rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Umesahau goli la mkono au alivyoingilia maamuzi ya rufaa ya simba dhidi ya KageraSimba anacheza mpira wa pasi nyingi ili kupata matokeo Yanga mipango mchezoni na siyo hivyo ulivyofikiri wewe. Yan hatuchezi kama nyie sijui mpira utoke kwa kipa then beki mara midfield ndio ufike kwa wafungaji.
Yan callibre ya mpira wa Yanga siyo show off ndio nilichomaanisha Feisal anaweza akapiga ndefu ikamfikia Mukoko au Kisinda akaweka.
Umenishangaza sana mpaka leo unaamini Malinzi alikua anatubeba. Kwa iyo na sisi tuamini Karia anawabeba? Hebu badilisheni mentality bhana
Malinzi ndio alikua refa?Umesahau goli la mkono au alivyoingilia maamuzi ya rufaa ya simba dhidi ya Kagera
Kwa msaada wa Karia au? Wakati mnabeba mara izo 10 sisi wengine tutakua tumechuchumaa tu?Jitoe akili tu...
Tunabeba back 2 back mara 10 ili akili ziwakae vzr.
Ndio maana T.Prisons iliwasumbua kupata magoli.Simba anacheza mpira wa pasi nyingi ili kupata matokeo Yanga mipango mchezoni na siyo hivyo ulivyofikiri wewe. Yan hatuchezi kama nyie sijui mpira utoke kwa kipa then beki mara midfield ndio ufike kwa wafungaji.
Yan callibre ya mpira wa Yanga siyo show off ndio nilichomaanisha Feisal anaweza akapiga ndefu ikamfikia Mukoko au Kisinda akaweka.
Umenishangaza sana mpaka leo unaamini Malinzi alikua anatubeba. Kwa iyo na sisi tuamini Karia anawabeba? Hebu badilisheni mentality bhana
Pale Yanga Wale GSM wamewekeza kwenye midomo ya mashabiki.Simba tunacheza mpira wa kisasa uwanjani nyie utopolo mpira wenu mnachezea mdomoni tena mkilalamika.Kama mawazo yenu ndio hayo mna safari ndefu sana.Ongea mpira mkuu,visingizio havichezi mpira
Wewe ni mbu3 in rage voiceAliyewaita Manyani, Masokwe, Mambwa kweli alikuwa sahihi sana
Ud songo si waliwabaka hapo hapo taifa,au umesahauSio nje-ndani kama alivyofanyiwa Yanga na GORMAHIA na PYRAMID.
Baada ya chetua chetua ya morrison march 8 mkaona mnunue wachezaji wetu,caf hamna hiyo,mmeenda kujipendekeza egypty kabisa ili msile 5 tena,caf 5 azikwepekiSimba 4-1 Utopolo