HESLB wameanza kupokea appeals

Habari za asubuhi! Mi nataka nilipie mpesa hyo 5,000 kwa ajili ya kuappeal,naomba kujua kama natakiwa kulipia kwa kutumia zile steps nilizotumia kulipia ile 30,000/= ya mara ya kwanza au nifanyeje..?naomba kueleweshwa km kuna steps mpya za kulipia mpesa kwa ajili ya kuappeal. Thanks
 
Wakuu naombeni kujua iv nikiapeal nanyanganywa na nilichonacho in case nikikosa
 
Jamani ambae anajua vizur atueleze hatua gani kwa ufasa na sisi tu appeal maana ari ni tete ndugu zangu
 
hawa loan boad siyo kabisa waliolipa m pesa wakiweka code wanaambiwa code does not exist
 
msaada, nimelipia kwa mpesa na kutumia transaction id lakini inadai transaction id does not exist.
 

Attachments

  • bkjbk.jpg
    16.7 KB · Views: 126
usiku wa kuamkia jumapili

Jaribu kuwazingua voda, ongea na mwakilishi wao direct umuulize ni vipi mbona transaction waliyokupa unaambiwa doesn't exist, kwanzia hapo utaanza kujua chakufanya kwasababu ni ngumu kupata maelezo kutoka heslb
 
Mwenyewe bdo inasma hvyo hvyo

j.pili bodi huwa hawafanyi kaz,hivyo transaction id yako haiwezi kukubali,hivyo jaribu leo j.tatu watakuwa tayar washaiconfirm,na hata ikikataa jaribu tena baadae lazma ikubali
 
JAmani msaada tafadhariii nimeingiza namba ya mpesa imekubalii ila sioni sehemu ya kujaza na ku prit
 
ambaye ameshafanikiwa ku appeal i mean kujaza izo form anielekeze kwa my number 0656879668
 
Achana nao hawa kama wamesema hela zimeisha ukiappeal watakupani nin sasa!!! Mwaka jana watu tumeappeal lakini kitu kimebuma wanataka tena tuappeal wale hela tuu!!!!
 
Ngoja tu wafungue hicho chuo wakashinde wanaandamana huko mabarabarani, na mie nimechoka sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…