Hezbollah imekataa mazungumzo yoyote na Israel wataka vita waache kuwaonea raia wa Gaza

Hezbollah imekataa mazungumzo yoyote na Israel wataka vita waache kuwaonea raia wa Gaza

Hezbollah, Houthi.. all powerd by advanced weapons right now..

USA open a front in Ukraine
Russia is opening a front in middle East...

USA should stop this, it's meaningless
Hawa wapumbavu kama wapumbavu wengine tuuuu. Raisi kapanda Elcopter ya mwaka 1970. Ndio wakushindana na wanaozitengeneza izo Helcopter. Wakipasuka mnaaanza kuandamana dunia nzima apa
 
Hawa wapumbavu kama wapumbavu wengine tuuuu. Raisi kapanda Elcopter ya mwaka 1970. Ndio wakushindana na wanaozitengeneza izo Helcopter. Wakipasuka mnaaanza kuandamana dunia nzima apa
Kila mtu Kuna mahali yuko dhaifu kwenye maisha.. kiusalama hakuna mtu dunia hii ambaye yuko salama kabisa. Maadui zako wakifanyia kazi udhifu wako basi umeenda.
Iran imetengeneza taasisi imara ya urais, hata akiondoka yeyote hakuna mabadiliko makubwa..
Same as US..
 
Wamakumbi.

BREAKING:

🇱🇧🇮🇱 Hezbollah imekataa mazungumzo yoyote na Israel. Vita vya kiwango kamili ni hakika zaidi

Mjumbe Maalum wa Marekani, Amos Hochstein, anatangaza kwamba juhudi za kidiplomasia za kutuliza mivutano kati ya Israel na Hezbollah zimeshindwa rasmi, kwani Hezbollah inakataa kabisa mazungumzo yoyote.

Vyombo vya habari vya Israel pia vinatangaza kwamba 'Katika siku zilizopita, Israel imejaribu kwa kasi kusimamisha kuongezeka kwa Hezbollah na kuzuia vita. Lakini Hezbollah haipendezwi na kushuka kwa kasi'

View: https://x.com/megatron_ron/status/1803498321929232745?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Hizibolah piga hayo mashoga
 
Hawa wapumbavu kama wapumbavu wengine tuuuu. Raisi kapanda Elcopter ya mwaka 1970. Ndio wakushindana na wanaozitengeneza izo Helcopter. Wakipasuka mnaaanza kuandamana dunia nzima apa
nani kaandamana sasa
 
Wakaazi wa kaskazini ya usrhell wanataka kuregelea walipokimbizwa na hizbullah kule makwao wanalalamika hawana uhuru kuishi huko walipopelekwa ila usrahell hawawezi kuwaregesha
Tokea oktoba usrahell wanachapwa na hizbullah sasa unajiuliza idf inafanya kazi gani tokea mwaka jana
Wanachoweza kukifanya idf nikupambana na watoto pale ghaza na majengo tuuuu
 
Back
Top Bottom