Hidden cancer cures

Hidden cancer cures

ndugu tiba kuna mionzi, chemotherapies na upasuaji. kwasababu dawa ilimletea madhara haimaanishi haijamponya. ni sawa na kusema dawa ya sindano haiponyeshi sababu iliuma wakati wa kuchoma.

Stick to what you want to believe ila kwa mm nakubaliana na deception kwa maelezo yake maana hiyo struggle ni kabla hata ya hii thread labda nikuulize Red Giant ilikuwaje chemo ikamaliza ndugu zake baba wote? Tena kuna mmoja alisema kapona na hizo chemo as hawakuona cells tena ila haiku chukua round ikamgonga kisa wa sawa hadi mauti? Na pia kwani side effect za hizo chemo si ni ziko wazi ndo maana madoctor hawawezi kukubali chemo maana wanae lewa mateso yake na bado utakufa
 
Last edited by a moderator:
Stick to what you want to believe ila kwa mm nakubaliana na deception kwa maelezo yake maana hiyo struggle ni kabla hata ya hii thread labda nikuulize Red Giant ilikuwaje chemo ikamaliza ndugu zake baba wote? Tena kuna mmoja alisema kapona na hizo chemo as hawakuona cells tena ila haiku chukua round ikamgonga kisa wa sawa hadi mauti? Na pia kwani side effect za hizo chemo si ni ziko wazi ndo maana madoctor hawawezi kukubali chemo maana wanae lewa mateso yake na bado utakufa
poa mkuu. mwisho wa siku mtu mwenyewe ndiye huchagua.
 
Mimi naomba kujifunza toka kwa waganga humu, je, chemotherapy ina "side effects"? Kama jibu ni ndio, ni zipi?

THE SIDE EFFECTS OF
CHEMOTHERAPY ON THE
BODY
Chemotherapy drugs are powerful enough to kill rapidly growing cancer cells, but they also
can harm perfectly healthy cells, causing side effects throughout the body.
Chemotherapy drugs are powerful enough to kill rapidly growing cancer cells, but they also
can harm perfectly healthy cells, causing side effects throughout the body.
The Side Effects of Chemotherapy on the Body
Cancer cells divide more quickly than healthy cells, and chemotherapy drugs effectively
target those cells. Unfortunately, fast-growing cells that are healthy can be damaged too.
There are many different chemotherapy drugs with the potential for many different side
effects. These effects vary from person to person and from treatment to treatment.
Factors that play a role in side effects include other ongoing treatments, previous health
issues, age, and lifestyle. Some patients experience few side effects while others feel quite
ill. Although most side effects clear up shortly after treatment ends, some may continue
well after chemotherapy has ended, and some may never go away.
Chemotherapy drugs are most likely to affect cells in the digestive tract, hair follicles,
bone marrow, mouth, and reproductive system. However, cells in any part of the body may
be damaged.
Circulatory and Immune Systems
Routine blood count monitoring is a crucial part of chemotherapy.
That’s because the drugs can harm cells in the bone marrow, where
blood is produced. This can result in several problems. Red blood cells
carry oxygen to tissues. Anemia occurs when your body doesn’t produce
enough red blood cells, making you feel extremely fatigued. Other
symptoms of anemia include:
lightheadedness
pale skin
difficulty thinking
feeling cold
general weakness
Chemo can lower your white blood cell count, which results in neutropenia. White blood cells
play an important role in the immune system: they help fight infection and ward off
illness. Symptoms aren’t always obvious, but a low white blood cell count raises the risk of
infection and illness. People with an immune system weakened by chemotherapy must take
precautions to avoid exposure to viruses, bacteria, and other germs.
Cells called platelets help the blood clot. A low platelet count, called thrombocytopenia,
means you’re likely to bruise and bleed easily. Symptoms include nosebleeds, blood in vomit
or stools, and heavier-than-normal menstruation.
Some chemo drugs can weaken the heart muscle, resulting in cardiomyopathy, or disturb
the heart rhythm, causing arrhythmia. This can affect the heart’s ability to pump blood
effectively. Some chemo drugs can increase the risk of heart attack. These problems are
less likely to occur if your heart is strong and healthy at the start of chemotherapy.
Nervous and Muscular Systems
The central nervous system controls emotions, thought patterns, and
coordination. Chemotherapy drugs may cause problems with memory, or
make it difficult to concentrate or think clearly. This symptom
sometimes is called “chemo fog,” or “chemo brain.” This mild cognitive
impairment may go away following treatment, or may linger for years.
Severe cases can add to anxiety and stress.
Some chemo drugs can cause pain, weakness, numbness, or tingling in the hands and feet
(peripheral neuropathy). Muscles may feel tired, achy, or shaky. Reflexes and small motor
skills may be slowed. It’s not unusual to experience problems with balance and coordination.
Digestive System
Some of the most common side effects of chemotherapy involve the
digestive tract. Mouth sores and dry mouth can make it difficult to
chew and swallow. Sores also may form on the tongue, lips, gums, or in
the throat. Mouth sores can make you more susceptible to bleeding and
infection. Many patients complain of a metallic taste in the mouth, or
a yellow or white coating on the tongue. Food may taste unusual or unpleasant.
These powerful drugs can harm cells along the gastrointestinal tract. Nausea is a common
symptom, and may result in bouts of vomiting. However, anti-nausea medications given in
conjunction with chemotherapy drugs can help alleviate this symptom.
Other digestive issues include loose stools or diarrhea. In some people, hard stools and
constipation can be a problem. This may be accompanied by pressure, bloating, and gas.
Take care to avoid dehydration by drinking plenty of water throughout the day.
Side effects involving the digestive system can contribute to loss of appetite and feeling
full even though you haven’t eaten much. Weight loss and general weakness are common.
Despite all this, it’s important to continue eating healthy foods.
Hair, Skin, and Nails (Integumentary System)
Many chemotherapy drugs affect the hair follicles and can cause hair
loss (alopecia) within a few weeks of the first treatment. Hair loss can
occur on the head, eyebrows, eyelashes, and body. As troubling as it
can be, hair loss is temporary. New hair growth usually begins several
weeks after the final treatment.
Some patients experience minor skin irritations like dryness, itchiness, and rash. You may
develop sensitivity to the sun, making it easier to burn. Your doctor can recommend topical
ointments to soothe irritated skin.
Fingernails and toenails may turn brown or yellow, and become ridged or brittle. Nail
growth may slow down, and nails may crack or break easily. In severe cases, they can
actually separate from the nail bed. It’s important to take good care of your nails to avoid
infection.
Sexual and Reproductive System
Chemotherapy drugs can have an effect on your hormones. In women,
hormonal changes can bring on hot flashes, irregular periods, or
sudden onset of menopause. They may become temporarily or
permanently infertile. Women on chemotherapy may experience
dryness of vaginal tissues that can make intercourse uncomfortable or
painful. The chance of developing vaginal infections is increased. Chemotherapy drugs
given during pregnancy can cause birth defects. In men, some chemo drugs can harm
sperm or lower sperm count, and temporary or permanent infertility is possible.
Symptoms like fatigue, anxiety, and hormonal fluctuations may interfere with sex drive in
both men and women. So can worrying about loss of hair and other changes in appearance.
However, many people on chemotherapy continue to enjoy an intimate relationship and an
active sex life.
Kidneys and Bladder (Excretory System)
The kidneys work to excrete the powerful chemotherapy drugs as they
move through your body. In the process, some kidney and bladder cells
can become irritated or damaged. Symptoms of kidney damage include
decreased urination, swelling of the hands and feet (edema), and
headache. Symptoms of bladder irritation include a feeling of burning
when urinating and increased urinary frequency.
You’ll be advised to drink plenty of fluids to flush the medication from your system and to
keep your system functioning properly. Note: Some medications cause urine to turn red or
orange for a few days. This isn’t cause for concern.
Skeletal System
Most people—and especially women—lose some bone mass as they age.
Some chemotherapy drugs can cause calcium levels to drop and
contribute to bone loss. This can lead to cancer-related osteoporosis,
especially in post-menopausal women and those whose menopause was
brought on suddenly due to chemotherapy.
According to the National Institutes of Health (NIH), women who have been treated for
breast cancer are at increased risk for osteoporosis and bone fracture. This is due to the
combination of the drugs and the drop in estrogen levels. Osteoporosis increases the risk of
bone fractures and breaks. The most common areas of the body to suffer breaks are the
spine and pelvis, hips, and wrists.
Psychological and Emotional Toll
Living with cancer and dealing with chemotherapy can exact an
emotional toll. You may feel fearful, stressed, or anxious about your
appearance and your health. Some people may suffer from depression.
Juggling work, financial, and family responsibilities while undergoing
cancer treatment can become overwhelming.
Many cancer patents turn to complementary therapies like massage and meditation for
relaxation and relief. If you have trouble coping, mention it to your doctor. They may be
able to suggest a local cancer support group where you can speak with others who are
undergoing cancer treatment. If feelings of depression persist, professional counseling
may be necessary.
Recommended for You
We’re Aware— Now What?
Understand a patient's
perspective on the need for
breast cancer research.
Hear her point of view »
Trials for New Cancer
Treatments Reach Only a
Fraction of Patients
Clinical trials, which give
perilously ill patients a chance to
live, often go unfilled in a
disconnect that hurts patients
and researchers alike.
Learn more »
Follow Us On Facebook!
Get updates on the latest health
news and inspirational stories.
Like our page »
Get the latest health &
wellness advice delivered
straight to your inbox, and
check out our other newsletters.
 Your privacy is important to us
Sign Up
Find us on:
Anxiety and
Depression
Swollen Hands and
Feet
Chemo's Long-Term Effect
on Bones
Chemo in the
Kidneys
Chemo Effect on
the Bladder
Chemotherapy and
Fertility
Fast-Tracked
Menopause
Fingernail and Toenail
Trouble
Sexual
Dysfunction
Balding:
The Signature Side
Effect Skin in Need of
Soothing
Digestive
Distress Loss of
Appetite
Mouth Sores
Chemotherapy and the
Heart
Chemo
Brain
Muscles and Motor
Skills
Chemotherapy in
the Blood
Nausea and
Vomiting
 
...... yakikufika utazitafuta hizi nyuzi uombe ziwepo au uwe na kumbukumbu nzuri

Mkuu watu kama hawa hawajauguliwa na watu wao wa karibu kwa ugonjwa huu.Kwa kuwa ameshasikia haya mambo,nina uhakika atayatumia endapo atapatwa na janga hili kwa mtu wake wa karibu.Hawezi kukubali hapa moja kwa moja kwa kuwa anaogopa kuonekana dhaifu.We unadhani hata mwizi ukimkamata Red Handed na ukampeleka mahakamani unafikiri atasema kama kweli ameiba?Basi ndio hawa watu walivyo.

Kuna doctor mmoja alikuwa anapinga kabisa kwamba ARVs hazisababishi yale magonjwa tunayoyaona kwa watu wanaozitumia.Lakini cha ajabu alipoulizwa ataje side effects za ARVs kwenye uzi wake humuhumu JF Doctors,akataja magonjwa hayo hayo ili kujibu swali la mwana JF mmoja aliyemuuliza,sasa unaona contradiction hapo?Ndio maana nakwambia hawa watu ni wa ajabu sana,ni kuwaacha kama walivyo waendelee na wanachojua.Kama ukifuatilia sana "The History of Western Medicine" utajua kwa undani kwa nini hawa madaktari wana tabia hii.
 
Mimi naomba kujifunza toka kwa waganga humu, je, chemotherapy ina "side effects"? Kama jibu ni ndio, ni zipi?
zipo side effects nyingi sana. ila common sana ni.

1. kunyonyoka nywele. ndiyo maana wagonjwa wengi wa kansa hupigwa vipara.

2.kichefuchefu na kutapika, hii husumbua sana.
3.kukosa hamu ya kula.
4.kupungua kwa kinga ya mwili hivyo kushambuliwa na magonjwa kirahisi.
5.kupata tabu kupumua na nyingine nyingi kaoroddhesha jamaa hapo juu.
 
naona kuna watu kuelewa ni kazi sana. ni hivi dawa za kansa huipunguza hadi unaweza dhani umepona kumbe hapana.

Ulichosema hapo juu kina apply kwa chemotherapy tu,lakini hai apply kwa natural therapy,na hii ni kwa sababu chemo inaharibu cell za cancer pamoja cell nzima,baada ya muda chanzo halisi cha cancer cells kinasababisha cancer nyingine na zile cells zilizoharibiwa nazo zinakuwa cancer.Na hii ni kwasababu chemo haitibu chanzo cha cancer na badala yake inaua tu cell za cancer wakati chanzo cha cancer kinabaki palepale.Ni utashi wa mgonjwa tu kula vyakula vinavyo reverse chanzo cha cancer ndipo atakapopona kabisa,bila ya hivyo chemo haziponeshi cancer bali zinaua cell za cancer tu na zaidi ya yote chemo inaharibu na cell nzima pia.Cell za cancer sio cancer.

Ila mainstream medicine wanachukulia kwamba cell za cancer ndio cancer yenyewe na ndio maana hawana tiba ya cancer.Mwenye macho na aone.Hii ina logic hata kwa mtu ambaye hajaenda shule.

....kuna cells zinaweza zisife na baadaye zinamutate na kuanza kuongezeka tena. ninazungumzia watumia chemo siyo hayo makabrasha ya majani...

Ofcourse,hata mimi ningeshangaa kama usingekuwa unazungumzia chemo kwa suala hili,nilijua utakuwa unazungumzia chemo tu,maana chemo na mionzi ndio huwa na tabia hii.Majani hayana tabia hii hata kama unayadharau.Sasa cell hizi ndizo zinajumuisha zile cell zilizoharibiwa ambazo mwanzo zilikuwa nzima.

..ukiwa na bahati na ukawahi inaweza kwisha ndiyo maana nilisema "haimaanishi imeisha"

Hapa hatutaki kupona kwa bahati bwana mkubwa.Hapa tunataka tiba za uhakika mkuu.Mbona jamaa baba yake alikuwa na stage 4 lakini amepona?Hata kama wewe unasema inawezekana bado ana cancer cells,je,huoni kwamba kama akiendelea na matibabu hayo cell zote za cancer zinakufa?Kama cell za mwanzo ambazo ndio nyingi zimekufa, kwa nini hizi zilizobaki chache zisife?Je,bado huoni logic hapa?

Mimi nawakubali ninyi ma doctor kwenye mambo mengi tu,lakini kwenye magonjwa kama HIV/AIDS,Cancer na kisukari mmelishwa matango pori,hamjui,na kibaya zaidi hamjui kama hamjui.
 
zipo side effects nyingi sana. ila common sana ni.

1. kunyonyoka nywele. ndiyo maana wagonjwa wengi wa kansa hupigwa vipara.

2.kichefuchefu na kutapika, hii husumbua sana.
3.kukosa hamu ya kula.
4.kupungua kwa kinga ya mwili hivyo kushambuliwa na magonjwa kirahisi.
5.kupata tabu kupumua na nyingine nyingi kaoroddhesha jamaa hapo juu.

Haya wana JF mmejionea wenyewe hapo kwenye namba 4,je,huu sio Ukimwi jamani?Sasa kama kinga imepungua hamuoni kama hata cancer yenyewe ni rahisi kurudi tena hapo?Yaani chemo inasababisha ukimwi na wakati huo huo inatengeneza cancer mpya,kuna uzima hapo jamani?Yaani unakuwa na magonjwa lukuki kwa wakati mmoja.

Unajua kwa mtu yeyote mwenye uelewa wa kutosha kuhusu mambo haya lazima ataenda mbali zaidi na kuona kwamba chemo na mionzi ni tiba zinazomdhalilisha mwanadamu,yaani huu ni ukiukwaji wa haki za binadau kabisa kwa manufaa ya watu wachache.Yaani ukimuona mgonjwa aliyetumia sana chemo au mionzi utamuonea huruma,na wengi hukatwa hata viungo vyao masikini, huku wakidanganywa kwamba hiyo ndio tiba pekee wakati kuna tiba rahisi sana ambayo inaendana na asili ya mwanadamu ambayo haidhalilishi kama chemo na mionzi.

Sisi tunaposema chemotherapy inasababisha ukimwi kwa nini inakuwa nongwa?Ninyi mkisema ndio mko sahihi.Siku zote penye ukweli huwa uongo unakaa pembeni.Basi hapa mtasema "kila dawa ina side effects",sasa toka lini side effect ikawa ni ugonjwa mwingine ambao nao unaua?Sasa lengo la dawa ni nini kama sio kuokoa kulinda uhai?Mwenye macho na aone mwenyewe.
 
Mkuu deception na wengine wote walioshiriki kutoa elimu hii ya tiba ya magonjwa sugu na kuziweka kinga zetu katika hali ya uimara kwa kutumia vyakula na mimea mingine tunawashukuru sana tena sana kwa kutumia muda wenu mwingi kutuelimisha hata pale mlipotolewa lugha za maudhi kutoka kwa madaktari wa tiba rasmi hamkukata tamaa kabisa.pia tunawashukuru madaktari wa tiba rasmi kwa hoja zao za kupinga kwani ziliwafanya nyinyi wakina deception na wenzako mtupe nondo zaidi hadi leo hii wengi tumeelewa kwani sehemu zote ambazo zilikuwa pia zinatuletea utata sisi wasomaji wa hizi mada za magonjwa sugu juu ya tiba za vyakula mkaweza kudadavua kwa undani zaidi hadi utata wote tuliokuwa nao leo hii umekwisha tena watu mbalimbali wametoa ushuhuda wao juu ya miujiza mikubwa inauofanywa na vyakula pale vikitumiwa kwa utaratibu unaofaa pasipo kuondoa virutubisho vilivyomo.napenda tena kukushukuru deception na wadau wengine kwani mmetufungua fahamu wengi.lakini sijaweza kuipata video ya namna ya kupata hamp oil/cannabis oil.tafadhali kama inawezekana naomba maelezo ya maandishi tu namna ya kuandaa hamp oil hadi iweze kuwa tiba.naomba maelezo tu namna ya kuandaa kwani nyuzi kama hizi hazikai muda mrefu bila kufutwa.sehemu ambayo nipo muda huu network ya internet ni ndogo haiwezi kufungua video hivyo naomba maelezo namna ya kuandaa hamp oil/cannabis oil kabla ya huu uzi kufutwa.natanguliza shukrani
 
Mkuu kichelepure nimeingia haraka haraka ila zipo sites nyingi na wengine watakuja kukupa zaidi
 
Last edited by a moderator:
Haya wana JF mmejionea wenyewe hapo kwenye namba 4,je,huu sio Ukimwi jamani?Sasa kama kinga imepungua hamuoni kama hata cancer yenyewe ni rahisi kurudi tena hapo?Yaani chemo inasababisha ukimwi na wakati huo huo inatengeneza cancer mpya,kuna uzima hapo jamani?Yaani unakuwa na magonjwa lukuki kwa wakati mmoja.

Unajua kwa mtu yeyote mwenye uelewa wa kutosha kuhusu mambo haya lazima ataenda mbali zaidi na kuona kwamba chemo na mionzi ni tiba zinazomdhalilisha mwanadamu,yaani huu ni ukiukwaji wa haki za binadau kabisa kwa manufaa ya watu wachache.Yaani ukimuona mgonjwa aliyetumia sana chemo au mionzi utamuonea huruma,na wengi hukatwa hata viungo vyao masikini, huku wakidanganywa kwamba hiyo ndio tiba pekee wakati kuna tiba rahisi sana ambayo inaendana na asili ya mwanadamu ambayo haidhalilishi kama chemo na mionzi.

Sisi tunaposema chemotherapy inasababisha ukimwi kwa nini inakuwa nongwa?Ninyi mkisema ndio mko sahihi.Siku zote penye ukweli huwa uongo unakaa pembeni.Basi hapa mtasema "kila dawa ina side effects",sasa toka lini side effect ikawa ni ugonjwa mwingine ambao nao unaua?Sasa lengo la dawa ni nini kama sio kuokoa kulinda uhai?Mwenye macho na aone mwenyewe.
mkuu japo kinga inashuka lakini faida zake bado ni kubwa. ngoja nikupe mfano. mtu figo zikifail hupewa za mtu mwingine. kinga za mwili zinashindwa kutambua figo mpya na kuanza kuzishambulia. ili kuzuia hilo inabidi mgonjwa apewe dawa za kunyong'onyeza kinga za mwili kama prednisolone. pia magonjwa yote ya autoimmune kama vitiligo hutubiwa kwa kupunguza nguvu kinga. ni maswala ya kubalansi faida na hasara. mkuu mimisiowewe siwezi acha kuandiiika ukweli kwa kuogopa kujikaanga.
 
Last edited by a moderator:
mkuu japo kinga inashuka lakini faida zake bado ni kubwa. ngoja nikupe mfano. mtu figo zikifail hupewa za mtu mwingine. kinga za mwili zinashindwa kutambua figo mpya na kuanza kuzishambulia. ili kuzuia hilo inabidi mgonjwa apewe dawa za kunyong'onyeza kinga za mwili kama prednisolone. pia magonjwa yote ya autoimmune kama vitiligo hutubiwa kwa kupunguza nguvu kinga. ni maswala ya kubalansi faida na hasara. mkuu mimisiowewe siwezi acha kuandiiika ukweli kwa kuogopa kujikaanga.

Duh kazi ya predinisolone ni kunyong'onyeza kinga za mwili? Ooo tate nane? My dad and son wana asthma na ndo dawa yao😣😣😣 sasa why kunyong'onyezwa😧😧😧 mwe nna kazi sana ila tutapambana kibishi tu
 
Last edited by a moderator:
Duh kazi ya predinisolone ni kunyong'onyeza kinga za mwili? Ooo tate nane? My dad and son wana asthma na ndo dawa yao sasa why kunyong'onyezwa mwe nna kazi sana ila tutapambana kibishi tu
dawa moja inaweza kuwa kazi nyingi. hawa ninaosema hupata dozi kubwa sana.
 
poa mkuu. mwisho wa siku mtu mwenyewe ndiye huchagua.

Ndugu yangu utapoteza muda wako bure . Huyo ni mtu mmoja tu with differents id anayetafuta kutoka kimaisha kupitia wagonjwa walio desparate. Kwa kigezo cha tiba mbadala au miti shamba
 
Ndugu yangu utapoteza muda wako bure . Huyo ni mtu mmoja tu with differents id anayetafuta kutoka kimaisha kupitia wagonjwa walio desparate. Kwa kigezo cha tiba mbadala au miti shamba

Laiti mngelijua☺☺☺ yakiwafika mtatafuta hizi thread
 
Laiti mngelijua☺☺☺ yakiwafika mtatafuta hizi thread

Offcoz watazitafuta sana hizi thread. Wewe fikirikia mtu yuko desparate . Ana kansa. Hata nauli ya kwenda hospital kufuatilia tiba hana. Why asitafute mambegu ya maparachichi na mihogo mibichi. Na mambegu ya ma peachez na nyundo yake na koleo. Na juice za nichicha na mibangi. Maana hayo mavitu hata kipimo hayana
 
Offcoz watazitafuta sana hizi thread. Wewe fikirikia mtu yuko desparate . Ana kansa. Hata nauli ya kwenda hospital kufuatilia tiba hana. Why asitafute mambegu ya maparachichi na mihogo mibichi. Na mambegu ya ma peachez na nyundo yake na koleo. Na juice za nichicha na mibangi. Maana hayo mavitu hata kipimo hayana
Kweli tupu dah!!nashangaa sana wanaoongelea mbegu ya peaches kuponya kansa wallah wazungu wasingekufa kwa kansa maana wanamapeaches all seasons of the year na kansa inawamaliza acha kabisa.
 
Back
Top Bottom