Hawa wapumbavu kama wapumbavu wengine tuuuu. Raisi kapanda Elcopter ya mwaka 1970. Ndio wakushindana na wanaozitengeneza izo Helcopter. Wakipasuka mnaaanza kuandamana dunia nzima apaHezbollah, Houthi.. all powerd by advanced weapons right now..
USA open a front in Ukraine
Russia is opening a front in middle East...
USA should stop this, it's meaningless
Kila mtu Kuna mahali yuko dhaifu kwenye maisha.. kiusalama hakuna mtu dunia hii ambaye yuko salama kabisa. Maadui zako wakifanyia kazi udhifu wako basi umeenda.Hawa wapumbavu kama wapumbavu wengine tuuuu. Raisi kapanda Elcopter ya mwaka 1970. Ndio wakushindana na wanaozitengeneza izo Helcopter. Wakipasuka mnaaanza kuandamana dunia nzima apa
Hizibolah piga hayo mashogaWamakumbi.
BREAKING:
🇱🇧🇮🇱 Hezbollah imekataa mazungumzo yoyote na Israel. Vita vya kiwango kamili ni hakika zaidi
Mjumbe Maalum wa Marekani, Amos Hochstein, anatangaza kwamba juhudi za kidiplomasia za kutuliza mivutano kati ya Israel na Hezbollah zimeshindwa rasmi, kwani Hezbollah inakataa kabisa mazungumzo yoyote.
Vyombo vya habari vya Israel pia vinatangaza kwamba 'Katika siku zilizopita, Israel imejaribu kwa kasi kusimamisha kuongezeka kwa Hezbollah na kuzuia vita. Lakini Hezbollah haipendezwi na kushuka kwa kasi'
View: https://x.com/megatron_ron/status/1803498321929232745?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
nani kaandamana sasaHawa wapumbavu kama wapumbavu wengine tuuuu. Raisi kapanda Elcopter ya mwaka 1970. Ndio wakushindana na wanaozitengeneza izo Helcopter. Wakipasuka mnaaanza kuandamana dunia nzima apa