MUHIMU:
1.Huwezi kupona cancer kama damu yako ni acidic,yaani ina tindikali.Inabidi damu iwe alkaline/nyongo kwa kiwango kinachotakiwa ndio uweze kupona.
2.Huwezi kupona cancer kama mwili/damu yako ina sumu.Inabidi uondoe sumu ndio uweze kupona.
3.Ukifanya namba 1 na namba 2 hapo juu ndio hatua namba 3 itafanikiwa kwa urahisi sana.Hapa kwenye hatua hii ni kula vyakula vyenye uwezo wa kuua moja kwa moja chembe hai za cancer.Chembe hizi zikifa hazirudi tena kwa kuwa tayari damu iko safi na mwili/damu haina sumu tena hivyo madini muhimu hayawezi kupotea mwilini.
Hii ndio sayansi ya cancer kwa lugha ya ki laymen/rahisi kabisa.
Baadaye nitaenda specific kwenye tiba mojawapo niliyoizoea na kuwapa specifications zake jinsi ya kumtibu mgonjwa ambaye tayari ana cancer na mmepoteza matumaini kabisa.
Sasa tuzungumzie tiba maalum ya cancer:
Kama nilivyoeleza mwanzoni kwamba kuna tiba nyingi za cancer ambazo zimetuzunguka bila sisi wenyewe kujua kutokana na kutokuwa na maarifa na kudanganywa na sekta rasmi ya tiba za magharibi.Tiba hizo zinakuwa na nguvu zaidi kama zitatumika kwa kushirikiana na tiba nyingine.
Kwa sasa nitazungumzia kimelea cha asili kiitwacho
amygdalin,jina la kawaida inaitwa
laetrile,kimelea hiki kimepewa jina ambalo sio rasmi na kuitwa
vitamin B17.Kimelea hiki kinapatikana kwenye vyakula vya asili kama vile; mbegu za apricot/peach/almond,mbegu za maboga,mbegu za ufuta,mtama,ulezi,mbegu za alizeti,mihogo mibichi,uyoga.
Lakini kimelea hiki kinapatikana kwa kiwango kikubwa zaidi kwenye mbegu za apricot/almond.Kwa mtu ambaye haumwi cancer anashauriwa awe anakula tu vyakula vya aina hii na kamwe hatopata cancer.Lakini kwa mtu ambaye tayari ana cancer anashauriwa apate kimelea hiki kikiwa katika concetrated form.Concentrated form ya kimelea hiki inapatikana baada ya kufanya solvent extraction kutokana kwenye vyakula vinavyobeba kimelea hiki kwa kiwango kikubwa kama vile mbegu za apricot.
Baada ya kupatikana kwa kimelea hiki kwenye concentrated form,mgonjwa anaweza kutumia kama food supplement kama chakula katika dozi maalum itakayopendekezwa au kwa njia ya IV injection.Kumbuka kwamba kabla ya kutumia hiki kimelea hakikisha umepitia au unafanya kwa pamoja na hatua ile ya kwanza na ya pili,yaani unafanya therapy ya kuiweka pH ya damu yako iwe alkaline(pH=7.365) halafu unafanya therapy ya kuondoa sumu mwilini kwa pamoja.Mambo haya yakienda pamoja ndio tiba inakuwa imekamilika.
Kazi ya vitamin B17 ni kuua chembe za cancer,chembe hizi zinapouawa cancer inatoweka na haiwezi kurudi kwa kuwa mazingira yanayofanya cancer kuwepo yanakuwa yameshaondolewa,yaani mwili unakuwa hauna sumu na pH ya damu iko sawa,hivyo ukipona umepona,yaani cancer ndio imekwenda zake,haiwezi kurudi.Kwa wale mliofanikiwa kupitia ile documentary nadhani mtakuwa mnaelewa ni kwa jinsi gani/kwa vipi vitamin B17 inaua chembe za cancer,nisingependa nielezee hapa kwa kuwa nataka kuokoa muda na nafasi.
Sasa basi,kama una mgonjwa wa cancer,kwanza kabisa hakikisha anapitia hatua ya kwanza na ya pili huku wakati huohuo ukimpatia vitamin B17 ili kuzuia cancer isiendelee zaidi.Mara nyingi kwa cancer zilizokaa muda mrefu huweza kupona kuanzia miezi 3.Haijalishi ni cancer gani,vitamin B17 inatibu au inaua cancer yoyote ile mwilini.Kwa wale wagonjwa waliopitia tiba za hospitalini kama vile chemotherapy na mionzi huweza kuchukua muda mrefu zaidi kupona kutokana na uharibifu uliofanywa na chemo na mionzi.Wagonjwa hawa ni vizuri kuwapa madini ya zinc ili kurahisisha usafirishwaji na unyonywaji wa vitamin B17 mwilini.
Utaratibu wa kutumia vitamin B17/amygdalin/Laetrile:
1.Hakikisha pH ya damu ya mgonjwa iko sawa kwa kula vyakula nilivyovitaja mwanzo.
2.Hakikisha mgonjwa anakula vyakula vinavyoondoa sumu mwilini kama nilivyovitaja.Hapa nitaongezea supplement iitwayo
pangamic acid ambayo ina uwezo mkubwa wa kuondoa sumu mwilini.Dozi ya pangamic acid ni 500mg mara mbili kwa siku,yaani asubuhi na jioni.
3.Sasa ili kuua chembe za cancer utatumia vitamin B17,500mg mara mbili kwa siku,asubuhi na jioni.Pia kuna supplement iitwayo
zinc citrate(20-50 mg mara mbili kwa siku)ambayo husaidia kusafirishwa na kunyonywa kwa vitamin B17 haraka mwilini.Pia kuna supplement iitwayo bromelain/papain,hizi ni proteolytic enzymes ambazo kazi yake ni kumenya ukuta wa nje wa chembe za cancer ambao kiasilia ni wa protini na kuziacha wazi ili kushambuliwa na kinga ya mwili.Kazi ambayo inafanywa na hizi proteolytic enzymes ni sawa na ile inayofanywa na trypsin itolewayo na pancreas/kongosho.
NB:
Bromelain:Hutokana na extract ya tunda la nanasi/pineapple.
Papain:Hutokana na extract ya tunda la papai/pawpaw.
Hivyo basi,mgonjwa anatakiwa atumie aidha bromelain au papain na si zote mbili kwa pamoja,200mg mara mbili kwa siku.
Vitamin B17 inatakiwa itumiwe pamoja na zinc citrate na pangamic acid.Bromelain au papain zinatakiwa zitumiwe asubuhi kabisa kabla mgonjwa hajakula chochote.
ANGALIZO:
1. Vitamin B17 na pangamic acid zinashusha presha na hivyo basi ni vyema mgonjwa akajua mapema hili.Dozi niliyoitoa hapo juu ni maalum kwa wagonjwa ambao wana presha ya kushuka.Kwa wale wasio na presha kabisa dozi yao inaongezeka na kufikia 1000mg mara mbili kwa siku kila moja.Vitamin B17 na pangamic acid zina faida mara mbili kwa wagonjwa wa cancer wenye presha ya kupanda kwa kuwa zinashusha presha.
2.Zinc citrate inaweza kusababisha mgonjwa kujisikia baridi hasa viganjani, pia homa kama mgonjwa atazidisha dozi.
3.Bromelain au papain huweza kusababisha maumivu ya tumbo kwa baadhi ya wagonjwa lakini si wote.Endapo mgonjwa atapata maumivu ya tumbo anaweza kupunguza dozi au kuiacha kabisa na kuendelea na nyingine zilizobaki kwa kuwa kazi ya hizi ni huharakisha tu kupona.
4.Kama mtu atakosa supplement ya vitamin B17 na pangamic acid anaweza tu kula mbegu zenyewe za apricot,anaweza kuanza na mbegu 7 kwa siku na aendelee kuongeza idadi hadi kufikia 26 kwa siku,kila siku.Nasema hivyo kwasababu supplement ya vitamin B17 na pangamic acid hazipatikani hapa kwetu kirahisi na uingizwaji wake unaweza kuwa na matatizo kutokana na chemical compound iliyomo ndani yake.Chemical compound yake ni sababu tosha ya kupigwa marufuku na TFDA kwa kuwa TFDA wanafanya kazi kwa kufuata protocols na si mantiki.TFDA wakishaona cynide component ndani yake huweza kuipiga marufuku bila hata kujiuliza sayansi ya ufanyaji kazi wake.
Kazi kwenu sasa,someni kwa makini huku mkirudia rudia mpaka huu mtiririko ukae kichwani na muwe madaktari wenu na watu wenu wa karibu.Kama kuna swali hapa mnaweza kuuliza,au kama kuna kitu sijakizungumzia mnaweza kukumbusha.