Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
All the best kwenye kusaka sourceSource muhimu,tofauti na hapo ni umbea tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
All the best kwenye kusaka sourceSource muhimu,tofauti na hapo ni umbea tu
Hujui gold reserve na athari yake kifedha/uchumi kwa nchi!?..halafu nikudanganye wewe na hao wadanganywa wenzio ili iweje!?Ndio mlivyotumwa mtudanganye hivyo?
Labda aliambiwa sisi Watanganyika ni wagumbaTunapigwa vingi kwa wakati Mmoja.
Endelea kunywa kahawaAll the best kwenye kusaka source
Hizo claims wameshauziwa wawekezaji. utanidanganya mimi mtu wa Bukombe?Hujui gold reserve na athari yake kifedha/uchumi kwa nchi!?..halafu nikudanganye wewe na hao wadanganywa wenzio ili iweje!?
Sasa mmewekwa mkao na mkatulia unataka nini kifanyike? Ni ma-bao tu kwenda mbeleTunapigwa vingi kwa wakati Mmoja.
Ameuziwa achimbe au awinde!?..lete uthibitisho ili nijue siyo umbea mliozowea,maana awamu hii wambea mmekua wengiHizo claims na wameshauziwa wawekezaji.
Tutakuja bakia wote tumevaa bknMachawa nyie mtajadili nn?
Awamu ya nne ilileta kijikampuni chenye ushirika na mstaafu na wakaanza exploration Magufuli alipoingia wakatumwa Majeshi kwenda kulinda kusichimbwe chochote.Ameuziwa achimbe au awinde!?..lete uthibitisho ili nijue siyo umbea mliozowea,maana awamu hii wambea mmekua wengi
Kijikampuni Wala hukitaji,unataka niamini,nikienda kwenye kahawa na Mimi nikaseme hivyohivyo,then um ea na chuki kwa jakaya na mama vinaenea,kwa hiyo jakaya hakutosheka na mauzo ya gas ya mtwara!?...😃😃 Acheni chuki na uzabizabina enyi watuAwamu ya nne ilileta kijikampuni kenye ushirika na mstaafu na wakaanza exploration Magufuli alipoingia wakatumwa Majeshi kwenda kulinda kusichimbwe chochote.
Na sasa hivi naona mambo ni yaleyale.
Kigosi National Park ni Hifadhi ya Taifa iliyokuwa ikimilikiwa na TANAPA.
Hifadhi hii imenyofolewa chini ya usimamizi wa TANAPA baada ya kugundulika ina hifadhi kubwa ya dhahabu.
Hifadhi iliondelewa kipindi cha Mchengerwa alipokuwa Waziri wa Maliasili na Utalii na kukabidhiwa TFS ambayo ni taasisi ya uangalizi wa misitu. Ifahamike TFS nayo imeingia mikataba na Waarabu kwajili ya kumiliki maelfu ya ekari ya misitu yetu chini ya taasisi hii iliyo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii.
Nawasilisha.
Wahuni wamedhamiria kuimaliza nchi kwa kuuza rasilimali zote na kujaza mabilion kwenye account zao na familia zao. 🤣Mwanzo ulisema uongo,sasa unasema sababu ?.
Kwa taarifa yako Kigosi mwanzo ilikuwa chini ya TAWA kwaajili ya uwindaji.
Sasa jiulize kwanini imepelekwa TFS na mwarabu kaingia mikataba ya misitu yetu.
Kwa taarifa yako Kigosi ina deposit kubwa ya dhahabu kuliko mgodi wa Geita ni suala la muda utagundua viongozi wetu wapo kwaajili yao na familia zao.
Magufuli pamoja na matatizo yake ya kuminya Demokrasia asingefanya haya yinayoyaona sasa.
Leta ushahidi ili tujadili vizuri bila hivo zinabaki kua tuhuma tu.
Organzied Crime kila mahala 😎Mkuu Ngongo heshima kwako
Kigosi Moyowosi Miombo forest
Hata mimi nimeshaanga sana TFS kupewa hilo pori lenye wanyama wengi nilitegemea wapewe Tanapa
Nikweli Kijiolojia huo Ukanda una Miamba Mama iliyo sheheni dhahabu Bukoban rocks WESTERN Corridor
Wanafikiri hii nchi wote VIPOFU
Mwarabu na Conservation wapi na wapi aibu kwa TFS
Ameuziwa achimbe au awinde!?..lete uthibitisho ili nijue siyo umbea mliozowea,maana awamu hii wambea mmekua wengi
Kijikampuni Wala hukitaji,unataka niamini,nikienda kwenye kahawa na Mimi nikaseme hivyohivyo,then um ea na chuki kwa jakaya na mama vinaenea,kwa hiyo jakaya hakutosheka na mauzo ya gas ya mtwara!?...😃😃 Acheni chuki na uzabizabina enyi watu
Kampuni ilipewa kibali 2005,jakaya anahusika vipi!?..Tena 2009 akatunga sheria ya kuibana kampuni hiyo shughuli zake zisiwe halali,kwa nini hukusema kampuni ililetwa na mkapa ukamrukia jakaya!?WAZIRI KIGWANGWALLA AITIMUA KAMPUNI YA MADINI
KAMPUNI ya uchimbaji madini ya Tanzam 2000 iliyokuwa ikifanya utafiti wa madini ya dhahabu katika eneo la Luahika ndani ya Pori la Akiba Moyowosi/Kigosi imetakiwa kuondoa vifaa na mitambo yake humo ndani ya siku saba. Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla ametoa amri hiyo na...www.jamiiforums.com