Wana wanaleta dharau kwa mjapani wakati ndio katuleaππwe jamaa nayakubali sana mabandiko yako ya TOYOTA unayatetea kinyama na hamna wa kukunyamazisha, waache dharau kwa Toyota bhana
Kuna 3 Series za motoo kweli kweli mjapan hasogezi pua yakeKuna X3 na 3 Series, jamaa kaongelea 3 Series.
ππππ wajapan kutoka dar es salaam wazalendo kweli kweliNaona kama wanaongelea magari ya Mjapan tu!
Naona Q8 nazo zintakuwa habari ingine kama X7 ? Ingawa sijafatilia hizi gariSasa Q7 si level za X5 au benz xmatic au Tuareg v6
Q7 is full compact SUV
Sent using Jamii Forums mobile app
Zote ulizitaja zipelekwe kwenye ligi moja na Merc SLS au Porsche Carrera etc. Mind you GTI Golf ni gari ya kawaida.Duh hivi unaongea nini mzee,yaani hako kauchafu ukaweke ligi 1 na Lexus LFA,Acura NSX,Lexus RC F,Lexus IS-F etc.
Una mzaha Sana mzee.
Wewe ndie uliyeandika:Zote ulizitaja zipelekwe kwenye ligi moja na Merc SLS au Porsche Carrera etc. Mind you GTI Golf ni gari ya kawaida.
Sasa mkuu unasema unamjua Jason lkn hapo hapo unakataa Kwamba barabara zetu huwezi ukatembea 320km/h.Kama una namba yake muulize ananifahamu mwambie yule mwamba wa audi Q 7 pana siku mlikamatana bara bara ya East Africa kutokea maeneo makutano ya kwa mromboo nilipopaki gari mbele ya kiseriani alikuja kuuliza..na ile ilikua kubwa niwe kwenye vidogo hivi si asingeniona kabisa...miaka ya nyuma tulikua tunatembea kuwahi pantoni lisifungwe kazungura kama Km 900 kutoka mpaka wa SA na tunawahi mazee ili mtu ulale Livingstone baadae wakaweka gate Fransistown kutuchelewesha maana ukikutana na fine za tochi kule mwisho unalipa unatoka wakaja na mguu fine nyingi kwa siku moja unaenda kulipia mahakamani ndio ukawa mwisho wa racing ukipita Gabs na tukaanza kupita shortcut moja ambayo inafupisha safari na unawahi kutoboa kazungula..
Nilikuwa najibu point ya LS Lexus. Nisingeweza kulist zote lakini GTR35 ni Supercar, hiyo ndio ilikuwa point yangu. Lakini kusema Lexus LS ikimbizane na GTI haiwezekaniWewe ndie uliyeandika:
'Gari pekee ya Japan ambayo ni stock inayoweza kutembea na Golf Gti ni Nissan GTR35 pengine na Lexus L500.... Hakuna gari nyingine inaweza kitembea GTI.'
ππ Sawa.Nilikuwa najibu point ya LS Lexus. Nisingeweza kulist zote lakini GTR35 ni Supercar, hiyo ndio ilikuwa point yangu. Lakini kusema Lexus LS ikimbizane na GTI haiwezekani
Wewe, nissan GTR unaichukuliaje?Kwenye hiyo list hakuna gari jnayoifikia mistubishi Evo huo ni moto
πππ Na mimi nilishangaa sana mzee.Wewe, nissan GTR unaichukuliaje?
Yap huwezi kujiachia kama huko hapa mnazungumzia umbali mfupi na ukitaka kwenda umbali mrefu bara bara zina vicheche vya maroli yaliyoharibika usiku...ndio maana nimesema alishangaa audi kutembea vile akiwa na mashine ya racing sasa ningekua na mimi nipo kwenye mashine zangu angeshangaa zaidi..maeneo mengi yana vibao vya 50 na matuta tofauti na huko nakokueleza...jaribu kuweka picha bara bara zaidi ya 100 km imenyooka tu haina kona nyingi ndio Botswana hiyo na magari mengi hakuna bara barani na tochi zipo mbili mchana kwa umbali mrefu...Sasa mkuu unasema unamjua Jason lkn hapo hapo unakataa Kwamba barabara zetu huwezi ukatembea 320km/h.
Wewe ndio wakili msomi kkwa upande wa Wajapani,, na tunakupa uenyekiti wa kudumu. πMkuu usilete dharau kwa Mjapan, ana vyuma vya maan sema mchawi limit ua 180 tu. Siku ukiendesha mashine yenye 3GR tu iwe Crown au Mark X ndio utaelewa kuwa mjepu sio kitoto. Hio gti haifiki hata 250HP tena latest ya 2021 ina 228HP. Haiwez gusa mziki wa 3GR-FSE
My favourite chuma ya kazi, Hii mashine ina wafuasi wengi sana duniani, ukiikuta inavokimbizana na Malamborgini lazima ushangae.
HahahahWewe ndio wakili msomi kkwa upande wa Wajapani,, na tunakupa uenyekiti wa kudumu. π
labda Lambo zilizopoozaππMy favourite chuma ya kazi, Hii mashine ina wafuasi wengi sana duniani, ukiikuta inavokimbizana na Malamborgini lazima ushangae.
Hatchback ni body design mkuu sio engine specification,hiyo Mercedes ni injini gani?The Mercedes Benz Hatchback...
Vw GTI 8 series 222 Kw sijui kama zipo gari zitafata hapo...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa kweli toyota/japan wamepata mtetezi nakubaliana nae kuhusu speedlimiter,kuna jamaa yangu mmoja kijichi ana rav4 ya diesel ni ya UK clocked 240km/h anazisumbua sana gari tunazoziona zina mbavu kibongo bongo.[emoji1][emoji1]we jamaa nayakubali sana mabandiko yako ya TOYOTA unayatetea kinyama na hamna wa kukunyamazisha, waache dharau kwa Toyota bhana
Bro Golf sio gari ya kawaida hizo R series sio za kawaida kutoa model tofauti wanakimbizana na Merc pia kwa hizi hatchback wanatoa kweli..pana gari hata ukiwa na hela uwezi kuendesha Johanesburg ni pamoja na hiyo R series bomba nne nyuma wezi wanaichukua kama yao vile...maana wanazitumia kuibia na zinakimbia balaa polisi nao wamepewa hizo ngoma kwa hiyo imekua droo..Zote ulizitaja zipelekwe kwenye ligi moja na Merc SLS au Porsche Carrera etc. Mind you GTI Golf ni gari ya kawaida.