Hezbollah yaanza kuishambulia Israel kwa roketi nzito za angani na ardhini, kulipa kisasi mauaji ya makamanda wake

Naona unaleta matusi badala ya kujibu hoja, na hiyo ndio desturi yenu magaidi. Na Bado wayahudi watawashikisha ukuta sana kudadadeq
 
Naona unaleta matusi badala ya kujibu hoja, na hiyo ndio desturi yenu magaidi. Na Bado wayahudi watawashikisha ukuta sana kudadadeq
Hujaja kwa akili na adabu ungekuja kwa akili na adabu mjadala kamili ungewekwa na kihekima zaidi.
Lior .
 
Punguani wewe.
Lebanon ina share boarder na Israel.
Israel na Lebanon zimepakana na Kenya na Tanzania.
Nimekwambia subiri hapo tu na matako yako.
Kesho utapewa taarifa ukiwa unanyambanyamba hovyo.
 
Israel wana mtindo wa kuficha madhara wanayopata pindi wanaposhambuliwa, IDF huwa wanakuwa wakali sana kwa vyombo vya habari kutoa taarifa za kweli kwa kinachoendelea na ndio chanzo kuwazuia Al Jazeera.


Ukweli ni kwamba Hezbollah inawatia sana hasara Israel na rockets zinapenya, Kuna rockets zinarushwa kuzichanganya air defense halafu ndipo wanapitisha missiles za kimkakati na kupiga kwenye mshono.
 
Acha uongo huko kryat shimona pako shwariiiiiiiiiiiiiiiiiii na hakuna hofu wala chochote................kwanza misri na jordan zimesema hakuna kombora kupita kwenye hanga lake .........sasa sijui mtayapitishia kwenye mapumbu???.........Israel watu mpaka nyeto wanapiga muda huu na hakuna hata kijiko kilicho dondoka wewe kenua mchenye hapo kwenye keyboard upate likes ukalale
 
Jordan kasema hakipiti kitu kwenda Ziraili.
Hizi habari zenu mkishiba urojo zina tabu sana.
Amka kesho ujue idadi kwa Iran imefika wapi.
Kwani kipindi Iran anaiporomoshea mvua ya makombora Israel huyo Jordan aliruhusu kombora lipite kwenye anga yake?

Si walijipanga kuyatungua makombora yatakayopita kwenye anga yao wakisaidiwa na Marekani na Uingereza lakini vyuma vilipita anga hilo hilo bila kudunguliwa hadi vikashuka Israel.

Hata safari hii Iran ametangaza wazi anaishambulia Israel katika hali ambayo dunia itaduwaa na makombora yatapita anga hizo hizo za Jordan, Saudia na mataifa mengine lakini vyuma vitafika kama ilivyokusudiwa licha ya Israel, Marekani, Saudia, Jordan na mataifa mengine kufanya jitihada za kuyadungua kabla hayajatua Israel.
 
Uzuri Iran havizii kama Israel anapotaka kushambulia anakupa kabisa taarifa ujiandae kipigo na huwezi kukikwepa kwa namna yoyote ile.
 
mkuu sina ushabiki wowote kwenye hii vita lakini mbona kama haya makombora yananyakuliwa juu kwa juu au naona vibaya
 
Weka aya sio unaweka maneno ya kwenye kanga
Halafu hizo hadith nimezitoa kwenye website kubwa za kiislam dunian
We unadhani mimi wa kanga kama wewe hi Aya haya sema lingine.

45:6 "in which other hadith will they believe after God and his verses?"


7:52 "And We had certainly brought them a Book which We detailed by knowledge - as guidance and mercy to a people who believe"

Usineletee fake hadith we bwege Bukhar kafa kawacha hadithi sio nyingi kama tunazo ziona leo, yeye mwenyewe Bukhari akirudi atashangaa 75% ya hizo hadith wala hajaziongea wala hazijui πŸ˜„

Hadith Sahihi zinajulikana na fake zinajulikana kama hizo mnazo leta hizo nizakanisani.
 
Hayo mambo watu wapo pale tayari.
Ile vita Israel hajakurupuka.
Wanaotembeza kichapo ndio hao vijana tu vizazi kwa vizazi wapo huko Europe miaka na miaka.
Ile vita kabla ya Ghaza walipandishwa ndege kurudi hapo watetee nchi yao.
US kwanini anatoa support mda wote kwao.
Ni wao ndio wanatengeneza silaha zote unazijua duniani.
Mrusi hana say kwa hawa jamaa ingawa ni kingunge huko Europe ila ana ban zote.
Ni mambo mengi sana huelewi km unasoma juu juu tu.
 
Wewe upo Kyriat Shmona? Kwani lini Jordan na Egypt waliruhusu silaha zikapige Israel, wao wanaruhusu Israel na America wakapige warabu wenzao πŸ˜„ Silaha za Yemen American hakuziona ataziona Egypt na Jordan.

Kipigo kina kuja na Yarab Iran apige na Jordan ili iwe adabu kwa huyo kibaraka anatawala nchi hata kiarabu hajui πŸ˜„
 
Bukhari hakuongea Hadith Bali alikusanya,kazi aliyomkuta nayo baba yake, bukhari ni mrusi,hii ni miaka mingi baada ya kifo Cha mtume,hadithi ni uzushi wa wahuni tu,ndiyo maana ummar bin ul khattab alipiga marufuku,swahaba Kama yule wa mtume asingepiga marufuku wahyi ikiwa kweli Hadith ni wahy
 
Kama Ghaza wanavyoiita Gaza.
 
Thuuubutrruuuuuuuu...........unafikiri Israel kama uganda eehhh..........kaa kwa kutulia kama unapimwa tezi dume............hakuna hata mmoja atakaye thubutu kurusha kijikombola kikapige tel aviv .........hapo ndio ujue wajukuu wa yacob ni namba nyingine.......na inasemekana yuda alikuwa ni muiran ndio maana wanasalitiwa kira kukicha.......wameanza kujikamata wao kwa wao eti kuna mashudu yanauza ramani ya vita.......na bado mpka muite mmaaaa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚

Shekhe umenifuahisha kwenye visentensi fulani hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…