Hidden cancer cures

Hidden cancer cures

Kweli tupu dah!!nashangaa sana wanaoongelea mbegu ya peaches kuponya kansa wallah wazungu wasingekufa kwa kansa maana wanamapeaches all seasons of the year na kansa inawamaliza acha kabisa.

Labda daktari unifungue macho na mie kwamba kabla ya wazungu tulikuwa tunajitibu vp?
 
Labda daktari unifungue macho na mie kwamba kabla ya wazungu tulikuwa tunajitibu vp?

Probs ya Dr's mmeamua ku ignore kabisa food science ilhali Mnaelewa kuw there is some truth in them sasa hizo medical deadly ndio what put you thru skull na ndo maana mkiugua nyie ni dawa za pain killers lakini ma pharmacist wajanja hata watt wao wanawatibu by natural foods
 
Kweli tupu dah!!nashangaa sana wanaoongelea mbegu ya peaches kuponya kansa wallah wazungu wasingekufa kwa kansa maana wanamapeaches all seasons of the year na kansa inawamaliza acha kabisa.

Ha ha haaa,very weak indeed.Too bad,too bad!!Siamini macho yangu kama wewe ndiye yule anayewashauri watu kuhusu tiba/dawa halafu ndiye huyuhuyu anayeongea maneno haya.
 
Ha ha haaa,very weak indeed.Too bad,too bad!!Siamini macho yangu kama wewe ndiye yule anayewashauri watu kuhusu tiba/dawa halafu ndiye huyuhuyu anayeongea maneno haya.

Unajua mm najiuliza sana hawa madaktari siku hizi tiba chakula hawataki kabisa au hawakufundishwa? gorgeousmimi labda nashindwa kuelewa au la syllabus zimebadilika sana au ni sisi tu natumia tiba ambazo ziko outdated nashindwa kujua ila ni kweli vyakula haiponyeshi Dr? Maana mm nakumbuka hata machungwa huleta vitamin, upungufu wa damu kunywa maji ya maharage au mchicha uliochemshwa, macho kuona vizuri tafuna carrots je ni kweli hivi vitu havina kazi mwilini isipokuwa madawa yenu ya hospitali? Mm wakati baba anapata chemo kucha zake zili anza kung'ooka, hebu imagine mama alikuwa anamdress na detol kila asubuhi na jioni, na kuvifunika inzi wasitue maana vilikuwa vina toa us aha, siku moja aliamka akaamua kuvimwagia vidole vya msure apple cider vinegar imagine hapo ni after kuhangaika mno na detol na vidonda vikaanza ku respond, vikakauka kabisa after 4 days na sasa kucha zimeanza kuota, imagine mtu a najiona kila siku mausaha yanayomtoka, na hao inzi wanavosumbua mpaka inabidi kuvaa gloves all the time, na shaking hands kwa kuogopa infection, no touching money kwa kuogopa infection halafu leo nakwambia kuwa chakula ni a big part of his healing ww unakataa wakati ni dhahiri kuwa vyakula ndio mpango mzima! Alishajikatia tamaa, ameona ndugu zake wakigharamika kujitibu na bado wa kafa hivi unataka kuniambia hofu ya mauti haikumkuta? You just don't know how thankful he is to my mom by forcing him to drink and eat those foods na kwa taarifa tu everybody anayemwona how well he is doing a namuuliza umefanyaje fanya je? Anawaeleza muulize ni mke wangu maana alikuwa ananiamsha saa 11 asubuhi naanza kula, she knows what she gave me! Yy kama yy alimdissapoint hadi mama but mama never gave up! Ye alijua hana ujanja he is done but he is healthy and happy now
 
Last edited by a moderator:
hiyo B17 yenyewe kwenye mbegu za peaches hiko kwenye mbegu zile chungu, na unashauriwa usile nyingi kwa siku kwakuwa zinaleta matatizo mengine, kwahiyo siyo kila mbegu ya peaches tu ina hiyo B17 ya kutosha na siyo kula tu kama unatafuna karanga, kama ukitaka kujua ni nini namaanisha, ukila apple unatakiwa utafune na zile mbegu zake, sasa ule uchungu ndiyo mambo yenyewe, tunda jingine ambalo linasaidia Staferi, hiwe unakula tunda kama tunda ama juisi, hili tunda linawasaidia sana watu wanaofanya chemo, huwa inabusti sana immunsystem.

Kwakweli mtu unapoumwa na kama unataka kupona, wewe ndiyo inapaswa huwe injinia wa matatibabu yako, hasa cancer ni ugonjwa ambao waweza ushinda kama wewe mgonjwa umeamua kupambana nao, inatakiwa usidharau info, na dawa, ziwe za hospital ama mbadala, yapaswa ujaribu kotekote.
Hapa watu wasibezane kwamba kitu kama hicho hakuna, dawa mbadala zipo, wengine zinawasaidia wengine hapana, sawa na matibabu wanayofanya hospital, watu wengine wanapona, kwahiyo muhimu ni kuelekezana dawa na si kubezana.
 
Wheat grass juice nayo ni dawa nzuri sana hata kwa wenye kisukari

Nimefurahi sana Kupata Wataalamu wawili au Madaktari wawili katika Uzi huu amabo wanamifano Hai ya Kutibu Watu Kansa . sasa Napotezea .. Kwa Faida ya Watu wote Humu kama Deception alivyoelezea hapo Mwanzo Kwamba Kabla Mtu hajaanza Kutibiwa Kansa Yeyote ile Kuna Mambo ya Lazima Mawili .. Kwanza Kuweka Mwili katika Hali ya Alkaline na Pili kutoa Sumu mwilini kwa Njia za Juice na Vyakula.. Na Tatu ndo Kuanza Tiba Ya Vitamin b17

Je Wewe Mama Yako Kabla Hajaanza Tiba Vitu gani hasa Anaanza Kwa Mgonjwa Wa Kansa.. Nashkuru na Mungu Awabariki
 
Last edited by a moderator:
Nimefurahi sana Kupata Wataalamu wawili au Madaktari wawili katika Uzi huu amabo wanamifano Hai ya Kutibu Watu Kansa . sasa Napotezea .. Kwa Faida ya Watu wote Humu kama Deception alivyoelezea hapo Mwanzo Kwamba Kabla Mtu hajaanza Kutibiwa Kansa Yeyote ile Kuna Mambo ya Lazima Mawili .. Kwanza Kuweka Mwili katika Hali ya Alkaline na Pili kutoa Sumu mwilini kwa Njia za Juice na Vyakula.. Na Tatu ndo Kuanza Tiba Ya Vitamin b17

Je Wewe Mama Yako Kabla Hajaanza Tiba Vitu gani hasa Anaanza Kwa Mgonjwa Wa Kansa.. Nashkuru na Mungu Awabariki

@Rg forever labda nikupe mlolongo wa namna mama alifanya ni kuwa hiyo saa 11 asubuhi alikuwa anampa blackstrapmolases iliyochanganywa na bicarbonate of soda then after 1hr anampa warm lemon water and then after half an hour anampa juice yenye mchanganyiko wa wheat grass, stafeli, beetroot, derega, spinach, na carots and pinaple! Then saa mbili anamtengenezea oats kwa kutumia soy milk anamwekea mbegu ya parachichi na after that ni lots of water na mchana ni steamed food with salad and flaxeed oil and accompanied by the juice with wheat grass na sa kumi ni weetabix with soy milk jioni anakula lots of fruits with salads na flaxeed oil na hiyo ndo routine yake ilikuwa though siku hizi anakula hata ndizi but no red meat, juice za via zi vitamu etc
 
Last edited by a moderator:
Nimefurahi sana Kupata Wataalamu wawili au Madaktari wawili katika Uzi huu amabo wanamifano Hai ya Kutibu Watu Kansa . sasa Napotezea .. Kwa Faida ya Watu wote Humu kama Deception alivyoelezea hapo Mwanzo Kwamba Kabla Mtu hajaanza Kutibiwa Kansa Yeyote ile Kuna Mambo ya Lazima Mawili .. Kwanza Kuweka Mwili katika Hali ya Alkaline na Pili kutoa Sumu mwilini kwa Njia za Juice na Vyakula.. Na Tatu ndo Kuanza Tiba Ya Vitamin b17

Je Wewe Mama Yako Kabla Hajaanza Tiba Vitu gani hasa Anaanza Kwa Mgonjwa Wa Kansa.. Nashkuru na Mungu Awabariki

Mimi siwezi kusema nina utaalamu but I believe in food science coz I have seen it work, nafanyia kazi ya kuh hiv and will report back
 
Last edited by a moderator:
sijakataa nyie kupata tiba mbadala ila sikubali mdanganywe kwamba tiba mbadala zinaponya kansa. pia huyu ametumia chemo na majani na anasema majani ndiyo 'yamemponya', anaushahidi gani kwamba siyo chemo ni majani yaliyomponya?

Umesoma lakin huelewi mnashangaza sana kwani mmekula yamini kua msikubali hata ushuhudie?
 
poa mkuu. mwisho wa siku mtu mwenyewe ndiye huchagua.

Hembu onye uelewa jifunze usipinge kwa kuamini ujuavyo jifunze na vipya acha uvivu acha ubishi mungu ametuumba tofauti ukijua hiki ujue mwenzio anajua kingine acha dharau wenye elemu hawawi wabishi
 
Umesoma lakin huelewi mnashangaza sana kwani mmekula yamini kua msikubali hata ushuhudie?

Yaani umeona eeh? Pamoja na ku mwambia Red Giant kuwa waliotumia chemo pekee walikufa na huyu aliye tumia chemo na majani ndo yuko vizuri haoni hata u tofauti mi nasema kweli tungejua mapema hata chemo asingepewa mgonjwa wetu maana nyie madoctor hata kumweleza mgonjwa how seriously affected hamtaki ni kiwashibisha madawa tu ndo mnalojua mgonjwa apewe options km ninyi mnavoikimbia chemotherapy! As for Steve jobs ni kuwa aliko sa hii elimu ya food science sawasawa and his death ni credit to Big pharma kuwa huu ugonjwa hautibiki ila tunajitahidi na hata kutudanganya kuwa alichelewa tiba ili watu wakubaliane na madawa yao
 
Last edited by a moderator:
zipo side effects nyingi sana. ila common sana ni.

1. kunyonyoka nywele. ndiyo maana wagonjwa wengi wa kansa hupigwa vipara.

2.kichefuchefu na kutapika, hii husumbua sana.
3.kukosa hamu ya kula.
4.kupungua kwa kinga ya mwili hivyo kushambuliwa na magonjwa kirahisi.
5.kupata tabu kupumua na nyingine nyingi kaoroddhesha jamaa hapo juu.

Kweli tuna mitihani sasa haya unaongea wewe mwenyewe tena?yote ulio sema hapo yanaua sasa kuna ubaya gani kufa kwa sababu sijatumia dawa zenu?
 
Kweli tupu dah!!nashangaa sana wanaoongelea mbegu ya peaches kuponya kansa wallah wazungu wasingekufa kwa kansa maana wanamapeaches all seasons of the year na kansa inawamaliza acha kabisa.

Yani doctor mzima unadharau vyakula ambavyo ndo uhai? Mnashangaza sana kwahiyo hayo mambegu mungu kayaweka bila faida yeyote?
 
Ha ha haaa,very weak indeed.Too bad,too bad!!Siamini macho yangu kama wewe ndiye yule anayewashauri watu kuhusu tiba/dawa halafu ndiye huyuhuyu anayeongea maneno haya.

Mkuu mii sijasoma lakin nimemshangaa kwa kweli yani huruma kama vyakula havina maana dah

Cha ajabu alisema haludi tena imekuaje ana commenti?
 
Mkuu mii sijasoma lakin nimemshangaa kwa kweli yani huruma kama vyakula havina maana dah

Cha ajabu alisema haludi tena imekuaje ana commenti?

Sijasema vyakula havina maana soma uelewe mna kazi ya kugeuza maneno tu!Kwani kuna restrictions za mtu kucomment kwenye uzi?
 
THE SIDE EFFECTS OF
CHEMOTHERAPY ON THE
BODY
Chemotherapy drugs are powerful enough to kill rapidly growing cancer cells, but they also
can harm perfectly healthy cells, causing side effects throughout the body.
Chemotherapy drugs are powerful enough to kill rapidly growing cancer cells, but they also
can harm perfectly healthy cells, causing side effects throughout the body.
The Side Effects of Chemotherapy on the Body
Cancer cells divide more quickly than healthy cells, and chemotherapy drugs effectively
target those cells. Unfortunately, fast-growing cells that are healthy can be damaged too.
There are many different chemotherapy drugs with the potential for many different side
effects. These effects vary from person to person and from treatment to treatment.
Factors that play a role in side effects include other ongoing treatments, previous health
issues, age, and lifestyle. Some patients experience few side effects while others feel quite
ill. Although most side effects clear up shortly after treatment ends, some may continue
well after chemotherapy has ended, and some may never go away.
Chemotherapy drugs are most likely to affect cells in the digestive tract, hair follicles,
bone marrow, mouth, and reproductive system. However, cells in any part of the body may
be damaged.
Circulatory and Immune Systems
Routine blood count monitoring is a crucial part of chemotherapy.
That’s because the drugs can harm cells in the bone marrow, where
blood is produced. This can result in several problems. Red blood cells
carry oxygen to tissues. Anemia occurs when your body doesn’t produce
enough red blood cells, making you feel extremely fatigued. Other
symptoms of anemia include:
lightheadedness
pale skin
difficulty thinking
feeling cold
general weakness
Chemo can lower your white blood cell count, which results in neutropenia. White blood cells
play an important role in the immune system: they help fight infection and ward off
illness. Symptoms aren’t always obvious, but a low white blood cell count raises the risk of
infection and illness. People with an immune system weakened by chemotherapy must take
precautions to avoid exposure to viruses, bacteria, and other germs.
Cells called platelets help the blood clot. A low platelet count, called thrombocytopenia,
means you’re likely to bruise and bleed easily. Symptoms include nosebleeds, blood in vomit
or stools, and heavier-than-normal menstruation.
Some chemo drugs can weaken the heart muscle, resulting in cardiomyopathy, or disturb
the heart rhythm, causing arrhythmia. This can affect the heart’s ability to pump blood
effectively. Some chemo drugs can increase the risk of heart attack. These problems are
less likely to occur if your heart is strong and healthy at the start of chemotherapy.
Nervous and Muscular Systems
The central nervous system controls emotions, thought patterns, and
coordination. Chemotherapy drugs may cause problems with memory, or
make it difficult to concentrate or think clearly. This symptom
sometimes is called “chemo fog,” or “chemo brain.” This mild cognitive
impairment may go away following treatment, or may linger for years.
Severe cases can add to anxiety and stress.
Some chemo drugs can cause pain, weakness, numbness, or tingling in the hands and feet
(peripheral neuropathy). Muscles may feel tired, achy, or shaky. Reflexes and small motor
skills may be slowed. It’s not unusual to experience problems with balance and coordination.
Digestive System
Some of the most common side effects of chemotherapy involve the
digestive tract. Mouth sores and dry mouth can make it difficult to
chew and swallow. Sores also may form on the tongue, lips, gums, or in
the throat. Mouth sores can make you more susceptible to bleeding and
infection. Many patients complain of a metallic taste in the mouth, or
a yellow or white coating on the tongue. Food may taste unusual or unpleasant.
These powerful drugs can harm cells along the gastrointestinal tract. Nausea is a common
symptom, and may result in bouts of vomiting. However, anti-nausea medications given in
conjunction with chemotherapy drugs can help alleviate this symptom.
Other digestive issues include loose stools or diarrhea. In some people, hard stools and
constipation can be a problem. This may be accompanied by pressure, bloating, and gas.
Take care to avoid dehydration by drinking plenty of water throughout the day.
Side effects involving the digestive system can contribute to loss of appetite and feeling
full even though you haven’t eaten much. Weight loss and general weakness are common.
Despite all this, it’s important to continue eating healthy foods.
Hair, Skin, and Nails (Integumentary System)
Many chemotherapy drugs affect the hair follicles and can cause hair
loss (alopecia) within a few weeks of the first treatment. Hair loss can
occur on the head, eyebrows, eyelashes, and body. As troubling as it
can be, hair loss is temporary. New hair growth usually begins several
weeks after the final treatment.
Some patients experience minor skin irritations like dryness, itchiness, and rash. You may
develop sensitivity to the sun, making it easier to burn. Your doctor can recommend topical
ointments to soothe irritated skin.
Fingernails and toenails may turn brown or yellow, and become ridged or brittle. Nail
growth may slow down, and nails may crack or break easily. In severe cases, they can
actually separate from the nail bed. It’s important to take good care of your nails to avoid
infection.
Sexual and Reproductive System
Chemotherapy drugs can have an effect on your hormones. In women,
hormonal changes can bring on hot flashes, irregular periods, or
sudden onset of menopause. They may become temporarily or
permanently infertile. Women on chemotherapy may experience
dryness of vaginal tissues that can make intercourse uncomfortable or
painful. The chance of developing vaginal infections is increased. Chemotherapy drugs
given during pregnancy can cause birth defects. In men, some chemo drugs can harm
sperm or lower sperm count, and temporary or permanent infertility is possible.
Symptoms like fatigue, anxiety, and hormonal fluctuations may interfere with sex drive in
both men and women. So can worrying about loss of hair and other changes in appearance.
However, many people on chemotherapy continue to enjoy an intimate relationship and an
active sex life.
Kidneys and Bladder (Excretory System)
The kidneys work to excrete the powerful chemotherapy drugs as they
move through your body. In the process, some kidney and bladder cells
can become irritated or damaged. Symptoms of kidney damage include
decreased urination, swelling of the hands and feet (edema), and
headache. Symptoms of bladder irritation include a feeling of burning
when urinating and increased urinary frequency.
You’ll be advised to drink plenty of fluids to flush the medication from your system and to
keep your system functioning properly. Note: Some medications cause urine to turn red or
orange for a few days. This isn’t cause for concern.
Skeletal System
Most people—and especially women—lose some bone mass as they age.
Some chemotherapy drugs can cause calcium levels to drop and
contribute to bone loss. This can lead to cancer-related osteoporosis,
especially in post-menopausal women and those whose menopause was
brought on suddenly due to chemotherapy.
According to the National Institutes of Health (NIH), women who have been treated for
breast cancer are at increased risk for osteoporosis and bone fracture. This is due to the
combination of the drugs and the drop in estrogen levels. Osteoporosis increases the risk of
bone fractures and breaks. The most common areas of the body to suffer breaks are the
spine and pelvis, hips, and wrists.
Psychological and Emotional Toll
Living with cancer and dealing with chemotherapy can exact an
emotional toll. You may feel fearful, stressed, or anxious about your
appearance and your health. Some people may suffer from depression.
Juggling work, financial, and family responsibilities while undergoing
cancer treatment can become overwhelming.
Many cancer patents turn to complementary therapies like massage and meditation for
relaxation and relief. If you have trouble coping, mention it to your doctor. They may be
able to suggest a local cancer support group where you can speak with others who are
undergoing cancer treatment. If feelings of depression persist, professional counseling
may be necessary.
Recommended for You
We’re Aware— Now What?
Understand a patient's
perspective on the need for
breast cancer research.
Hear her point of view »
Trials for New Cancer
Treatments Reach Only a
Fraction of Patients
Clinical trials, which give
perilously ill patients a chance to
live, often go unfilled in a
disconnect that hurts patients
and researchers alike.
Learn more »
Follow Us On Facebook!
Get updates on the latest health
news and inspirational stories.
Like our page »
Get the latest health &
wellness advice delivered
straight to your inbox, and
check out our other newsletters.
 Your privacy is important to us
Sign Up
Find us on:
Anxiety and
Depression
Swollen Hands and
Feet
Chemo's Long-Term Effect
on Bones
Chemo in the
Kidneys
Chemo Effect on
the Bladder
Chemotherapy and
Fertility
Fast-Tracked
Menopause
Fingernail and Toenail
Trouble
Sexual
Dysfunction
Balding:
The Signature Side
Effect Skin in Need of
Soothing
Digestive
Distress Loss of
Appetite
Mouth Sores
Chemotherapy and the
Heart
Chemo
Brain
Muscles and Motor
Skills
Chemotherapy in
the Blood
Nausea and
Vomiting

Ahsante. Sasa natafuta mfasiri ili anitafsirie nielewe vizuri.

Kaka
 
zipo side effects nyingi sana. ila common sana ni.

1. kunyonyoka nywele. ndiyo maana wagonjwa wengi wa kansa hupigwa vipara.

2.kichefuchefu na kutapika, hii husumbua sana.
3.kukosa hamu ya kula.
4.kupungua kwa kinga ya mwili hivyo kushambuliwa na magonjwa kirahisi.
5.kupata tabu kupumua na nyingine nyingi kaoroddhesha jamaa hapo juu.

Ahsante mkuu. Labda niulize tena, kwa nini hizi "side effects" hutokea?
 
sijakataa nyie kupata tiba mbadala ila sikubali mdanganywe kwamba tiba mbadala zinaponya kansa. pia huyu ametumia chemo na majani na anasema majani ndiyo 'yamemponya', anaushahidi gani kwamba siyo chemo ni majani yaliyomponya?

Yani mimi nachukiaga matomaso huyu atakuwa anafanya kazi FDA au CDC maana anang, ang, ania hayo machemotherapy na mamionzi kama vile anazo hisa huko acha ujinga funguka mke wa rafiki yangu kafariki mwezi jana tu hapa kansa ya titi na akachomwa na kupewa machemotherapy akapata nafuu kurudi mara ya pili ndio kaenda hivyo af bado unaambiwa unaleta ubishi wa man u na arsenal kuwa mwelewa af kuna baadhi ya madokta huwa wanakuwa na vichwa vigumu, dada yangu mwenyewe ni dokta lakini anaamini Bicabonate soda ni nzuri kwa GEARD na hata mimi leo nimenunua Bcabonate na. Nimekunywa .
 
Yani mimi nachukiaga matomaso huyu atakuwa anafanya kazi FDA au CDC maana anang, ang, ania hayo machemotherapy na mamionzi kama vile anazo hisa huko acha ujinga funguka mke wa rafiki yangu kafariki mwezi jana tu hapa kansa ya titi na akachomwa na kupewa machemotherapy akapata nafuu kurudi mara ya pili ndio kaenda hivyo af bado unaambiwa unaleta ubishi wa man u na arsenal kuwa mwelewa af kuna baadhi ya madokta huwa wanakuwa na vichwa vigumu, dada yangu mwenyewe ni dokta lakini anaamini Bicabonate soda ni nzuri kwa GEARD na hata mimi leo nimenunua Bcabonate na. Nimekunywa .
Umeonaeee mkuu,sijuwi kwa nini baadhi yao hawapendi kujifunza vitu vipya isipokuwa vile walivyokalili,mimi mwenyewe mume wangu ni daktari lakini anaamini pia mambo ya tiba mbadala.
 
Back
Top Bottom