Hifadhi ya Taifa Kigosi yafutwa rasmi na kuwa msitu wa hifadhi ya Kigosi

Hifadhi ya Taifa Kigosi yafutwa rasmi na kuwa msitu wa hifadhi ya Kigosi

Waziri Mchengerwa alipokuwa Waziri wa Utumishi na Utawala bora alitengeneza utaratibu haramu wa kuwatengea 21% ya ajira katika taasisi za muungano ndugu zake Wazanzibari.
huu uongo mwingine wa 21% hebu muwe na jicho la pili la kufanya analysis. Hebu piga hesabu ya idadi ya wafanyakazi 21% ya wanaoajiriwa, halafu upige na hesabu ya wazanzibari wanaotoka vyuo ulete mrejesho hapa kama vinawiana.
 
Mwanzo ulisema uongo,sasa unasema sababu ?.

Kwa taarifa yako Kigosi mwanzo ilikuwa chini ya TAWA kwaajili ya uwindaji.

Sasa jiulize kwanini imepelekwa TFS na mwarabu kaingia mikataba ya misitu yetu.


Kwa taarifa yako Kigosi ina deposit kubwa ya dhahabu kuliko mgodi wa Geita ni suala la muda utagundua viongozi wetu wapo kwaajili yao na familia zao.

Magufuli pamoja na matatizo yake ya kuminya Demokrasia asingefanya haya yinayoyaona sasa.
Mwanzo ulisema uongo,sasa unasema sababu ?.

Kwa taarifa yako Kigosi mwanzo ilikuwa chini ya TAWA kwaajili ya uwindaji.

Sasa jiulize kwanini imepelekwa TFS na mwarabu kaingia mikataba ya misitu yetu.

Kwa taarifa yako Kigosi ina deposit kubwa ya dhahabu kuliko mgodi wa Geita ni suala la muda utagundua viongozi wetu wapo kwaajili yao na familia zao.

Magufuli pamoja na matatizo yake ya kuminya Demokrasia asingefanya haya yinayoyaona sasa.
Mkuu Ngongo heshima kwako

Kigosi Moyowosi Miombo forest

Hata mimi nimeshaanga sana TFS kupewa hilo pori lenye wanyama wengi nilitegemea wapewe Tanapa

Nikweli Kijiolojia huo Ukanda una Miamba Mama iliyo sheheni dhahabu Bukoban rocks WESTERN Corridor

Wanafikiri hii nchi wote VIPOFU

Mwarabu na Conservation wapi na wapi aibu kwa TFS
 
Aibu kwa Taifa

Carbon emissions projects eti mwarabu ndo asimamie. NA achukuwe mauzo ya Carbon na gawio kidogo atume Aibu kwa Taifa!!!!....hiii miradi haitaji hata senti moja kuwekeza

Unawekeza watalaam tu wa kupima viuno vya miti kushirikiana na GIS experts then chakata ripoti yako contact Verification experts huko Ulaya baada ya hapo peleka tani zako za carbon SOKONI
mbona unajichanganya kijana? kwanza unasema hakuna hata senti moja ya kuwekeza, baadae unasema unawekeza wataalamu wa kupima viuono vya miti (hawahitaji mafunzo wala malipo?), tena unatafuta verification experts (bila ya gharama yo yote?), peleka tani zako za carbon sokoni (bila ya kuwa na contact person ambae unamlipa?).

usirahisishe mambo kwa hasira na chuki zako.
 
1694679847649.png
 
Mkuu bitimkongwe msikilize Waziri Mchengerwa post number 49 kuhusiana na ajira 21% kwaajili ya Wazanzibar,halafu msikilize yule Mkongwe wa siasa za Tanzania Mhe Wasira akibwabwa kwamba hakuna Mtanganyiaka wala Mzanzibar utabaki kushangaa na kusikitika.
 
Sasa tumewatoa kafara Wanyamapori na uoto wa asili kwa sababu tu ya dhahabu ya miaka kadhaa?

Kwa hivyo vizazi vijavyo vitakuta nini?
 
Mwanzo ulisema uongo,sasa unasema sababu ?.

Kwa taarifa yako Kigosi mwanzo ilikuwa chini ya TAWA kwaajili ya uwindaji.

Sasa jiulize kwanini imepelekwa TFS na mwarabu kaingia mikataba ya misitu yetu.

Kwa taarifa yako Kigosi ina deposit kubwa ya dhahabu kuliko mgodi wa Geita ni suala la muda utagundua viongozi wetu wapo kwaajili yao na familia zao.

Magufuli pamoja na matatizo yake ya kuminya Demokrasia asingefanya haya yinayoyaona sasa.
Kwanza Magufuli ndiye aliyeipa hadhi ya kuwa National Park. Kama demokrasia inafanya yote haya haina budi kuminywa.
 
Back
Top Bottom