Johnson Fundi
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 1,386
- 1,207
hahahahaaaaaaa!!! neeyo baghoshaaaa!!!!Mali zipo mkuu kuna sehemu Selous mjerumani kaacha masanduku ya mali sehemu za maficho ambapo ukifika sanduku la Mali unaliona lakini huwezi kulibeba kutokana na uchawi aliotumia mjerumani kuuficha
Mjerumani amekaza kutoa rupia zilizopo kwa serikali dhalimu.maisha yamekuwa magumu sana vijana wanawaza kutafuta rupia ambazo hazipo
Bora aendelee kukazaMjerumani amekaza kutoa rupia zilizopo kwa serikali dhalimu.
Me nikisom taarifa kama hizi napata moto sana. Mpaka lini hawa jamaa wataendelea kushika maeneo yetu muhimu ya nchi yetu? Lini tutakuwa independent? I get really pissed at timesWewe ni kiazi kwa taarifa yako Hifadhi zote nchini asilimia 70 ya uendeshaji zinafadhiliwa na mjerumani huyo unayemtukana, Hiyo Selous yenyewe baada ya kugawanywa kuwa nyerere National Park saivi imebaki na kanda tatu za kiindeshaji zenye ukubwa wa kilomita za mraba elfu ishirini ambazo ni kanda ya liwale, kingupira na miguruwe kanda zote hizo kila kanda ina gari zaidi ya sita za askari kufanyia doria magari yote hayo hamna gari hata moja ya serikali zote ni ufadhili wa mjerumani na ndie anazifanyia hadi service kila MWezi huo ni mfano tu nimekupa wa Selous bado Serengeti, Gombe, Mahale na hifadhi zingine Serikali ikiachiwa iendeshe hayo mapori haiwezi hata siku moja
Hiyo ilikuwa zamani sikuhizi hamnaMkuu hongera,umeongelea liwale umenikumbusha mambo mengi sana,nimekula sana nyama za wanyama pori huko ,nikiwa maeneo ya mirui,kiangara,kibutuka na mpiga miti,milembwe nimekaa kidogo, baadae nikahamia hangai,uko wapi kwa sasa wewe?
Kuwa mpole, mkoloni sio mwenzako kakutangulia mbele miaka bukuMe nikisom taarifa kama hizi napata moto sana. Mpaka lini hawa jamaa wataendelea kushika maeneo yetu muhimu ya nchi yetu? Lini tutakuwa independent? I get really pissed at times
Alafu waambie kuna kile kibibi cha kizungu kinaitwa Jane Goodall anajifanya kufanya tafiti za sokwe na anawekeza sana hapa nchi mpaka unguja, anamwaga pesa kedekede kwenye mambo ya uhifadhi wanadhani kuna suala la bure hapo?.Wewe ni kiazi kwa taarifa yako Hifadhi zote nchini asilimia 70 ya uendeshaji zinafadhiliwa na mjerumani huyo unayemtukana, Hiyo Selous yenyewe baada ya kugawanywa kuwa nyerere National Park saivi imebaki na kanda tatu za kiindeshaji zenye ukubwa wa kilomita za mraba elfu ishirini ambazo ni kanda ya liwale, kingupira na miguruwe kanda zote hizo kila kanda ina gari zaidi ya sita za askari kufanyia doria magari yote hayo hamna gari hata moja ya serikali zote ni ufadhili wa mjerumani na ndie anazifanyia hadi service kila MWezi huo ni mfano tu nimekupa wa Selous bado Serengeti, Gombe, Mahale na hifadhi zingine Serikali ikiachiwa iendeshe hayo mapori haiwezi hata siku moja