Engineering ya mjerumani iko juu siwezi pinga ila sio kwamba kila gari ya mjerumani iko juu kwa perfomance. Jana nimeona BMW 3 series mtu ameibonyeza we ila sijaona mwendo wa kutishaKuna jamaa yangu nipo nae hapa kariakoo alikuwa na crown athlete ameuza na kununua BMW 320i mwezi uliopita nilikuwa naongea nae kuhusu performance ameonaje gari zote mbili akaniambia BMW ameikubali Sana alafu ni nzito inakamata barabara...
Nimeshindwa kupata jibu ingawa pengine ni sifa za vijana wanapenda gari za kijerumani
Gari za mjapani au usafiri wa mjapani? Unazijua gari za mjapani kweli wewe?hahahaha gari za Mjapan zikifika 120 tu zinaanza tetema kama zina kideli 😂😂😂
hahahaha bwashee toka kwenye fantasy world, tunaongelea hizi ambazo majority zipo Bongo hapaGari za mjapani au usafiri wa mjapani? Unazijua gari za mjapani kweli wewe?
Hii gari iko tuned na ina 1140hp..sa ulinganishe na subbie kweli wakuu
Tena siyo dharau ndogo
Hata kama ingekuwa Stock...Hii gari iko tuned na ina 1140hp..sa ulinganishe na subbie kweli wakuu
GT ni msalaa bwashee, sema suby akipataga mnyonge wake huwa anaumiza kweli kweliiiHii gari iko tuned na ina 1140hp..sa ulinganishe na subbie kweli wakuu
Shida ya Japan hawatengenezi gari kwa ajili ya high speed... wanatengeneza kwa acceleration; shida ya Japanese hata Differential hazi-support high top speed. Kuna jamaa ana channel inaitwa AutoTopNL huwa anafanya tests kwenye AutoBahn, gari za Japan bila modification sana sana zinafika 250kph, ila Germans and Italians hata gari yenye small power but top speed ni kubwa sana.Mkuu usilete dharau kwa Mjapan, ana vyuma vya maan sema mchawi limit ua 180 tu. Siku ukiendesha mashine yenye 3GR tu iwe Crown au Mark X ndio utaelewa kuwa mjepu sio kitoto. Hio gti haifiki hata 250HP tena latest ya 2021 ina 228HP. Haiwez gusa mziki wa 3GR-FSE
Lexus LS comfort yake ni kama umepanda dreamliner, mwendo wake vw gti inaliwa kimasihara...Shida ya Japan hawatengenezi gari kwa ajili ya high speed... wanatengeneza kwa acceleration; shida ya Japanese hata Differential hazi-support high top speed. Kuna jamaa ana channel inaitwa AutoTopNL huwa anafanya tests kwenye AutoBahn, gari za Japan bila modification sana sana zinafika 250kph, ila Germans and Italians hata gari yenye small power but top speed ni kubwa sana.
Gari pekee ya Japan ambayo ni stock inayoweza kutembea na Golf Gti ni Nissan GTR35 pengine na Lexus L500.... Hakuna gari nyingine inaweza kitembea GTI.Lexus LS comfort yake ni kama umepanda dreamliner, mwendo wake vw gti inaliwa kimasihara...
GTI zipo version mingi lakini mkuuGari pekee ya Japan ambayo ni stock inayoweza kutembea na Golf Gti ni Nissan GTR35 pengine na Lexus L500.... Hakuna gari nyingine inaweza kitembea GTI.
Ni kweli.... hata LS zina version nyingi. Chukua the most powerful Golf, gari nyingi zinakaa. Germans wako ligi yaoGTI zipo version mingi lakini mkuu
Hii gari acha kabisa ni bei tu na ushuru ndio changamoto ila ni gari madhubuti sana kwa kuchana upepo katikati na kuwachia sauti madereva wengine.
Wahindi wanayo. Sisi hawa wanga wanatubania tunafeli kumiliki gari hata hii tu.Huku bongo lipo hili?
Hii gari acha kabisa.mengi yapo kenya linachomoka si mchezo, kuna clip flan niliona mtandaoni jamaa wa subaru alkuwa kama ame overtake hii nissan GT, ghafla jamaa wa Gt akajaza moto wa laana,subaru ilipitwa kama upepo wakabaki wanacheka tuu, ipo youtube hii clip
Sent using Jamii Forums mobile app
Gear 4 plus overdrive. Au haujui matumizi ya overdrive....?!Subaru Forester Cross Sport walipokosea ni kuweka transmission gia 4 tu kwa automatic mara mia upate manual yake yenye gia 5 utaifurahia...au ukipata Forester STI SG5 ingawa ushuru wake ni mkubwa sana kama 29m hivi...
Shenzi kabisa dah..... Hiyo mashine ni marahaba kabisa.
Tena siyo dharau ndogo