Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
6% na 10% zimetolewa, hautapata shida sanaDah!Hawa wapumbavu tayari wamenidaka mwezi uliopita,na hii ni baada ya miaka 9 wakiwa hawajafanikiwa kunipata.
NIDA na TIN nyoko sana.Sasa nitalimia meno haswaa.
Ahsante bi mkubwa kwa kufyekelea haya yoteMara deni linakua kwa 10% kwa mwaka mara kuna retention fee ya 6%. Bora kusoma/kusomesha kwa cash tu kuliko kubeba msalaba wa HESLB
Bora limedead kabla halijatudedisha kwa stress au kujinyonga.Jiwe lilikua na roho mbaya sana
Kwakweli namshukuru sana mama kwa kutupa unafuu katika huo unyonyaji.6% na 10% zimetolewa, hautapata shida sana
10% imejumuishwa ila 6% haionekani.Kwakweli namshukuru sana mama kwa kutupa unafuu katika huo unyonyaji.
Labda nikuulize:hivi hiyo 10% ilikuwa imejumuishwa kwenye lile deni linaloonekana kunako salary slip?maana najua 6% ilikuwa haionekani kwenye salary slip.
Hahahahah sema retention fee wameiondoa bahati yakoDah!Hawa wapumbavu tayari wamenidaka mwezi uliopita,na hii ni baada ya miaka 9 wakiwa hawajafanikiwa kunipata.
NIDA na TIN nyoko sana.Sasa nitalimia meno haswaa.
Shukrani kwake mama Samia.Hahahahah sema retention fee wameiondoa bahati yako
Hahaha Hechi Esi Elo Bii wangekufanya vibayaShukrani kwake mama Samia.
Ilikuwa nitembelee magoti.
ungetembelea limu mkuuShukrani kwake mama Samia.
Ilikuwa nitembelee magoti.
mama wa Zanzibar hana chuki na mtu, kafuta na anaendelea kufuta maujinga yote ya jamaa yuleNazaidi mkuu ukumbuke baada ya miaka mitat unakuwa unadaiwa 110%ya ulipokea,then 10 % ya 110%. Yaani Lina increase in a compound interest mammae
Waajiriwa wengi ni certificate hawana mkopoSasa Passport inahusiana vipi na mkopo? Alaf mbona wanaolipa ni wachache hivyo kulinganisha na waajiriwa.