HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

jamani aliyeelewa kauli ya waziri atueleweshe au nasema uongo ndugu zanguuuu in jiwes voice
 
Kwakweli namshukuru sana mama kwa kutupa unafuu katika huo unyonyaji.

Labda nikuulize:hivi hiyo 10% ilikuwa imejumuishwa kwenye lile deni linaloonekana kunako salary slip?maana najua 6% ilikuwa haionekani kwenye salary slip.
10% imejumuishwa ila 6% haionekani.
Ila mimi swali langu, je, deni lililobaki hiyo 10% itatolewa vipi kwa walioanza kulipa?
 
Nazaidi mkuu ukumbuke baada ya miaka mitat unakuwa unadaiwa 110%ya ulipokea,then 10 % ya 110%. Yaani Lina increase in a compound interest mammae
mama wa Zanzibar hana chuki na mtu, kafuta na anaendelea kufuta maujinga yote ya jamaa yule
 
Ingawa siku nyingi, wanashindwa nn kufanya Ada laki 1 au 3 vyuo vya serikali ili mtoto asomeshwe na wazazi au mwenyewe iwe kama Advanced level.

Kwani elimu bure sh ngapi kwanza kama Ndege tunanunua cash na hasara juuuuu
 
Back
Top Bottom