inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Nchi bado inatumia mkaa,na mkaa hutokana na mitiPita pale Mkweni tfs wapo na mikaa inachomwa bila shida yoyote nimekwisha kukutana na Baiskeli 200 usiku mmoja nikitoka Kigali kuelekea Dar.