Hidden cancer cures


Samahani mkuu hapo lwenye GEARD ulimaanisha GERD? Hiyo bicabonate ulinunua wapi?
 
....pia magonjwa yote ya autoimmune kama vitiligo hutubiwa kwa kupunguza nguvu kinga...

He he heee,tunarudi kulekule kwamba elimu mliyofundishwa haiwapi ukweli ulivyo kuhusu vyanzo halisi vya magonjwa kama haya,yaani ninyi mna attach dalili tu,halafu mkiambiwa mnakuwa wabishi.Mtu yeyote aliyeelimika anaposikia jambo jipya kwanza anaanza kuhoji halafu kama kuakuwa na utata ndio ataanza kupinga kwa hoja,ninyi hamko hivyo.

Yaani unashindwa kujiuliza kwamba,kabla ya mtu kupata autoimmune mwanzoni hakuwa nao ugonjwa huu lakini kinga alikuwa nayo lakini ilikuwa haimshambulii,lakini unakufika wakati kinga inaanza kumshambulia.Sasa hamjiulizi kwa nini mwanzo kinga yake haikumshambulia lakini badala yake inakuja kumshambulia sasa.Mnachoona ninyi kupunguza nguvu ya kinga tu bila kudhibiti chanzo halisi,yaani haya maneno ninasema hata kama mtu hajamaliza darasa la saba anaelewa,sijui ninyi mna matatizo gani.Ninyi hamuoni kwamba mnapopunguza nguvu ya kinga mgonjwa yuko hatarini kupata magonjwa mengine halafu akifa mnasema ugonjwa huu hauna dawa kama mnavyofanya kwenye Cancer,HIV/AIDS na kisukari.Magonjwa haya yote niliyotaja,wagonjwa wake wanakufa kwa dawa ambazo zinaongeza tatizo.

... ni maswala ya kubalansi faida na hasara...

Nani kakudanganya kwamba huwa mnabalance faida na hasara?
 

Mkuu,kama ukifuatilia vyakula alivyotaja napoteza hapo chini utaona kwamba vinafanya mambo yote hayo uliyouliza hapo juu.Mimi sio daktari,ila nina uelewa wa mambo haya kwa kiwango changu,hivyo napenda kushiriki na wengine kwa kuwa nimeshathibitisha ukweli wake na ningependa wengine wajue pia.


Tunakushukuru sana napoteza kwa maneno haya.Yaani hii protocol ni balaa,ni mchanganyiko wa Budwig's protocol,Dr.Gerson therapy na Dr.Simoncin protocol,zote kwa pamoja zina attack cancer.Yaani mama yako yuko juu sana,watu hawajui tu,ananikumbusha yule mama miaka ya 1922 anayeitwa Rene Caisse aliyetumia Essiac tea kutibu cancer halafu Big Pharma wakamzuia.Ila sijui kama mama yako anajua kwamba yeye ni muhimu sana katika jamii hii ya sasa iliyokuwa brainwashed na Big Pharmaceutical Industries.Watu wakitaka kujua therapy zote hizi na pia nina maana gani,basi wafuatilie ile documentary ya "Cancer:The Forbidden Cures" niliyoiweka kwenye huu uzi hapo juu.
 

Mtu aliyeaminishwa kuwa usiku ni mchana na mchana ni usiku akiambiwa tofauti atakuwa mkali ajabu, tatizo ninaloliona hususan kwa wataalamu wetu wa afya tena wengi wa kiasi cha kutosha ni kukariri na hawafikiri nje ya box.

Nakumbuka wakati fulani niliwahi kuweka malalamiko yangu hapa kuhusu watalaamu wetu wa tiba pale Muhimbili kutokana na kukosa maadili baada ya kumtumia mgonjwa wangu kufundishia bila ridhaa yangu wala ya mgonjwa mwenyewe, lakini badala ya kukiri makosa waliitana hapa na kujaribu kujitetea kijinga kabisa mpaka nikashangaa na kjiulza weledi wao uko wapi!

Si kwamba ni makampuni ya madawa pekee yanayonufaika na afya zetu, hata hawa wataalamu wetu wa afya wenye tamaa ya fedha wanatumia ujinga wa watanzania wachache wasioweza kuhoji weledi wao pale wanapoandikiwa dawa ambapo wamegeuza afya zetu kuwa chumo ili kujinufaisha kiuchumi.

Sasa akijitokeza mtu mwenye weledi wa kile walichokisoma akatoka nje ya box na kuwaelimisha wengine ndiyo utawaona wanakuja na kutokwa na povu, kisa anahatarisha maslahi yao.

Kupitia kansa kisukari, Ukimwi na sasa hivi figo wanapata safari za nje na Per Diem a kutosha kwa kuhudhuria makongamano ya tiba na warsha mbalimbali achilia mbali mishahara minono na marupurupu.

Anachokieleza mkuu Deception si kigeni sema tu Watanzania ni wavivu wa kusoma na kufanya utafiti lakini kama ukiingia mtandaoni unakuta kila kitu, na awali kabisa hawa wataalamu walioamua kusema ukweli hususan nchini Marekani wengine walifungwa jela.

Wachina wana msemo mmoja kwamba ukitaka kusema ukweli jiandae kukimbia..... Kwa hiyo sishangazwi na mashambulizi anayoapata mtoa mada kwa sababu anagusa maslahi ya watu.

Mkuu endelea kuwafumbua Watanzania macho na hao wanaotaka MODS wafunge huu uzi hilo halitotokea kwa sababu MODS wa JF hawafanyi kazi kwa maslahi ya kundi fulani.....

Kwa kujielimisha fungueni hiyo link hapa chini.....


100 Years of Suppressed Cancer Cures Finally Revealed...
 
Kweli tupu dah!!nashangaa sana wanaoongelea mbegu ya peaches kuponya kansa wallah wazungu wasingekufa kwa kansa maana wanamapeaches all seasons of the year na kansa inawamaliza acha kabisa.

One of the WORST Things You Can Do...

…is subject your body to toxic chemicals which have a 98% failure rate. It's quite shocking for most people to discover that their medication isn't really doing anything to cure their disease.

These chemicals destroy everything living, good cells, bad cells, organs, immune system, nervous system, and pretty much the entire body.
Chemo particularly destroys of the rapidly multiplying and dividing cells found in your:

Bone marrow, which produces blood
Digestive system
Reproductive system
Hair follicles
In America, 40 percent of people with cancer die from malnutrition. When the cells in your digestive system and intestines die, this prevents almost any absorption of food.

Even government statistics show that chemotherapy and drugs are a failure and have shown no benefit whatsoever in the treatment of cancer.

Almost a century years ago a scientist named Otto Warburg won 2 Nobel Peace prizes for determining the cause of cancer. , He exclaimed " there is no disease that we know more about the cause and the cure than cancer."

Since that time over 300 successful cancer remedies have surfaced with results as high as 99%. What do you think happened to these remedies? Big Pharma spent hundreds of millions of dollars suppressing them and discrediting any doctor who supported them.
 
georgeousmimi na Redgiant mkiendelea kubisha na hili nyie sio madokta wasomi ntakuwa mmekariri af mtakuwa na uchawi ndani yake na mtakuwa ni agent wa wajenzi huru hamuwezi kuwa wabishi kiasi hiki angali mna macho na masikio ,someni hii msipoamini na hii nyie mtakuwa si wazima

http://www.thebigcancerlie.com/
 
Last edited by a moderator:
Kwa mtu mwenye kuipa uhuru akili yake ifikiri nje ya box hawezi kupinga ukweli unaotolewa hapa labda iwe kama alivyosema mkuu Mtambuzi ya kuwa wanalinda maslahi yao binafsi au ya taasisi kwa ujumla kwa kuweka rehani Miili ya binadamu wenzao kwa ajili ya tonge.
 
Last edited by a moderator:
mimisiowewe nashukuru kwakutambua, ukiangalia hiyo link hayo yote yameandikwa kwamba madokta wamewekewa limit ukisema ukweli unauwawa au kufungwa na hito jumuia imeamua kusema ukweli wenzao wengine wamefungwa na kuuwawa soma hiyo link@georgeousmimi soma hapo
 
Last edited by a moderator:
Tupo pamoja sana mkuu Lupamba's grandson, namshukuru sana aliyeniumba kwa kunipa uelewa wa mambo na kutokuwa mbishi pale ninapoelekezwa jambo nisililolijua, nimefuatilia huu uzi tokea unaanza na nawapa sana shukurani wale wote wanaleta facts za maana juu ya hili jambo adhwimu, mkuu Deception unastahili pongezi sana kwa kuanzisha na kufungua mlango wa uelewa na kutumia muda wako na imekuwa changamoto kwa waliowengi wenye kupenda kujua.
Haya tuyaonayo ni moja ya mikakati endelevu kati ya zile nyingi zilizobuniwa na zinazozidi kubuniwa katika kutekeleza New World Order.
 
Last edited by a moderator:
....Kwa kujielimisha fungueni hiyo link hapa chini.....


100 Years of Suppressed Cancer Cures Finally Revealed...

Tunashukuru sana Mtambuzi kwa mchango wako muhimu.Nashauri watu wawe wepesi kufuatilia link wanazotoa wana JF wengine ili kujiongeza zaidi,ukiona mwenzako katoa link ujue kuna kitu ameona ni muhimu na wewe ukakijua,hivyo tusidharau.Pia ili usiyumbishwe na watu wenye nia mbaya na afya zetu inabidi uwe fiti kwelikweli ki uelewa,vinginevyo ni rahisi ukayumbishwa na kudanganywa na watu wenye nia mbaya,sasa ili uwe fiti inabidi usome sana hasa link hizi zinazotolewa humu.

Nitaongezea link mbili,moja inazungumzia sayansi ya cancer,yaani kwa nini watu hupata cancer na jinsi ya kuiondoa.Halafu link nyingine inazungumzia special case ya tiba ya cancer ambayo nilishaidokeza ambayo ni Vitamini B17,hapa mtaona mfano mahsusi wa mtu anayeelezea historia yake ya cancer na jinsi alivyojitibu kwa kutumia vitamini B17,pia anatoa ushauri kama mtauliza maswali ambayo yako ndani ya uelewa wake.Pia kuna watu wengine humo wanatoa ushuhuda wao kuhusu cancer kwa tiba tofauti tofauti.

pH and Cancer - Acidic pH Levels and their link to Cancer

I BEAT CANCER WITH VITAMIN B17: HOW I BEAT CANCER WITH B17

Karibuni.
 

Tulikuwa tunakufa tu!


Hahaahahahaha Halafu mbona Vifo vya Mama Na Mtoto Vimezidi kuliko Enzi zetu za Zamani za Wakunga..

Maaa Sasa Hivi kila Redio inamatangazo. Na Vifo Vinatokea Hospitalini
 
Hahaahahahaha Halafu mbona Vifo vya Mama Na Mtoto Vimezidi kuliko Enzi zetu za Zamani za Wakunga..

Maaa Sasa Hivi kila Redio inamatangazo. Na Vifo Vinatokea Hospitalini

Siyo kweli ni kinyume chake!
Sasa hivi vifo vimepungua sana ukilinganisha na zamani na ushahidi rahisi tu, ni ongezeko la watu miaka ya 60' tulikuwa milioni 18 sasa hivi tumevuka 40
huo ni ushahidi tosha kwamba watoto wanaovuka utoto bila kifo ni wengi klk zamani!

 

Sasa ushahidi ulioutoa wewe uko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…