Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nineza kuwa nimekosea kidogo tena kwa bahati mbaya ila wewe unaepotosha makusudi bila ushahidi WOWOTE nakushangaa sana au na wewe umeoa kwa Mchengerwa?Kampuni ilipewa kibali 2005,jakaya anahusika vipi!?..Tena 2009 akatunga sheria ya kuibana kampuni hiyo shughuli zake zisiwe halali,kwa nini hukusema kampuni ililetwa na mkapa ukamrukia jakaya!?
Mafia style kwakweli tumekwisha kwenye hiyo Hifadhi kulikuwa na wanyama adimu kama Ngaka kuona na Sitatunga ni muda wa kuwaandikia barua WWF.Organzied Crime kila mahala 😎
![]()
Mikoa mitano kunufaika kufutwa kwa Hifadhi ya Taifa Kigosi - HabariLeo
BUNGE limepitisha na kuridhia Azimio la serikali la kufuta Hifadhi ya Taifa Kigosi ili kuruhusu kuanzishwa kwa Hifadhi ya Msitu Kigosi, itakayosimamiwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS). Akiwasilisha Azimio hilo bungeni Dodoma jana, Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohammed Mchengerwa...habarileo.co.tz
Ilipewa leseni ya uchimbaji mwaka 2013.Kampuni ilipewa kibali 2005,jakaya anahusika vipi!?..Tena 2009 akatunga sheria ya kuibana kampuni hiyo shughuli zake zisiwe halali,kwa nini hukusema kampuni ililetwa na mkapa ukamrukia jakaya!?
Hujakosea kidogo,umekosea pakubwa kumsingizia mtu wizi,Sasa Kama Hilo pori limefutwa kuwa hifadhi na kurudisha TFS..ndiyo tayari kauziwa mwarabu!?Nineza kuwa nimekosea kidogo tena kwa bahati mbaya ila wewe unaepotosha makusudi bila ushahidi WOWOTE nakushangaa sana au na wewe umeoa kwa Mchengerwa?
huu uongo mwingine wa 21% hebu muwe na jicho la pili la kufanya analysis. Hebu piga hesabu ya idadi ya wafanyakazi 21% ya wanaoajiriwa, halafu upige na hesabu ya wazanzibari wanaotoka vyuo ulete mrejesho hapa kama vinawiana.
Hiyo kampuni ipo humo tangu 2005 kabla ya sheria ya 2009 kutungwa,2005 nani alikua rais!?..maana uchaguzi ulipelekwa mbele baada ya kido Cha mgombea mwenzao wa chadema,usitake kuuruka mwaka 2005 na hiyo kampuni!Ilipewa leseni ya uchimbaji mwaka 2013.
Kuwa objective, usikae hapa kumtetea mtu.
Soma habari kwa utulivu.
Pia usiwaze kwamba watu wapo hapa kusingizia wengine.
Unapewa evidence unazidi kubadilisha hoja tu.
Kwa hiyo hao Wanyamapori mumeamua kuwapika supu kwenye mikutano ya kampeni za CCM?Sasa Kama Hilo pori limefutwa kuwa hifadhi na kurudisha TFS..
Kwani kurudisha tsf maana yake wauawe!?Kwa hiyo hao Wanyamapori mumeamua kuwapika supu kwenye mikutano ya kampeni za CCM?
Duuh!!!WAZIRI KIGWANGWALLA AITIMUA KAMPUNI YA MADINI
KAMPUNI ya uchimbaji madini ya Tanzam 2000 iliyokuwa ikifanya utafiti wa madini ya dhahabu katika eneo la Luahika ndani ya Pori la Akiba Moyowosi/Kigosi imetakiwa kuondoa vifaa na mitambo yake humo ndani ya siku saba. Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla ametoa amri hiyo na...www.jamiiforums.com
Pita pale Mkweni tfs wapo na mikaa inachomwa bila shida yoyote nimekwisha kukutana na Baiskeli 200 usiku mmoja nikitoka Kigali kuelekea Dar.Kwani kurudisha tsf maana yake wauawe!?
Gazeti la serikali lililofuta hiyo hifadhiUshahidi upi unaotaka ?.
Kwenye ukweli hakuna suala la Hater, Mungu ni wa HakiHaters a.k.a mashetani wa mama mtashindwa tu kusambaza hizo chuki zenu kwa uwezo wa Mungu.