Hifadhi ya Selous ina utajiri wa madini unaoweza kuwaondoa Watanzania kwenye ufukara na umaskini

Hifadhi ya Selous ina utajiri wa madini unaoweza kuwaondoa Watanzania kwenye ufukara na umaskini

Mjerumani aliondolewa nchi kabla ya uwepo wa shipping containers, 1950s.
1950s aliyekuwepo nchini alikuwa Mwingereza.

Sasa huyu mjerumani alifukia containers lini?? [emoji1787] [emoji1787]
Hapa wapo wanaotafutwa, mie simoo!

Ndukiiii[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]

Everyday is Saturday...............................[emoji41]
Huu ni ubishi wa kijinga kwa taarifa yako kuna sehemu Selous kontena moja lipo toka miaka ya 70's mengine yalifukiwa chini likabaki hilo moja na mpaka Leo hilo eneo linaitwa Makontena natamani ningeingia deep zaidi na kukuonesha picha ila siwezi Fanya hivyo kwenye hili jukwaa ila kwa msaada acha ubishi wa kipumbavu kuhusu kitu ambacho hukielewi omba uelimishwe
 
Mkuu hongera,umeongelea liwale umenikumbusha mambo mengi sana,nimekula sana nyama za wanyama pori huko ,nikiwa maeneo ya mirui,kiangara,kibutuka na mpiga miti,milembwe nimekaa kidogo, baadae nikahamia hangai,uko wapi kwa sasa wewe?
 
Hata Serengeti, inasadikika kuna vijana walikamatwa wakiwa wanachimba madini humo na inasadikika yako mengi sana madini maeneo yale
 
Shahidi za Mali kuwepo zipo mkuu sema hatuwezi kufunguka sana, kuhusu wafanyakazi kuwa vipofu utasema hadi kwamba kwanini Maaskari wanakubali kuwalinda tembo na faru ilhali akimuua moja tu akauza meno tayari ametoka kimaisha
Huo mfano ni irrelevant labda kama mawe ni nyara za serikali siku hizi.
 
Mali zipo mkuu kuna sehemu Selous mjerumani kaacha masanduku ya mali sehemu za maficho ambapo ukifika sanduku la Mali unaliona lakini huwezi kulibeba kutokana na uchawi aliotumia mjerumani kuuficha
Dah, mkuu mbona inaonekana unayosema ni hadithi za kimapokeo tu. Yaani unayaamini kabisa?
 
Huu ni ubishi wa kijinga kwa taarifa yako kuna sehemu Selous kontena moja lipo toka miaka ya 70's mengine yalifukiwa chini likabaki hilo moja na mpaka Leo hilo eneo linaitwa Makontena natamani ningeingia deep zaidi na kukuonesha picha ila siwezi Fanya hivyo kwenye hili jukwaa ila kwa msaada acha ubishi wa kipumbavu kuhusu kitu ambacho hukielewi omba uelimishwe
Lete ushahidi wako humu ili wenye ubishi wa kipumbavu tukuamini.

Else hizi zitabakia kuwa hadithi za Akajasembamba.

Na kuturopokea matusi siyo njia sahihi ya kutuaminisha wewe ni mwerevu na smart, isipokuwa unaonekana defensive na una lengo la kutapeli.

Kila la heri, katika kutafuta investor wa kusaka mali ya mjerumani.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Wewe ni kiazi kwa taarifa yako Hifadhi zote nchini asilimia 70 ya uendeshaji zinafadhiliwa na mjerumani huyo unayemtukana, Hiyo Selous yenyewe baada ya kugawanywa kuwa nyerere National Park saivi imebaki na kanda tatu za kiindeshaji zenye ukubwa wa kilomita za mraba elfu ishirini ambazo ni kanda ya liwale, kingupira na miguruwe kanda zote hizo kila kanda ina gari zaidi ya sita za askari kufanyia doria magari yote hayo hamna gari hata moja ya serikali zote ni ufadhili wa mjerumani na ndie anazifanyia hadi service kila MWezi huo ni mfano tu nimekupa wa Selous bado Serengeti, Gombe, Mahale na hifadhi zingine Serikali ikiachiwa iendeshe hayo mapori haiwezi hata siku moja
umemjibu vizuri huyo Punda.. mana hajui chochote
 
Kaka huo ni ubeshi au utapeli watu wamepigwa sana pesa hasa maeneo ya Tanga na huo utapeli wa hazina ya mjerumani,
Huu ni ubishi wa kijinga kwa taarifa yako kuna sehemu Selous kontena moja lipo toka miaka ya 70's mengine yalifukiwa chini likabaki hilo moja na mpaka Leo hilo eneo linaitwa Makontena natamani ningeingia deep zaidi na kukuonesha picha ila siwezi Fanya hivyo kwenye hili jukwaa ila kwa msaada acha ubishi wa kipumbavu kuhusu kitu ambacho hukielewi omba uelimishwe
W
 
Mjerumani aliondolewa nchi kabla ya uwepo wa shipping containers, 1950s.
1950s aliyekuwepo nchini alikuwa Mwingereza.

Sasa huyu mjerumani alifukia containers lini?? 🤣 🤣
Hapa wapo wanaotafutwa, mie simoo!

Ndukiiii🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

Everyday is Saturday...............................😎
Wapi mtoa mada aliposema wamefukia shipping containers??,Acha ujuaji,soma kuelewa sio kubisha...
 
Alaa mbona tunaambiwaga madini yanapatikana kanda pendwa pekee,kumbe kwingine nako yapo
 
Anachokiongea mtoa mada yuko sahihi.
Kwani hata mahali unapotengenezwa mradi wa bwawa la umeme huko hifadhhini inasemekana magu kayaona hayo mambo. Na kuna mali nyingi tu anazitoa huko na kujinufaisha bila ya taifa kujua.
NINACHOOMBA WATANZANIA MUKIFAHAMU.
Mbali na manufaa ya mradi wa lile bwawa magu anatoa mali kule ndani. Kuna chimbo moja mpaka sasa linalindwa na askari zaidi ya 50 kila baada ya masaa 6 wanabadilishana shift na wanaozama humo ndani ni VIP TU. nina uhakika na ushahidi juu ya hili.
 
Kwa wakazi wa maeneo Jirani na mradi wanayajua haya. Kwani kuna makontena yanayotoka hifandhini yamesheheni mizigo.
Mungu hamfichi mtu muongo. Juzijuzi tu hapa katika kijiji kimoja gari moja lilipata ajali likitoka ndani ya mradi, cha kushangaza vitu vilivyokuwa vimebebwa ni maajabu matupu.
 
Ni nini kilikuwa kimebebwa?
Mzee ningejua kama kutakuwa na mjadala wa aina ile ningelipiga picha kukupa ushahidi. Kuna ila kilichokuwa kimebebwa nikama mawe flani makubwa yenye langi ya kijivu ya kama pouder ya cement ila ni mawe.
Mizigo ya aina hii inaonekana mara kwa mara ikibebwa kutoka ndani katika mradi.
 
Basi kumbe wanapiga pesa huko.
Sio kitoto.
Jamaa anapiga pesa ndefu humo ndani mradi kwake/kwao ni kama njia tuu. Vingi anapata/wanapata humo ndani. Kwanza kama anavyosema mtoa mada huko ndani kuna madini mengi ya asili yaani ukiachana na azina ya mjerumani. Pia ukija changana na hizo mari za wakoroni sina hakika sana ila watakuwa mbali. Tuache hata madini ya asili, mari za mkoroni tu tosha kama zipo kweri.
 
Back
Top Bottom