Hifadhi ya Selous ina utajiri wa madini unaoweza kuwaondoa Watanzania kwenye ufukara na umaskini

Hifadhi ya Selous ina utajiri wa madini unaoweza kuwaondoa Watanzania kwenye ufukara na umaskini

Mali zipo mkuu kuna sehemu Selous mjerumani kaacha masanduku ya mali sehemu za maficho ambapo ukifika sanduku la Mali unaliona lakini huwezi kulibeba kutokana na uchawi aliotumia mjerumani kuuficha
hahahahaaaaaaa!!! neeyo baghoshaaaa!!!!
 
Wewe ni kiazi kwa taarifa yako Hifadhi zote nchini asilimia 70 ya uendeshaji zinafadhiliwa na mjerumani huyo unayemtukana, Hiyo Selous yenyewe baada ya kugawanywa kuwa nyerere National Park saivi imebaki na kanda tatu za kiindeshaji zenye ukubwa wa kilomita za mraba elfu ishirini ambazo ni kanda ya liwale, kingupira na miguruwe kanda zote hizo kila kanda ina gari zaidi ya sita za askari kufanyia doria magari yote hayo hamna gari hata moja ya serikali zote ni ufadhili wa mjerumani na ndie anazifanyia hadi service kila MWezi huo ni mfano tu nimekupa wa Selous bado Serengeti, Gombe, Mahale na hifadhi zingine Serikali ikiachiwa iendeshe hayo mapori haiwezi hata siku moja
Me nikisom taarifa kama hizi napata moto sana. Mpaka lini hawa jamaa wataendelea kushika maeneo yetu muhimu ya nchi yetu? Lini tutakuwa independent? I get really pissed at times
 
Mkuu hongera,umeongelea liwale umenikumbusha mambo mengi sana,nimekula sana nyama za wanyama pori huko ,nikiwa maeneo ya mirui,kiangara,kibutuka na mpiga miti,milembwe nimekaa kidogo, baadae nikahamia hangai,uko wapi kwa sasa wewe?
Hiyo ilikuwa zamani sikuhizi hamna
 
Me nikisom taarifa kama hizi napata moto sana. Mpaka lini hawa jamaa wataendelea kushika maeneo yetu muhimu ya nchi yetu? Lini tutakuwa independent? I get really pissed at times
Kuwa mpole, mkoloni sio mwenzako kakutangulia mbele miaka buku
 
Ushaambiwa eneo la hifadhi alafu mtu anataka
Kujipeleka kutafuta sijui utajiri!
Ni kujitafutia matatizo tu

Ova
 
Wewe ni kiazi kwa taarifa yako Hifadhi zote nchini asilimia 70 ya uendeshaji zinafadhiliwa na mjerumani huyo unayemtukana, Hiyo Selous yenyewe baada ya kugawanywa kuwa nyerere National Park saivi imebaki na kanda tatu za kiindeshaji zenye ukubwa wa kilomita za mraba elfu ishirini ambazo ni kanda ya liwale, kingupira na miguruwe kanda zote hizo kila kanda ina gari zaidi ya sita za askari kufanyia doria magari yote hayo hamna gari hata moja ya serikali zote ni ufadhili wa mjerumani na ndie anazifanyia hadi service kila MWezi huo ni mfano tu nimekupa wa Selous bado Serengeti, Gombe, Mahale na hifadhi zingine Serikali ikiachiwa iendeshe hayo mapori haiwezi hata siku moja
Alafu waambie kuna kile kibibi cha kizungu kinaitwa Jane Goodall anajifanya kufanya tafiti za sokwe na anawekeza sana hapa nchi mpaka unguja, anamwaga pesa kedekede kwenye mambo ya uhifadhi wanadhani kuna suala la bure hapo?.
 
Back
Top Bottom