inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Nchi bado inatumia mkaa,na mkaa hutokana na mitiPita pale Mkweni tfs wapo na mikaa inachomwa bila shida yoyote nimekwisha kukutana na Baiskeli 200 usiku mmoja nikitoka Kigali kuelekea Dar.
Jikague Huko ulipo uskute Mwezi wa kwanza anakumendea.Sasa mmewekwa mkao na mkatulia unataka nini kifanyike? Ni ma-bao tu kwenda mbele
Kwahiyo ni sera zenu CCM kuyachoma mapori yote mkaa?Nchi bado inatumia mkaa,na mkaa hutokana na miti
Tafadhali unielewe vizuri na kwa makini yale niliyoandika. Ni hivi, ukifanya analysis hasa Zenji kujaza hiyo asilimia 21 ni ndoto, na kwa kweli ni nyinyi wabara ndiyo huwa munakwenda zenji kujaza hizo nafasi, mfano za jeshi, polisi na nyingine za muungano.bitimkongwe, nashindwa kabisa kuwaelewa baadhi yenu nyie Watanzania wenzetu...je ni kitu gani hasa kinachowasukuma kutetea hata yale yasiyohitaji utetezi.
Kwenye fursa za ajira mtu na akili zako timamu unaanzia wapi kutetea hata lile wazo tu la Wazanzibari kupewa asilimia 21% ya idadi ya watumishi ndani ya Muunganno?
Zanzibar ina idadi ya wakaazi wasiofikia hata milioni mbili sawa na asilimia 3% ya Watanzania wote...sasa hiyo asilimia 21% ni kwa misingi ipi? Unaanzia wapi?
Na RamsarMafia style kwakweli tumekwisha kwenye hiyo Hifadhi kulikuwa na wanyama adimu kama Ngaka kuona na Sitatunga ni muda wa kuwaandikia barua WWF.
Hawa ni walkadayo mkuuNchi imejaa wafilisti hii. Hilo si linalindwa kama eneo oevu!!?
Na mama kasema ana uhakika nae ni jembe sana....inaonekana pia anmkoa vilivyo mtoto wa mama kiasi cha kumsisimua mkwe mtu!Na ukitazama vizuri kwa jicho la tatu utagundua jambo moja muhimu sana.
Waziri Mchengerwa alipokuwa Waziri wa Utumishi na Utawala bora alitengeneza utaratibu haramu wa kuwatengea 21% ya ajira katika taasisi za muungano ndugu zake Wazanzibari.
Kapelekwa Maliasili na Utalii kanyofoa Kigosi na sasa TAMISEMI atafanya yake tena huko.
Akili ndogo huwezi elewa nilicho andika....mbona unajichanganya kijana? kwanza unasema hakuna hata senti moja ya kuwekeza, baadae unasema unawekeza wataalamu wa kupima viuono vya miti (hawahitaji mafunzo wala malipo?), tena unatafuta verification experts (bila ya gharama yo yote?), peleka tani zako za carbon sokoni (bila ya kuwa na contact person ambae unamlipa?).
usirahisishe mambo kwa hasira na chuki zako.
Leta ushahidi ili tujadili vizuri bila hivo zinabaki kua tuhuma tu.
Taarifa;Hiyo kampuni ipo humo tangu 2005 kabla ya sheria ya 2009 kutungwa,2005 nani alikua rais!?..maana uchaguzi ulipelekwa mbele baada ya kido Cha mgombea mwenzao wa chadema,usitake kuuruka mwaka 2005 na hiyo kampuni!
"Liesmwalo lipo kama halipo laja" Walisemaga wahengaSource: trust me bro
Humu JF ni wachache tu, wewe na hao loosers wengine mnaorukaruka na kukanyagana.Mama yenu ana mashetani mangapi?
Ningekuwa mtu wa pwani na mhuni ningesema, 'hebu liangalieni hili hanithi!!'Na ukitazama vizuri kwa jicho la tatu utagundua jambo moja muhimu sana.
Waziri Mchengerwa alipokuwa Waziri wa Utumishi na Utawala bora alitengeneza utaratibu haramu wa kuwatengea 21% ya ajira katika taasisi za muungano ndugu zake Wazanzibari.
Kapelekwa Maliasili na Utalii kanyofoa Kigosi na sasa TAMISEMI atafanya yake tena huko.
"Liesmwalo lipo kama halipo laja" Walisemaga wahenga
Hivi ulienda shule kusomea ujinga.Tafadhali unielewe vizuri na kwa makini yale niliyoandika. Ni hivi, ukifanya analysis hasa Zenji kujaza hiyo asilimia 21 ni ndoto, na kwa kweli ni nyinyi wabara ndiyo huwa munakwenda zenji kujaza hizo nafasi, mfano za jeshi, polisi na nyingine za muungano.
Kwanza uelewe tu Zenji siasa huwa zinafanya kazi kwa kiwango kikubwa sana.
Ya kwako kubwa unadhani soko la carbon ni kama la nyanya.Akili ndogo huwezi elewa nilicho andika....
Kupima viuno vya miti ulete mwarabu?
Mtaalam wa GIS ulete mwarabu?
Kuchakata Data from ze field ulete Mwarabu?
Verification ulete mwarabu?
Kutafuta soko la mavuno ya Carbon ulete mwarabu?
Hata creche kakushinda uelewa ..... mbogamboga Kabisa5nk
mjinga ni wewe usiyejua kupambanua mambo. Mimi nazungumzia from the reality point of view wewe baki na huo werevu wako. wa humpty dumpty.Hivi ulienda shule kusomea ujinga.
Kwa hakika maamuzi ya kutenga 21% kwaajili ya Zanzibar ni uovu uliopitiliza.
Umepewa ushahidi wa maandishi na video bado unakataa sijui unataka nini !.
Usifanye ajizi,Mafia style kwakweli tumekwisha kwenye hiyo Hifadhi kulikuwa na wanyama adimu kama Ngaka kuona na Sitatunga ni muda wa kuwaandikia barua WWF.
Hongera Kwa uchunguzu murua, ujumbe umefika, on time, hawakutegemea kama tungestuka mapema ivi.Hivi ulienda shule kusomea ujinga.
Kwa hakika maamuzi ya kutenga 21% kwaajili ya Zanzibar ni uovu uliopitiliza.
Umepewa ushahidi wa maandishi na video bado unakataa sijui unataka nini !.