Lebanon ni sehemu ya Israel wameingia kwenye mfumo wenyeweLebanon inaenda kuwa kifusi(rubble) nyingine baada ya gaza!
Usiseme hatukusema
π²πππππππππππ πππ ππππππ πππ π πππ ππππππ ππππ?Thuuubutrruuuuuuuu...........unafikiri Israel kama uganda eehhh..........kaa kwa kutulia kama unapimwa tezi dume............hakuna hata mmoja atakaye thubutu kurusha kijikombola kikapige tel aviv .........hapo ndio ujue wajukuu wa yacob ni namba nyingine.......na inasemekana yuda alikuwa ni muiran ndio maana wanasalitiwa kira kukicha.......wameanza kujikamata wao kwa wao eti kuna mashudu yanauza ramani ya vita.......na bado mpka muite mmaaaa
Sawa we baki na bibilia ya Paulo hao walilaniwa na Mungu.mnao waita taifa teule.Thuuubutrruuuuuuuu...........unafikiri Israel kama uganda eehhh..........kaa kwa kutulia kama unapimwa tezi dume............hakuna hata mmoja atakaye thubutu kurusha kijikombola kikapige tel aviv .........hapo ndio ujue wajukuu wa yacob ni namba nyingine.......na inasemekana yuda alikuwa ni muiran ndio maana wanasalitiwa kira kukicha.......wameanza kujikamata wao kwa wao eti kuna mashudu yanauza ramani ya vita.......na bado mpka muite mmaaaa
Jamaa alivyoona tu makombora Basimkuu sina ushabiki wowote kwenye hii vita lakini mbona kama haya makombora yananyakuliwa juu kwa juu au naona vibaya
Israel wenyewe wamesema rockets 60 only 15 were intercepted.Jamaa alivyoona tu makombora Basi
Hukuaangalia Iron Dome ilivyokuwa inayaharibu juu kwa juu
Nanukuu:Hezbollah kutoka Lebanon imeishambulia Israel Jana usiku Kwa makombora takribani 50 apo Jana usiku.
Hezbollah IMESEMA kwamba imeishambulia Israel Kwa makombora apo Jana usiku huku ikidaiwq kuwa uenda ikaendelea KUISHAMBULIA zaidi Israel kama kulipa kisasi Kwa kuuliwa Kwa kiongozi wao apo juzi na Israel.
Hali ni mbaya Huko Israel kwani makombora hayo ya Hezbollah japo mengi yaliangushwa na mfumo wa iron dome wa Israel ILa Kuna mengine yameleta madhara zaidi.
Marekani nayo tayari imetoa taarifa Kwa wananchi wake waliopo Lebanon kuondoka mara moja ndani ya nchi hiyo.
Na pia iran IMESEMA itaishambulia Israel leo usiku Kwa mashambulizi makali ambayo yataacha historia.
Hiyo labda ndio siku uliyokatwa lindaπ²πππππππππππ πππ ππππππ πππ π πππ ππππππ ππππ?
HahahahahaHiyo labda ndio siku uliyokatwa lih
Gaidi mkubwa ni USA na Israel.Nanukuu:
"Marekani nayo tayari imetoa taarifa Kwa wananchi wake waliopo Lebanon kuondoka mara moja ndani ya nchi hiyo.
Na pia iran IMESEMA itaishambulia Israel leo usiku Kwa mashambulizi makali ambayo yataacha historia".
Wooy! Oiyeyai. Hezbollah nae imeamua kuipita njia aliyopita HAMAS. Naionea huruma sana Lebanon kwa kile kitakachojiri kwake.
Iran ndo wanasubiriwa kwa hamu kubwa sana kwani hao ndo hasa "Target" kwani Iran ndo wanaoyafadhili makundi ya kigaidi HAMAS na Hezbollah. Huyo baba lao akishatenguliwa kiuno; magaidi watasalimu amri chap na game litakuwa limeisha.
Amka usingizini, usije ukajikojolea ndugu!Lebanon inaenda kuwa kifusi(rubble) nyingine baada ya gaza!
Usiseme hatukusema