Hezbollah yawaambia raia Waisrael kuhama Tel Aviv

Hezbollah yawaambia raia Waisrael kuhama Tel Aviv

Vitu vimetua Tela Aviv kiulaini kabisa Qadar 1 unambiwa hakuna wakuidaka hiyo Israel anajidai kaiangusha lakini ni uwongo mtupu Mossad imecharazwa leo sababu wamehusika na pager na kuwauwa wale Makamanda kushirikiana na wanafiki huko Lebanon na US.


View: https://youtu.be/LTH98kcCvJo?si=lkSeuHwGQ2k2hh9r



Sawa am agree with you ''Hezbo-Allah'' wanasumbua alarm za Israel bila matokeo, kesho vaa nguo nyeusi Msiba kwa Shujaa wako ''Nasra-Allah''
 
Wanaukumbi,

"Upinzani wa Kiislamu nchini Lebanon sasa unachukua hatua za kijeshi dhidi ya utawala wako, ambao umeshindwa kuhakikisha usalama wako na kukuingiza kwenye vita hivi bila kuzingatia matokeo.

Hatujali usalama wa wakaazi, lakini unapaswa kujali yako mwenyewe.

Ondoka kwa maeneo salama huko Tel Aviv na Eilat.

Ikiwa unataka vita hivi vikome, lazima uchukue hatua dhidi ya serikali ya Netanyahu na kudai kusitishwa kwa mapigano mara moja."
---
BREAKING: HEZBOLLAH TELL ISRAELI CITIZENS TO EVACUATE TEL AVIV"The Islamic Resistance in Lebanon is now taking military actions against your regime, which has failed to ensure your safety and dragged you into this war without regard for the consequences.

We do not care about the safety of residents, but you should care about your own. Evacuate to safe areas in Tel Aviv and Eilat.

If you want this war to stop, you must act decisively against Netanyahu's government and demand an immediate ceasefire."


View: https://x.com/mehdistudioz/status/1838850097603334236?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Wewe Mshia mwenzio Hassan Nasrallah sijui kama bado yupo? Tuliwaambia mkajifanya Allah Akbaru

View: https://x.com/TheMossadIL/status/1839697889955598560
 
Waondoke haraka sana maana Kuna silaha hazija testiwa kutoka Iran yasije yakawakuta mambo
Du wewe Revert, umeona mambo vile iko huko Lebanon! Mdada kesha dunguliwa anaenda kuwa bikira wa 72
Screenshot_20240928-035051_Chrome.jpg
 
War strategy itakuwa hizbullah wanatunza makombora makali sasa wanatumia yale ya kutoa kama chambo tu ili kupunguza au kudeplete iron dome na air defense za adui wao huwa mara nyingi vita ni mkakati sio hasira ,ili ushinde ni mkakati halafu na hasira ya kuimplement hizo strategy.
Acha waendelee kuchapana heshima ipatikane
Jamaa wameamua kudeal na kichwa cha nyoka.Hakuna mkakati wowote hizbullah anao.Myahudi anasubiri wajichanganye aishangaze dunia
 
Back
Top Bottom