HESLB yafafanua madai ya Wanafunzi UDSM kutakiwa kuwa na Kadi ya CCM ili wapate mkopo

Cheki Ngese hili....Hizo hela za kukopesha limetoka kwenye kodi ya wanachama au...
Wacha matusi ya kijinga, ukitaka kutukana tukana wazi tu.

CCM ni chams tawala ni lazima wanschsms wake wapewe kipa umbele.

Sisi tuihangaikie CCM halafu mitoto ya upinzani ipewe mikopo kwanza? Wasubiri mpaka watoto wetu watoshe kwanza.
 
Wacha matusi ya kijinga, ukitaka kutukana tukana wazi tu.

CCM ni chams tawala ni lazima wanschsms wake wapewe kipa umbele.

Sisi tuihangaikie CCM halafu mitoto ya upinzani ipewe mikopo kwanza? Wasubiri mpaka watoto wetu watoshe kwanza.
Akili za waislamu wengi Tanzania ziko km za huyu..! ndio maana waislamu wengi wako ccm..kazi kwenu.
 
Wacha matusi ya kijinga, ukitaka kutukana tukana wazi tu.

CCM ni chams tawala ni lazima wanschsms wake wapewe kipa umbele.

Sisi tuihangaikie CCM halafu mitoto ya upinzani ipewe mikopo kwanza? Wasubiri mpaka watoto wetu watoshe kwanza.
Shetani wewe ajuza umezeeka bila akili
 
Ivi ww unakuwaga huku JF kwaajili ya kutafutia watu Ban au?

Mambo mengine unakwaza sana Legend hata kama sheria za JF zinaruhusu Uhuru wa kufunguka chochote ila Tumia Ukongwe wako vzr
Huyu kigongwe ni kumpa za uso hakuna kumuacha
 
Hamna cha kuzungusha maneno, huo ndio ukweli. Bila kadi ya ccm hupati mkopo, na wala huo sio uzushi.
 
Katika hilo bandiko naona wanafunzi wengi wa Kiislam wanakosa / watakosa mikopo kwa kipengele cha "yatima".

Kwa mafundisho ya Kiislam mtoto anakuwa siyo yatima tena anapofikisha balehe.
Hayo ni mafundisho ya Kiislamu madame, je katiba na Sheria za nchi zinamtambua yatima ni yupi?
 
Hilo la la kuwa na kadi ya ccm nimelipenda sana, liwekwe kisheria kabisa.

Hakuna kuwapa mikopo wasiotambuwa kuwa CCM ndiyo chama tawala.
.
Kesho wakisema sharti la kupewa mkopo ni lazima uwe na cheti za ubatizo usije hapa kulalamika kuwa ni udini.

Acha kupongeza na kutetea vitu vya kijinga na kipuuzi.
 
Kwa mujibu wa taarifa hii, HESLB haina makosa ila kosa lipo kwa uongozi wa UDSM-DARUSO.
Kumekuwa na taratibu za ovyo sana kuwafanya wanafunzi kuingia UVCCM kupata baadhi ya nyazifa mbalimbali wawapo chuoni hapa kuanzia Kuwa kiongozi wa DARUSO tu lazima uwe UVCCM japo hawasemi lakini mchakato mzima tunaujua, sambamba na taarifa hiyo kumekuwa na chembechembe za Aina hiyo ya kuweka kigezo cha UVCCM Kwa wanaoomba mkopo kwani wakaaminisha wanafunzi kufanyia applications zao ndani ya chuo stationary moja kwakusema watakuwa na first priority kitu ambacho hakisemwi hadhani Lakini ndyo uhalisia, huyo raia aliyesema hii kero yupo sahihi.
 
Katika hilo bandiko naona wanafunzi wengi wa Kiislam wanakosa / watakosa mikopo kwa kipengele cha "yatima".

Kwa mafundisho ya Kiislam mtoto anakuwa siyo yatima tena anapofikisha balehe.
Daaah
 
Katika hilo bandiko naona wanafunzi wengi wa Kiislam wanakosa / watakosa mikopo kwa kipengele cha "yatima".

Kwa mafundisho ya Kiislam mtoto anakuwa siyo yatima tena anapofikisha balehe.
Pole. Mnapenda mno mserereko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…