Hezbollah wafanya shambulia la kuvizia kwenye jeshi la Israel mpakani. Sasa Firimbi ishapulizwa

Hezbollah wafanya shambulia la kuvizia kwenye jeshi la Israel mpakani. Sasa Firimbi ishapulizwa

JAMANI WENZAO BADO WAPO KWENYE MSIBA SIKU TANO ZA MAOMBOLEZO
 
Jeshi la lebanon limerudishwa mpakani,na magenerali wamesema whatever cost mipaka sharti ilindwe,lakini hizbullah walikua wakichukua nafasi zilizoachwa na jeshi
 
Jeshi la Lebanon lina Dini zote lakini Nchi yenyewe ndio imeganyika Kidini na Kimadhehebu na pia hawana resources za kupigana Vita hata mishara yao ni msaada kutoka West.
 
Kihistoria kuna miungu mingi imejaribu sana kuifuta Israel, ikiwemo miungu ya Wafilisti, sasa huyu wa juzi wa Waarabu hana jipya atashindwa tu.
Ifahamike Israel wanalindwa, yaani jiwe ndogo la Daudi liliangusha jitu kubwa.
Inalindwa na USA...
 
Ukimaliza kuzika unazikwa
Mimi naomba kuwepo amani aiseee.
Vita sio nzuri
Kuna nyakati zinaashiriwa na vita hivi
Tuokoke tumuamini Yesu
Siku za mwisho hizi
Yaani ugomvi ulikuwa israel na palestina, sahv na hezbollah
 
Hivi hawa israel hawaishiwi silaha+ wanajeshi? Maana tunaambiwa nchi ya israel inajumla ya watu 8m.
Haziwezi kuisha kwa sababu Marekani ndiyo shughuli zake hizo kugawa silaha kila sehemu, ili tu kuhakikisha dunia yote inatawaliwa na vita na machafuko ya kila aina.
 
Jeshi la lebanon limerudishwa mpakani,na magenerali wamesema whatever cost mipaka sharti ilindwe,lakini hizbullah walikua wakichukua nafasi zilizoachwa na jeshi
Serekali ya Lebanon haitaki kabisa kujihusisha na ugomvi wa Israel na Hezbollah, hao wanajeshi wa Lebanon wameondoka kuiachia Hezbollah huo msala, ngoja tuone kama Hezbollah itahimili vipigo vya IDF
 
Ukimaliza kuzika unazikwa
Mimi naomba kuwepo amani aiseee.
Vita sio nzuri
Kuna nyakati zinaashiriwa na vita hivi
Tuokoke tumuamini Yesu
Siku za mwisho hizi
Yaani ugomvi ulikuwa israel na palestina, sahv na hezbollah
Kutokumpokea YESU KRISTO ndo chanzo cha machafuko na migogoro dunian hapa dini ya kiislamu ni dini ya kuzimu ndo maana ajenda zake zote ni za kuzimu kimizimu mizimu tu
 
Hiyo ni strategic withdrawal. Kuwaachia IDF waingie ndani.

Kumbuka vijiji vyote vya kusini mwa lebanon vina vikosi kadha wa kadha vya Hezbollah vyenye askari kuanzia mamia mpaka maelfu.

Jeshi la Lebanon ni dhaifu na halina experience kama Hezbollah, hayo maeneo yanaenda kushikiliwa na Hezbollah kufight IDF.

2006 IDF walipata tabu sana maeneo hayo maana kila kijiji unakuta 1/3 ni wanajeshi wa Hezbollah
 
Waondo
Serekali ya Lebanon haitaki kabisa kujihusisha na ugomvi wa Israel na Hezbollah, hao wanajeshi wa Lebanon wameondoka kuiachia Hezbollah huo msala, ngoja tuone kama Hezbollah itahimili vipigo vya IDF
Waondoke kabisa kwanza wanajeshi wengi wa Lebanon ni wa KRISTO watakufa bure tu huo msala wawaachie Hezbollah
 
Kwanza unaonekana huijui hezbullah pili umeandika kwa mhenko unafaa upelekwe kwa p diddy
 
hongera sana idf...mambo yanazidi kuchemka vemaa
 
Kuna nyakati zinaashiriwa na vita hivi
Tuokoke tumuamini Yesu
Siku za mwisho hizi
Nani kakwambia siku za mwisho,,, vita zipo tangu kuumbwa kwa dunia,,,,, na zitaendelea kuwepo to infinity…..
😎
 
Mtakimbis wenyewe Lebanon afu US atanza kujidai kusimamisha vita, sa hivi anadhani wale mashoga zake israel watashinda 😄

Huwa mnanza hivi hivi mbio za sakafuni noma sana. Mkimuweza kumpiga Hezbullah, mjue mtaweza hata kuwapiga North Korea
 
Serekali ya Lebanon haitaki kabisa kujihusisha na ugomvi wa Israel na Hezbollah, hao wanajeshi wa Lebanon wameondoka kuiachia Hezbollah huo msala, ngoja tuone kama Hezbollah itahimili vipigo vya IDF
The Fifth Division of the Lebanese Army denied the news of the army withdrawing from its positions, confirms its steadfastness in all of them, and states that orders have been given to defend the south, whatever the sacrifices.

Security sources told Al-Arabi and Al-Jazeera that the Lebanese Army has redeployed its troops to the border observation sites after previous reports of recent withdrawal.

However, UNIFIL forces have reportedly withdrawn from their border positions.
 
Back
Top Bottom