Hezbollah wakanusha, bado hawajamchagua kiongozi mpya

Hezbollah wakanusha, bado hawajamchagua kiongozi mpya

hakuwa wazi bali alifichwa sana . Hassan alikuwa anaishi katika mahandaki urefu wa minazi ya kiarabu. siku hiyo ya ijumaa ilikuwa tarehe yake ya kuzaliwa alikuwa antimiza miaka sitini na nne. Zainab ambaye ni mtoto wake hassan wa kike aliuwawa pia humo humo handakini akipeleka birthday keki.
Yani walimpelekea moto huko huko handakini?
 
Wamejifunza hawataki tena kumuweka wazi
Atajiweka wazi mwenyewe. Mbona nimeona Gaidi wanayemkanusha akikabidhiwa ofisi?
Jamaa akikabidhiwa ofisi rasmi hii leo.
20240929_184839.jpg
 
Back
Top Bottom