High perfomance cars!

High perfomance cars!

Kuna jamaa yangu nipo nae hapa kariakoo alikuwa na crown athlete ameuza na kununua BMW 320i mwezi uliopita nilikuwa naongea nae kuhusu performance ameonaje gari zote mbili akaniambia BMW ameikubali Sana alafu ni nzito inakamata barabara...
Nimeshindwa kupata jibu ingawa pengine ni sifa za vijana wanapenda gari za kijerumani
Engineering ya mjerumani iko juu siwezi pinga ila sio kwamba kila gari ya mjerumani iko juu kwa perfomance. Jana nimeona BMW 3 series mtu ameibonyeza we ila sijaona mwendo wa kutisha
 
Ford Mustang
images (36).jpeg
 
Mkuu usilete dharau kwa Mjapan, ana vyuma vya maan sema mchawi limit ua 180 tu. Siku ukiendesha mashine yenye 3GR tu iwe Crown au Mark X ndio utaelewa kuwa mjepu sio kitoto. Hio gti haifiki hata 250HP tena latest ya 2021 ina 228HP. Haiwez gusa mziki wa 3GR-FSE
Shida ya Japan hawatengenezi gari kwa ajili ya high speed... wanatengeneza kwa acceleration; shida ya Japanese hata Differential hazi-support high top speed. Kuna jamaa ana channel inaitwa AutoTopNL huwa anafanya tests kwenye AutoBahn, gari za Japan bila modification sana sana zinafika 250kph, ila Germans and Italians hata gari yenye small power but top speed ni kubwa sana.
 
Shida ya Japan hawatengenezi gari kwa ajili ya high speed... wanatengeneza kwa acceleration; shida ya Japanese hata Differential hazi-support high top speed. Kuna jamaa ana channel inaitwa AutoTopNL huwa anafanya tests kwenye AutoBahn, gari za Japan bila modification sana sana zinafika 250kph, ila Germans and Italians hata gari yenye small power but top speed ni kubwa sana.
Lexus LS comfort yake ni kama umepanda dreamliner, mwendo wake vw gti inaliwa kimasihara...
 
Back
Top Bottom