Hezbollah yathibitisha 'ushindi' dhidi ya Israel baada ya usitishwaji mapigano

Hezbollah yathibitisha 'ushindi' dhidi ya Israel baada ya usitishwaji mapigano

5523

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2014
Posts
2,275
Reaction score
2,410
Hezbollah ilithibitisha "kupata ushindi" dhidi ya Israel, ambayo iliitaja kuwa "adui wa kufikirika", kwa zaidi ya miezi 13, baada ya usitishaji mapigano kuanza kutekelezwa na maelfu ya watu waliokimbia makazi yao kurejea katika miji na vijiji vyao, hasa kusini mwa Lebanon.

Hayo yamejiri katika taarifa iliyotolewa na chama hicho Jumatano jioni, ambapo kilihutubia, kikijivunia kile kinachoita ni ushindi na kuwataka raia wake kurejea katika maeneo yao kwa fahari na ujasiri."

Taarifa hiyo ilieleza kuwa mashambulizi ya kijeshi ya Hezbollah yalifikia 4,637, tangu kuanzishwa kwa kile kinachojulikana kama "Mafuriko ya Al-Aqsa" Oktoba 7, 2023, kwa kasi ya operesheni 11 kwa siku.

Hezbollah ilisema kuwa upande wa Israel ulipoteza wanajeshi 130 wakati wa uvamizi wa ardhini nchini Lebanon, pamoja na vifaru 59 vya Merkava na ndege nane zisizo na rubani, ikibainisha kuwa hasara hiyo haijajumuisha yale yaliyofanyika huko upande wa Israel katika ngome, kambi za kijeshi, makazi na miji iliyokaliwa kimabavu.”

Taarifa hiyo ilisisitiza kuwa "ujumbe huo ni kwa ajili ya jeshi ambalo liliweza 'kuangusha' malengo ya Israel na 'kulishinda jeshi lake'," na kuongeza kuwa wapiganaji wake "watasalia tayari kikamilifu kukabiliana na nia ya mashambulizi ya adui, Israel, na kwamba macho yao yataendelea kufuatilia mienendo na uondoaji wa majeshi ya adui nje ya mipaka yake."

hz.jpg
 
View attachment 3164288

Hezbollah ilithibitisha "kupata ushindi" dhidi ya Israel, ambayo iliitaja kuwa "adui wa kufikirika", kwa zaidi ya miezi 13, baada ya usitishaji mapigano kuanza kutekelezwa na maelfu ya watu waliokimbia makazi yao kurejea katika miji na vijiji vyao, hasa kusini mwa Lebanon.

Hayo yamejiri katika taarifa iliyotolewa na chama hicho Jumatano jioni, ambapo kilihutubia, kikijivunia kile kinachoita ni ushindi na kuwataka raia wake kurejea katika maeneo yao kwa fahari na ujasiri."

Taarifa hiyo ilieleza kuwa mashambulizi ya kijeshi ya Hezbollah yalifikia 4,637, tangu kuanzishwa kwa kile kinachojulikana kama "Mafuriko ya Al-Aqsa" Oktoba 7, 2023, kwa kasi ya operesheni 11 kwa siku.

Hezbollah ilisema kuwa upande wa Israel ulipoteza wanajeshi 130 wakati wa uvamizi wa ardhini nchini Lebanon, pamoja na vifaru 59 vya Merkava na ndege nane zisizo na rubani, ikibainisha kuwa hasara hiyo haijajumuisha yale yaliyofanyika huko upande wa Israel katika ngome, kambi za kijeshi, makazi na miji iliyokaliwa kimabavu.”

Taarifa hiyo ilisisitiza kuwa "ujumbe huo ni kwa ajili ya jeshi ambalo liliweza 'kuangusha' malengo ya Israel na 'kulishinda jeshi lake'," na kuongeza kuwa wapiganaji wake "watasalia tayari kikamilifu kukabiliana na nia ya mashambulizi ya adui, Israel, na kwamba macho yao yataendelea kufuatilia mienendo na uondoaji wa majeshi ya adui nje ya mipaka yake."
Israel alidhani ubabe utamsaidia kushida vita ila kagonga mwamba, kama Hamas yenyewe ili mshinda yenye kaieneo kdgo kama kigamboni
 
Hezbollah ilisema kuwa upande wa Israel ulipoteza wanajeshi 130 wakati wa uvamizi wa ardhini nchini Lebanon, pamoja na vifaru 59 vya Merkava na ndege nane zisizo na rubani,
Mbona taarifa ni ya upande mmoja?
Je, kwa upande wao Hezbollah wamepoteza nini?
Kwa kuanzia, inajulikana kiongozi wao aliliwa kichwa mapema tu
 
Hezbolaha waongo,waliahidi kipigana mpaka Israeli iondoke Gaza,Israeli bado ipo Gaza na inaendeleza kipondo

Israeli ili waonya waache kuingilia ugomvi wake na Hamasi wakagoma Sasa Leo wapondwa na wamekubali hawataingilia Tena kuwasaidia Hamasi

Israeli pia opareshi yake ilikuwa kuwaondoa Hezbollah kwenye mpaka wake Ili raia warudi na Hilo lengo limetimia

Wenye akili hatudanganyiki na na uongo wa kitoto
 
Hezbolaha waongo,waliahidi kipigana mpaka Israeli iondoke Gaza,Israeli bado ipo Gaza na inaendeleza kipondo

Israeli ili waonya waache kuingilia ugomvi wake na Hamasi wakagoma Sasa Leo wapondwa na wamekubali hawataingilia Tena kuwasaidia Hamasi

Israeli pia opareshi yake ilikuwa kuwaondoa Hezbollah kwenye mpaka wake Ili raia warudi na Hilo lengo limetimia

Wenye akili hatudanganyiki na na uongo wa kitoto
Hakuna raia aliyerudi kaskazini mwa Lebanon usitudanganye brothee.
Kwasababu hao raia kuondoka Kwa sio Kwa uwepo wa Hizbollah Kwa miguu bali Kwa mashambulizi ya makombora.
Israel imefeli kuwazuia Hizbollah kurusha makombora ndio maana hadi leo raia hawajarudi.
Ila kupitia usitishwaji vita raia wa pande zote mbili wataweza kurudi kwenye makazi yao.
 
Hakuna raia aliyerudi kaskazini mwa Lebanon usitudanganye brothee.
Kwasababu hao raia kuondoka Kwa sio Kwa uwepo wa Hizbollah Kwa miguu bali Kwa mashambulizi ya makombora.
Israel imefeli kuwazuia Hizbollah kurusha makombora ndio maana hadi leo raia hawajarudi.
Ila kupitia usitishwaji vita raia wa pande zote mbili wataweza kurudi kwenye makazi yao.
Sasa uanbisha Nini na unakataa Nini?
 
Israel alidhani ubabe utamsaidia kushida vita ila kagonga mwamba, kama Hamas yenyewe ili mshinda yenye kaieneo kdgo kama kigamboni
Inashangaza sana kusema israel wameshindwa, wakati we all know sababu ya kusitisha ni kutokana na pressure ya mataifa ya nje juu ya anachofanya.

So kama kusingekwua na malalamiko kutoka nje? Angesimamisha operation?
 
Mtu muoga na asiye na mbinu wala uwezo wa kivita, ndivyo alivyo

Huo ushindi Hizibolla anaousema hapa ni upi?

Maana tageti na lengo la Israel tayari limeshatimia

Kula vichwa vyote vya viongozi wa Hizibolla na kudhofisha kabisa uwezo wa kundi hilo, ndilo limefanikiwa sana kwa upande wa Israel
 
View attachment 3164288

Hezbollah ilithibitisha "kupata ushindi" dhidi ya Israel, ambayo iliitaja kuwa "adui wa kufikirika", kwa zaidi ya miezi 13, baada ya usitishaji mapigano kuanza kutekelezwa na maelfu ya watu waliokimbia makazi yao kurejea katika miji na vijiji vyao, hasa kusini mwa Lebanon.

Hayo yamejiri katika taarifa iliyotolewa na chama hicho Jumatano jioni, ambapo kilihutubia, kikijivunia kile kinachoita ni ushindi na kuwataka raia wake kurejea katika maeneo yao kwa fahari na ujasiri."

Taarifa hiyo ilieleza kuwa mashambulizi ya kijeshi ya Hezbollah yalifikia 4,637, tangu kuanzishwa kwa kile kinachojulikana kama "Mafuriko ya Al-Aqsa" Oktoba 7, 2023, kwa kasi ya operesheni 11 kwa siku.

Hezbollah ilisema kuwa upande wa Israel ulipoteza wanajeshi 130 wakati wa uvamizi wa ardhini nchini Lebanon, pamoja na vifaru 59 vya Merkava na ndege nane zisizo na rubani, ikibainisha kuwa hasara hiyo haijajumuisha yale yaliyofanyika huko upande wa Israel katika ngome, kambi za kijeshi, makazi na miji iliyokaliwa kimabavu.”

Taarifa hiyo ilisisitiza kuwa "ujumbe huo ni kwa ajili ya jeshi ambalo liliweza 'kuangusha' malengo ya Israel na 'kulishinda jeshi lake'," na kuongeza kuwa wapiganaji wake "watasalia tayari kikamilifu kukabiliana na nia ya mashambulizi ya adui, Israel, na kwamba macho yao yataendelea kufuatilia mienendo na uondoaji wa majeshi ya adui nje ya mipaka yake."
😂😂, siku hizi anayepigwa ndio anakuwa mshindi.
 
Inashangaza sana kusema israel wameshindwa, wakati we all know sababu ya kusitisha ni kutokana na pressure ya mataifa ya nje juu ya anachofanya.

So kama kusingekwua na malalamiko kutoka nje? Angesimamisha operation?
Kwani hiyo pressure ilianza wiki jana mkuu jitahidi kua objective katika kuchambua masuala haya, Israel haiheshimu mazomio ya UN mpaka vita iwe mbaya kwake ndo anze kuaguayolia.
 
Hezbolaha waongo,waliahidi kipigana mpaka Israeli iondoke Gaza,Israeli bado ipo Gaza na inaendeleza kipondo

Israeli ili waonya waache kuingilia ugomvi wake na Hamasi wakagoma Sasa Leo wapondwa na wamekubali hawataingilia Tena kuwasaidia Hamasi

Israeli pia opareshi yake ilikuwa kuwaondoa Hezbollah kwenye mpaka wake Ili raia warudi na Hilo lengo limetimia

Wenye akili hatudanganyiki na na uongo wa kitoto
Umeandika ukweli mtupu
 
View attachment 3164288

Hezbollah ilithibitisha "kupata ushindi" dhidi ya Israel, ambayo iliitaja kuwa "adui wa kufikirika", kwa zaidi ya miezi 13, baada ya usitishaji mapigano kuanza kutekelezwa na maelfu ya watu waliokimbia makazi yao kurejea katika miji na vijiji vyao, hasa kusini mwa Lebanon.

Hayo yamejiri katika taarifa iliyotolewa na chama hicho Jumatano jioni, ambapo kilihutubia, kikijivunia kile kinachoita ni ushindi na kuwataka raia wake kurejea katika maeneo yao kwa fahari na ujasiri."

Taarifa hiyo ilieleza kuwa mashambulizi ya kijeshi ya Hezbollah yalifikia 4,637, tangu kuanzishwa kwa kile kinachojulikana kama "Mafuriko ya Al-Aqsa" Oktoba 7, 2023, kwa kasi ya operesheni 11 kwa siku.

Hezbollah ilisema kuwa upande wa Israel ulipoteza wanajeshi 130 wakati wa uvamizi wa ardhini nchini Lebanon, pamoja na vifaru 59 vya Merkava na ndege nane zisizo na rubani, ikibainisha kuwa hasara hiyo haijajumuisha yale yaliyofanyika huko upande wa Israel katika ngome, kambi za kijeshi, makazi na miji iliyokaliwa kimabavu.”

Taarifa hiyo ilisisitiza kuwa "ujumbe huo ni kwa ajili ya jeshi ambalo liliweza 'kuangusha' malengo ya Israel na 'kulishinda jeshi lake'," na kuongeza kuwa wapiganaji wake "watasalia tayari kikamilifu kukabiliana na nia ya mashambulizi ya adui, Israel, na kwamba macho yao yataendelea kufuatilia mienendo na uondoaji wa majeshi ya adui nje ya mipaka yake."
Yani waanzishe upumbavu/uchokozi wao wadundwe na kuomba cease-fire ambayo wamepewa masharti magumu na Israel ndiyo waseme wameshinda?Bloody fools!
 
Back
Top Bottom