Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kondoo huyoOna ili kubwa jinga mwaka wa kumi huu hata kuandika vizuri alijui,sasa ndio umeandika nini hapa we kiazi!!?
Wanakumbi.
🚨🇱🇧VYA HABARI VYA LEBANE: HEZBOLLAH YADAI KUTEKWA KWA ASKARI WA ISRAELI
Kulingana na ripoti kutoka LBC Lebanon Kitengo Maalum cha Al-Radwan cha Hezbollah kilikamata kundi la maafisa na wanajeshi wa Israeli.
Katika taarifa ya awali kitengo hicho kilionya kuwa huo ni mwanzo tu wa kulipiza kisasi vikali dhidi ya Jeshi la Ulinzi la Israel.
Matamshi ya Hezbollah yanaongezeka huku mzozo huo ukizidi, huku kundi hilo likisisitiza azma yao ya kukabiliana na vikosi vya Israel.
Chanzo: LBCI, Vyombo vya Habari vya Lebanon
Picha: Illustrative, Archive
=========================
View: https://x.com/marionawfal/status/1846875588986130704?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Ndo wawafiche sura??Hezbullah huwa hasemi uwongo hio itakuwa habari ni ya kweli kabisa, wacha nikachungulie channel yao Al Manar takuja na habari ya uhakika.
Nadhani waliofichwa sura. Ni hizbullahNdo wawafiche sura??
Hasemi uongo eeehhh...Hezbullah huwa hasemi uwongo hio itakuwa habari ni ya kweli kabisa, wacha nikachungulie channel yao Al Manar takuja na habari ya uhakika.
Wanakumbi.
🚨🇱🇧VYA HABARI VYA LEBANE: HEZBOLLAH YADAI KUTEKWA KWA ASKARI WA ISRAELI
Kulingana na ripoti kutoka LBC Lebanon Kitengo Maalum cha Al-Radwan cha Hezbollah kilikamata kundi la maafisa na wanajeshi wa Israeli.
Katika taarifa ya awali kitengo hicho kilionya kuwa huo ni mwanzo tu wa kulipiza kisasi vikali dhidi ya Jeshi la Ulinzi la Israel.
Matamshi ya Hezbollah yanaongezeka huku mzozo huo ukizidi, huku kundi hilo likisisitiza azma yao ya kukabiliana na vikosi vya Israel.
Chanzo: LBCI, Vyombo vya Habari vya Lebanon
Picha: Illustrative, Archive
=========================
View: https://x.com/marionawfal/status/1846875588986130704?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wewe muache tu aendelee na Taqqya yake huyu islamist Ritz. Wangekuwa na akili wangeisha ng'amua kuwa kwenye hii vita kamungu kao at best ni yule Shetani otherwise ni kuwa hamna huyo mungu anaitwa allah, ndiyo maana kila kukicha wanapukutishwa tu. Wazinduke na kutoka huko. Ufunuo 18:4Ipuuzeni hii taarifa kwani ni ya kubumba tu kutoka masjid ubwabwa. Hakuna askari yeyote wa Israel aliyetekwa na magaidi wa Hezbollah.
The news is one of the spurious news emanating from the muslim's mosques. It's common for the muslim worshippers to indulge in peddling lies inside the mosques after finishing the prayers.
Hakuna lolote wanacheck kama wamemuwa kama yale yale ya uwongo wa Hashim Seif Din wa Hezbullah wamesema wamenuwa kumbe hamna lolote.
Wanakumbi.
🚨🇱🇧VYA HABARI VYA LEBANE: HEZBOLLAH YADAI KUTEKWA KWA ASKARI WA ISRAELI
Kulingana na ripoti kutoka LBC Lebanon Kitengo Maalum cha Al-Radwan cha Hezbollah kilikamata kundi la maafisa na wanajeshi wa Israeli.
Katika taarifa ya awali kitengo hicho kilionya kuwa huo ni mwanzo tu wa kulipiza kisasi vikali dhidi ya Jeshi la Ulinzi la Israel.
Matamshi ya Hezbollah yanaongezeka huku mzozo huo ukizidi, huku kundi hilo likisisitiza azma yao ya kukabiliana na vikosi vya Israel.
Chanzo: LBCI, Vyombo vya Habari vya Lebanon
Picha: Illustrative, Archive
=========================
View: https://x.com/marionawfal/status/1846875588986130704?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wanakumbi.
🚨🇱🇧VYA HABARI VYA LEBANE: HEZBOLLAH YADAI KUTEKWA KWA ASKARI WA ISRAELI
Kulingana na ripoti kutoka LBC Lebanon Kitengo Maalum cha Al-Radwan cha Hezbollah kilikamata kundi la maafisa na wanajeshi wa Israeli.
Katika taarifa ya awali kitengo hicho kilionya kuwa huo ni mwanzo tu wa kulipiza kisasi vikali dhidi ya Jeshi la Ulinzi la Israel.
Matamshi ya Hezbollah yanaongezeka huku mzozo huo ukizidi, huku kundi hilo likisisitiza azma yao ya kukabiliana na vikosi vya Israel.
Chanzo: LBCI, Vyombo vya Habari vya Lebanon
Picha: Illustrative, Archive
=========================
View: https://x.com/marionawfal/status/1846875588986130704?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wanakumbi.
🚨🇱🇧VYA HABARI VYA LEBANE: HEZBOLLAH YADAI KUTEKWA KWA ASKARI WA ISRAELI
Kulingana na ripoti kutoka LBC Lebanon Kitengo Maalum cha Al-Radwan cha Hezbollah kilikamata kundi la maafisa na wanajeshi wa Israeli.
Katika taarifa ya awali kitengo hicho kilionya kuwa huo ni mwanzo tu wa kulipiza kisasi vikali dhidi ya Jeshi la Ulinzi la Israel.
Matamshi ya Hezbollah yanaongezeka huku mzozo huo ukizidi, huku kundi hilo likisisitiza azma yao ya kukabiliana na vikosi vya Israel.
Chanzo: LBCI, Vyombo vya Habari vya Lebanon
Picha: Illustrative, Archive
=========================
View: https://x.com/marionawfal/status/1846875588986130704?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Fuatilia BBC utaona kaka.Wewe punguani kweli lini BBC walishawahi kuandika habari za Hamas au Hezbollah?
Kaka pole Kwa msibaWewe punguani kweli lini BBC walishawahi kuandika habari za Hamas au Hezbollah?
HiiHuu ni uongo huoni hao askari wametekwa halafu wakaachiwa rifle kwa nyuma. Akili mnemba inapotosha sana watu siku hizi.
Huu ni uongo huoni hao askari wametekwa halafu wakaachiwa rifle kwa nyuma. Akili mnemba inapotosha sana watu siku hizi.