HESLB: Hatujapunguza mikopo ya Wanafunzi. Tunatoa fedha za kujikimu kulingana na siku za masomo

HESLB: Hatujapunguza mikopo ya Wanafunzi. Tunatoa fedha za kujikimu kulingana na siku za masomo

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imefafanua kuwa inatoa mkopo kwa Wanafunzi kulingana na siku za masomo kwa kila robo ya mwaka wa masomo

Imeeleza kuwa kutokana na COVID19 siku za masomo za robo mwaka ya nne ya muhula wa masomo wa 2019/20 ambazo huwa ni 60 zimepungua kwa baadhi ya Vyuo ambapo baadhi vyuo vimebakiwa na siku 45 za masomo

Imesisitiza kuwa Wanafunzi watakaosaini wataona kwenye nyaraka zao kuwa fedha zimepungua kulingana na siku za masomo watakazokuwa nazo kuanzia Agosti 01

Aidha, Bodi imeongeza kuwa kuhusu kuwaarifu Wanafunzi juu ya suala hilo, wao wanaongea na Chuo kwa maana taarifa za Wanafunzi wanaosoma ikiwemo matokeo wanapewa na Chuo husika

Pia, mabadiliko yote ya Chuoni ikiwemo siku za masomo na mikopo, yanajadiliwa kwenye Baraza la Chuo ambapo Viongozi wa Wanafunzi wapo, hivyo kama wanafunzi hawana taarifa hizo wanatakiwa kuwauliza Viongozi wao

Kuhusu ada kulipwa yote bila kukatwa, Bodi imeeleza kuwa siku za masomo zimepungua ila muda wa masomo kwa siku umeongezeka na kufanya walimu kuendelea kufundisha kwa muda ule ule kama ambavyo siku zingekuwa hazijapungua

Baadhi ya Wanafunzi katika Vyuo mbalimbali walilalamika kukatwa fedha za mikopo (Boom) bila kupewa taarifa japokuwa wao waliingia mkataba na HESLB na pia walidai wamekatwa ‘Boom’ ila ada haijakatwa


Pia, soma HESLB: Serikali imeanza kulipa Malipo ya robo ya nne ya Mwaka wa Masomo 2019/2020 kwa Wanafunzi 132,119 Jumla ya TZS 66.9 Bilioni
hapo sio sawa
 
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imefafanua kuwa inatoa mkopo kwa Wanafunzi kulingana na siku za masomo kwa kila robo ya mwaka wa masomo

Imeeleza kuwa kutokana na COVID19 siku za masomo za robo mwaka ya nne ya muhula wa masomo wa 2019/20 ambazo huwa ni 60 zimepungua kwa baadhi ya Vyuo ambapo baadhi vyuo vimebakiwa na siku 45 za masomo

Imesisitiza kuwa Wanafunzi watakaosaini wataona kwenye nyaraka zao kuwa fedha zimepungua kulingana na siku za masomo watakazokuwa nazo kuanzia Agosti 01

Aidha, Bodi imeongeza kuwa kuhusu kuwaarifu Wanafunzi juu ya suala hilo, wao wanaongea na Chuo kwa maana taarifa za Wanafunzi wanaosoma ikiwemo matokeo wanapewa na Chuo husika

Pia, mabadiliko yote ya Chuoni ikiwemo siku za masomo na mikopo, yanajadiliwa kwenye Baraza la Chuo ambapo Viongozi wa Wanafunzi wapo, hivyo kama wanafunzi hawana taarifa hizo wanatakiwa kuwauliza Viongozi wao

Kuhusu ada kulipwa yote bila kukatwa, Bodi imeeleza kuwa siku za masomo zimepungua ila muda wa masomo kwa siku umeongezeka na kufanya walimu kuendelea kufundisha kwa muda ule ule kama ambavyo siku zingekuwa hazijapungua

Baadhi ya Wanafunzi katika Vyuo mbalimbali walilalamika kukatwa fedha za mikopo (Boom) bila kupewa taarifa japokuwa wao waliingia mkataba na HESLB na pia walidai wamekatwa ‘Boom’ ila ada haijakatwa


Pia, soma HESLB: Serikali imeanza kulipa Malipo ya robo ya nne ya Mwaka wa Masomo 2019/2020 kwa Wanafunzi 132,119 Jumla ya TZS 66.9 Bilioni
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imefafanua kuwa inatoa mkopo kwa Wanafunzi kulingana na siku za masomo kwa kila robo ya mwaka wa masomo

Imeeleza kuwa kutokana na COVID19 siku za masomo za robo mwaka ya nne ya muhula wa masomo wa 2019/20 ambazo huwa ni 60 zimepungua kwa baadhi ya Vyuo ambapo baadhi vyuo vimebakiwa na siku 45 za masomo

Imesisitiza kuwa Wanafunzi watakaosaini wataona kwenye nyaraka zao kuwa fedha zimepungua kulingana na siku za masomo watakazokuwa nazo kuanzia Agosti 01

Aidha, Bodi imeongeza kuwa kuhusu kuwaarifu Wanafunzi juu ya suala hilo, wao wanaongea na Chuo kwa maana taarifa za Wanafunzi wanaosoma ikiwemo matokeo wanapewa na Chuo husika

Pia, mabadiliko yote ya Chuoni ikiwemo siku za masomo na mikopo, yanajadiliwa kwenye Baraza la Chuo ambapo Viongozi wa Wanafunzi wapo, hivyo kama wanafunzi hawana taarifa hizo wanatakiwa kuwauliza Viongozi wao

Kuhusu ada kulipwa yote bila kukatwa, Bodi imeeleza kuwa siku za masomo zimepungua ila muda wa masomo kwa siku umeongezeka na kufanya walimu kuendelea kufundisha kwa muda ule ule kama ambavyo siku zingekuwa hazijapungua

Baadhi ya Wanafunzi katika Vyuo mbalimbali walilalamika kukatwa fedha za mikopo (Boom) bila kupewa taarifa japokuwa wao waliingia mkataba na HESLB na pia walidai wamekatwa ‘Boom’ ila ada haijakatwa


Pia, soma HESLB: Serikali imeanza kulipa Malipo ya robo ya nne ya Mwaka wa Masomo 2019/2020 kwa Wanafunzi 132,119 Jumla ya TZS 66.9 Bilioni
vilevile hiki ni kipindi Cha Corona wanafunzi wameongeza matumizizi mengine Kama vile barakoa na sanitizer, na usafiri umepanda Bei hasa kwa wanafunzi wanaosomea dar coz of level sit, na zaidi tulitarajia kuona hela ya kujikimu inaongezwa kusudi wanafunzi waweze kujikinga na Janga korona, kitu kingine bodi haijazingatia hali halisi ya wanachuo kwani kipindi Cha likizo nyumba wanazoishi wanachuo hazikusitisha Kodi Bali iliendelea, na Kama ingekua hvi Basi tungeambiwa tokea vyuo vnafungua ili watu wajipange kisaikolojiaa juu ya kulikimu hili suala,
 
Sasa kama muda wa kufundisha umeongezeka na kufanya waalimu kuwa na mzigo uleule na hivyo kutokukata ada, walishindwa nini kujua pia kuwa muda wa wanafunzi kukaa darasani nao umeongezeka na kufanya mzigo kuwa uleule? Hawaoni kuwa wanafunzi watahitaji nguvu ya ziada kukaa darasani muda wa ziada zaidi? Hawa wanaCCM sijui wanafundishwaga na nani kuhusu namna ya kuandaa uongo ambao haulipi.
Pesa ya chakula inalipwa kwa siku
 
Ila mitoto ya siku hizi hovyo kabisa. Utasikia kesho wanaandaa kongomano la kumpongeza Mwenyekiti qa CCM na wanavaa mashati ya mbogamboga na wanamualika Polepole aje kuiponda CHADEMA na ACT na Lissu. Ila kwahili la kushikiliwa mafao yao wanaanza kutuma barua ACT na CHADEMA. Kudadeki kila mtu ale alipopeleka mboga. Uzuri njaa haina baunsa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa kama muda wa kufundisha umeongezeka na kufanya waalimu kuwa na mzigo uleule na hivyo kutokukata ada, walishindwa nini kujua pia kuwa muda wa wanafunzi kukaa darasani nao umeongezeka na kufanya mzigo kuwa uleule? Hawaoni kuwa wanafunzi watahitaji nguvu ya ziada kukaa darasani muda wa ziada zaidi? Hawa wanaCCM sijui wanafundishwaga na nani kuhusu namna ya kuandaa uongo ambao haulipi.
Mkuu umeanza vizuri kabisa kwa kueleza kwa hoja Ila hapo mwisho umekuja kuharibu kabisa baada ya kuleta Mambo yenu ya vyama na siasa kwenye hoja kuntu uliyoanza nayo.

Vijana Punguzeni uchumia siasa kidogo ili jamii ipate kuwaelewa kwa Mambo mhimu kama haya.
 
Kwa kweli huu ni ubabaishaji!

Japokuwa huenda wana sababu za msingi kama walivyozitaja, lakini inaonesha ni jinsi gani walivyo na roho chachu!

Yaani kajisababu kadogo tu tayari mkopo umefyekwa!

These people bwana! Doooh!
Unanifurahisha na dp ako hapo mkuu!
 
Alieshiba hamjui mwenye njaa...tuliotoka kaya masikin mungu anajua
 
Tukiweka ushabiki pembeni wanachokieleza bodi kina mantiki isipokuwa walitakiwa waeleze ili mapema au watumie busara kutokana na hali halisi.

Sababu hiyo hela ya kujikimu inalipwa kwa siku x idadi ya siku za mhula wa masomo. Kwa mfano kama muhula wa masomo una siku 60 na wanalipa 7,500 kwa siku maana yake watalipa 7,500 x 30. Hivyo kuongezeka au kupungua kwa siku za masomo kutaathiri kiwango cha pesa pia.

Ingawa sasa kutokana na hali halisi ya kipindi hiki, na ukweli kwamba kunaweza kuwa na matumizi ya ziada kwa ajiri ya kujikinga wangeweza kuwalipa tu kwa viwango vya siku za kawaida ili kiwasaidia vijana ukizingatia na ukweli kwamba bajeti ilishapitishwa.

Tatizo la awamu hii, unaweza kuona bodi wanataka kusave hizo hela alafu warudishe kwa mkuu kwamba zimebaki, afadhali mkuu keshatoa ujumbe kupitia TAKUKURU watendaji wake waache kujipe.. ndkz
 
Hivyo siku zikipungua na ada inapungua? au siku wasizoenda shule hawatakiwi kula? au kulala kwenye hostel au nyumba za kupanga wanazozilipia?.
Kweli ccm mbele kwa mbele.
 
So unachotaka kusema kama walikua wanakula Mara tatu kwa siku na masaa ya kusoma yameongezeka basi chakula nacho wale Mara nne au tano kwa siku si ndio???

TANZANIA DOUBLE STANDARD KILA MAHALI.
 
Kwani wamewakata mpaka stationeries ?
Coz km masaa yako Yale Yale baasi stationary isikatwe. Labda ya msosi sawa. Lkn all in all wawape tu full boom waji enjoy banange
 
Hongera sana kwa mchango mzuri sana kwa kuwatetea wadogo zetu na watoto wetu pia
Sasa kama muda wa kufundisha umeongezeka na kufanya waalimu kuwa na mzigo uleule na hivyo kutokukata ada, walishindwa nini kujua pia kuwa muda wa wanafunzi kukaa darasani nao umeongezeka na kufanya mzigo kuwa uleule? Hawaoni kuwa wanafunzi watahitaji nguvu ya ziada kukaa darasani muda wa ziada zaidi? Hawa wanaCCM sijui wanafundishwaga na nani kuhusu namna ya kuandaa uongo ambao haulipi.
 
100% wako Sawa, pesa zinalipwa kwa idadi ya siku za masomo.. Mbona iko wazi.
 
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imefafanua kuwa inatoa mkopo kwa Wanafunzi kulingana na siku za masomo kwa kila robo ya mwaka wa masomo

Imeeleza kuwa kutokana na COVID19 siku za masomo za robo mwaka ya nne ya muhula wa masomo wa 2019/20 ambazo huwa ni 60 zimepungua kwa baadhi ya Vyuo ambapo baadhi vyuo vimebakiwa na siku 45 za masomo

Imesisitiza kuwa Wanafunzi watakaosaini wataona kwenye nyaraka zao kuwa fedha zimepungua kulingana na siku za masomo watakazokuwa nazo kuanzia Agosti 01

Aidha, Bodi imeongeza kuwa kuhusu kuwaarifu Wanafunzi juu ya suala hilo, wao wanaongea na Chuo kwa maana taarifa za Wanafunzi wanaosoma ikiwemo matokeo wanapewa na Chuo husika

Pia, mabadiliko yote ya Chuoni ikiwemo siku za masomo na mikopo, yanajadiliwa kwenye Baraza la Chuo ambapo Viongozi wa Wanafunzi wapo, hivyo kama wanafunzi hawana taarifa hizo wanatakiwa kuwauliza Viongozi wao

Kuhusu ada kulipwa yote bila kukatwa, Bodi imeeleza kuwa siku za masomo zimepungua ila muda wa masomo kwa siku umeongezeka na kufanya walimu kuendelea kufundisha kwa muda ule ule kama ambavyo siku zingekuwa hazijapungua

Baadhi ya Wanafunzi katika Vyuo mbalimbali walilalamika kukatwa fedha za mikopo (Boom) bila kupewa taarifa japokuwa wao waliingia mkataba na HESLB na pia walidai wamekatwa ‘Boom’ ila ada haijakatwa


Pia, soma HESLB: Serikali imeanza kulipa Malipo ya robo ya nne ya Mwaka wa Masomo 2019/2020 kwa Wanafunzi 132,119 Jumla ya TZS 66.9 Bilioni
Chadema wapingaji, eti nalo hili ni mtaji wa kisiasa! Sasa siku zimepungua unataka ulipwe zaidi kutoka wapi? Chadema mngejikita kutangaza Sera zenu sio kudandia hoja, tar 28 kipigo kiko pale pale lazima mnyampe tu!
 
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imefafanua kuwa inatoa mkopo kwa Wanafunzi kulingana na siku za masomo kwa kila robo ya mwaka wa masomo

Imeeleza kuwa kutokana na COVID19 siku za masomo za robo mwaka ya nne ya muhula wa masomo wa 2019/20 ambazo huwa ni 60 zimepungua kwa baadhi ya Vyuo ambapo baadhi vyuo vimebakiwa na siku 45 za masomo

Imesisitiza kuwa Wanafunzi watakaosaini wataona kwenye nyaraka zao kuwa fedha zimepungua kulingana na siku za masomo watakazokuwa nazo kuanzia Agosti 01

Aidha, Bodi imeongeza kuwa kuhusu kuwaarifu Wanafunzi juu ya suala hilo, wao wanaongea na Chuo kwa maana taarifa za Wanafunzi wanaosoma ikiwemo matokeo wanapewa na Chuo husika

Pia, mabadiliko yote ya Chuoni ikiwemo siku za masomo na mikopo, yanajadiliwa kwenye Baraza la Chuo ambapo Viongozi wa Wanafunzi wapo, hivyo kama wanafunzi hawana taarifa hizo wanatakiwa kuwauliza Viongozi wao

Kuhusu ada kulipwa yote bila kukatwa, Bodi imeeleza kuwa siku za masomo zimepungua ila muda wa masomo kwa siku umeongezeka na kufanya walimu kuendelea kufundisha kwa muda ule ule kama ambavyo siku zingekuwa hazijapungua

Baadhi ya Wanafunzi katika Vyuo mbalimbali walilalamika kukatwa fedha za mikopo (Boom) bila kupewa taarifa japokuwa wao waliingia mkataba na HESLB na pia walidai wamekatwa ‘Boom’ ila ada haijakatwa


Pia, soma HESLB: Serikali imeanza kulipa Malipo ya robo ya nne ya Mwaka wa Masomo 2019/2020 kwa Wanafunzi 132,119 Jumla ya TZS 66.9 Bilioni
Ebu HELSB ishaurini serikali iondoe retention fee ya asilimia 6, hii inawafanya wanufaika kuwa watumwa na mkopo kutolipika.

Aidha ishaurini pia serikali kupunguza riba/makato na yawe ya asilimia 8/7 kama ilivyokuwa awali. Kuongezeka kwa makato imekuwa mwiba kwa wanufaika hasa ukizingatia wanufaika wengi ni watumishi ambao tangu 2015 wamekuwa wakiishi kwa kulipwa mishahara ile ile ya 2015 wakati Hali ya maisha inabadilika kila kukicha
 
Back
Top Bottom