa masomo

Imeeleza kuwa kutokana na COVID19 siku za masomo za robo mwaka ya nne ya muhula wa masomo wa 2019/20 ambazo huwa ni 60 zimepungua kwa baadhi ya Vyuo ambapo baadhi vyuo vimebakiwa na siku 45 za masomo

Imesisitiza kuwa Wanafunzi watakaosaini wataona kwenye nyaraka zao kuwa fedha zimepungua kulingana na siku za masomo watakazokuwa nazo kuanzia Agosti 01

Aidha, Bodi imeongeza kuwa kuhusu kuwaarifu Wanafunzi juu ya suala hilo, wao wanaongea na Chuo kwa maana taarifa za Wanafunzi wanaosoma ikiwemo matokeo wanapewa na Chuo husika

Pia, mabadiliko yote ya Chuoni ikiwemo siku za masomo na mikopo, yanajadiliwa kwenye Baraza la Chuo ambapo Viongozi wa Wanafunzi wapo, hivyo kama wanafunzi hawana taarifa hizo wanatakiwa kuwauliza Viongozi wao

Kuhusu ada kulipwa yote bila kukatwa, Bodi imeeleza kuwa siku za masomo zimepungua ila muda wa masomo kwa siku umeongezeka na kufanya walimu kuendelea kufundisha kwa muda ule ule kama ambavyo siku zingekuwa hazijapungua

Baadhi ya Wanafunzi katika Vyuo mbalimbali walilalamika kukatwa fedha za mikopo (Boom) bila kupewa taarifa japokuwa wao waliingia mkataba na HESLB na pia walidai wamekatwa ‘Boom’ ila ada haijakatwa


Pia, soma HESLB: Serikali imeanza kulipa Malipo ya robo ya nne ya Mwaka wa Masomo 2019/2020 kwa Wanafunzi 132,119 Jumla ya TZS 66.9 Bilioni
 
Sasa kama muda wa kufundisha umeongezeka na kufanya waalimu kuwa na mzigo uleule na hivyo kutokukata ada, walishindwa nini kujua pia kuwa muda wa wanafunzi kukaa darasani nao umeongezeka na kufanya mzigo kuwa uleule? Hawaoni kuwa wanafunzi watahitaji nguvu ya ziada kukaa darasani muda wa ziada zaidi? Hawa wanaCCM sijui wanafundishwaga na nani kuhusu namna ya kuandaa uongo ambao haulipi.
 
Sasa kama muda wa kufundisha umeongezeka na kufanya waalimu kuwa na mzigo uleule na hivyo kutokukata ada, walishindwa nini kujua pia kuwa muda wa wanafunzi kukaa darasani nao umeongezeka na kufanya mzigo kuwa uleule? Hawaoni kuwa wanafunzi watahitaji nguvu ya ziada kukaa darasani muda wa ziada zaidi? Hawa wanaCCM sijui wanafundishwaga na nani kuhusu namna ya kuandaa uongo ambao haulipi.
So unachotaka kusema kama walikua wanakula Mara tatu kwa siku na masaa ya kusoma yameongezeka basi chakula nacho wale Mara nne au tano kwa siku si ndio???
 
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imefafanua kuwa inatoa mkopo kwa Wanafunzi kulingana na siku za masomo kwa kila robo ya mwaka wa masomo

Imeeleza kuwa kutokana na COVID19 siku za masomo za robo mwaka ya nne ya muhula wa masomo wa 2019/20 ambazo huwa ni 60 zimepungua kwa baadhi ya Vyuo ambapo baadhi vyuo vimebakiwa na siku 45 za masomo

Imesisitiza kuwa Wanafunzi watakaosaini wataona kwenye nyaraka zao kuwa fedha zimepungua kulingana na siku za masomo watakazokuwa nazo kuanzia Agosti 01

Aidha, Bodi imeongeza kuwa kuhusu kuwaarifu Wanafunzi juu ya suala hilo, wao wanaongea na Chuo kwa maana taarifa za Wanafunzi wanaosoma ikiwemo matokeo wanapewa na Chuo husika

Pia, mabadiliko yote ya Chuoni ikiwemo siku za masomo na mikopo, yanajadiliwa kwenye Baraza la Chuo ambapo Viongozi wa Wanafunzi wapo, hivyo kama wanafunzi hawana taarifa hizo wanatakiwa kuwauliza Viongozi wao

Kuhusu ada kulipwa yote bila kukatwa, Bodi imeeleza kuwa siku za masomo zimepungua ila muda wa masomo kwa siku umeongezeka na kufanya walimu kuendelea kufundisha kwa muda ule ule kama ambavyo siku zingekuwa hazijapungua

Baadhi ya Wanafunzi katika Vyuo mbalimbali walilalamika kukatwa fedha za mikopo (Boom) bila kupewa taarifa japokuwa wao waliingia mkataba na HESLB na pia walidai wamekatwa ‘Boom’ ila ada haijakatwa


Pia, soma HESLB: Serikali imeanza kulipa Malipo ya robo ya nne ya Mwaka wa Masomo 2019/2020 kwa Wanafunzi 132,119 Jumla ya TZS 66.9 Bilioni
Haya maelezo Nina shaka kama hata mwanangu wa darasa la 4 atayaelewa.
 
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imefafanua kuwa inatoa mkopo kwa Wanafunzi kulingana na siku za masomo kwa kila robo ya mwaka wa masomo

Imeeleza kuwa kutokana na COVID19 siku za masomo za robo mwaka ya nne ya muhula wa masomo wa 2019/20 ambazo huwa ni 60 zimepungua kwa baadhi ya Vyuo ambapo baadhi vyuo vimebakiwa na siku 45 za masomo

Imesisitiza kuwa Wanafunzi watakaosaini wataona kwenye nyaraka zao kuwa fedha zimepungua kulingana na siku za masomo watakazokuwa nazo kuanzia Agosti 01

Aidha, Bodi imeongeza kuwa kuhusu kuwaarifu Wanafunzi juu ya suala hilo, wao wanaongea na Chuo kwa maana taarifa za Wanafunzi wanaosoma ikiwemo matokeo wanapewa na Chuo husika

Pia, mabadiliko yote ya Chuoni ikiwemo siku za masomo na mikopo, yanajadiliwa kwenye Baraza la Chuo ambapo Viongozi wa Wanafunzi wapo, hivyo kama wanafunzi hawana taarifa hizo wanatakiwa kuwauliza Viongozi wao

Kuhusu ada kulipwa yote bila kukatwa, Bodi imeeleza kuwa siku za masomo zimepungua ila muda wa masomo kwa siku umeongezeka na kufanya walimu kuendelea kufundisha kwa muda ule ule kama ambavyo siku zingekuwa hazijapungua

Baadhi ya Wanafunzi katika Vyuo mbalimbali walilalamika kukatwa fedha za mikopo (Boom) bila kupewa taarifa japokuwa wao waliingia mkataba na HESLB na pia walidai wamekatwa ‘Boom’ ila ada haijakatwa


Pia, soma HESLB: Serikali imeanza kulipa Malipo ya robo ya nne ya Mwaka wa Masomo 2019/2020 kwa Wanafunzi 132,119 Jumla ya TZS 66.9 Bilioni
Hio ya muda si kweli. Vipindi viko idadi ile ile. Havijaongezeka.
 
Wanafunzi walewale walioongezewa muda wa vipindi,gharama za kuishi zimepungua baada ya siku kupungua?Hapana

Mfano mtu anasoma UDSM main campus,halafu makazi yake Ni Mbagala,ukifika saa12 nauli kwenda mbagala inaongezeka kuliko Ile elekezi.Chakula pia kinaongezeka kwa sababu saiz muda wa vipindi vinaisha saa3 usiku, masoko yanakuwa yamefungwa kuliko awali ambapo vipindi vilikuwa vinaisha mapema
 
Kwa kweli huu ni ubabaishaji!

Japokuwa huenda wana sababu za msingi kama walivyozitaja, lakini inaonesha ni jinsi gani walivyo na roho chachu!

Yaani kajisababu kadogo tu tayari mkopo umefyekwa!

These people bwana! Doooh!
 
Wanafunzi walewale walioongezewa muda wa vipindi,gharama za kuishi zimepungua baada ya siku kupungua?Hapana

Mfano mtu anasoma UDSM main campus,halafu makazi yake Ni Mbagala,ukifika saa12 nauli kwenda mbagala inaongezeka kuliko Ile elekezi.Chakula pia kinaongezeka kwa sababu saiz muda wa vipindi vinaisha saa3 usiku, masoko yanakuwa yamefungwa kuliko awali ambapo vipindi vilikuwa vinaisha mapema
Ila mitoto ya siku hizi hovyo kabisa. Utasikia kesho wanaandaa kongomano la kumpongeza Mwenyekiti qa CCM na wanavaa mashati ya mbogamboga na wanamualika Polepole aje kuiponda CHADEMA na ACT na Lissu. Ila kwahili la kushikiliwa mafao yao wanaanza kutuma barua ACT na CHADEMA. Kudadeki kila mtu ale alipopeleka mboga. Uzuri njaa haina baunsa.
 
Yaaan hapo ndio wamejikanyaga kinoma

Ni wapumbavu hawajui atakutudanganya
 
Back
Top Bottom