Hii awamu sio ya wananchi wa kawaida kabisa

Hii awamu sio ya wananchi wa kawaida kabisa

Uchumi wa nchi umehamia mifukoni kwa watu wachache, hali tete kitaa, njaa kwa watz ndio kitu pekee kitaitoa ccm madarakani, mama na team yake nchi imewashinda!
 
Mkipewe ubwabwa na maharage, kapero na Tshirt wote mnakata viuno kusema CCM mbele kwa mbele.

Na hata mkiamua tofauti, ikiwa katiba ndio hii hii, Chura Kiziwi anapita mchana kweupe kwa msaada wa PoliCCM

CCM ni laana na jinamizi litakaloishi kwa muda mrefu sana hapa Tanzania.
sasa chama kipi mbadara CHADEMA AU? unawashwa wewe lete chama mbadara chenye chenye sera za kuwagusa wananchi
 
sasa chama kipi mbadara CHADEMA AU? unawashwa wewe lete chama mbadara chenye chenye sera za kuwagusa wananchi
Anaewashwa hasa ni mama yako mzazi ambae alienda kudanga kupelekea kupata ujauzito wa mbweha mmoja kama wewe unaeparamia wanaume kwa matarajio ya kulawatiwa upate pesa ya bundle.
 
Anaewashwa hasa ni mama yako mzazi ambae alienda kudanga kupelekea kupata ujauzito wa mbweha mmoja kama wewe unaeparamia wanaume kwa matarajio ya kulawatiwa upate pesa ya bundle.
 

Attachments

  • Screenshot 2024-10-28 160044.png
    Screenshot 2024-10-28 160044.png
    28.6 KB · Views: 3
I will be short

Watu tuna hustle sana kupush mambo yetu huko serikalini. Mambo ya viongozi ni chap sisi wengine ni hustle ya miezi kadhaa mambo mambo magumu sana.

Tukutane 2025, Watanzania kama ni mungu anatupiga pigo takatifu.

Hii serikali ya sasa sio yetu.

Ie 2025 mungu atuepushe na serikali kama hii. Isije kutokea tena.
Tatizo lenu mkiitwa kwenye maandamano kwenda kukataa ujinga wa Chura kiziwi na watu wake, wote mnabaki magetoni na kumuachia Mbowe, mwanae na Lissu. Halafu mkipigwa na kitu kizito hamuachi kulialia mitandaoni.
 
Kwa kweli nchi imelaanika kabisa hii, tuendelee tu tu kuishi ila mambo sio poa hata kidogo.
 
Kuna siku utaomba serikali ikusaidie kupika ugali.

Kulikuwa na serikali ya hovyo kabla ya uhuru? Mbona baba yako alitoboa ki maisha. Serikali haiwezi kukufanyia kila kitu. Changamsha kichwa, baba yako ameacha mashamba mazuri ya na rutuba, wewe umekalia kukaa Dar halafu gengeni ukanunua mazao yaliyotoka kijijini kwenu, wakati hiyo ili kuwa fursa ya wewe kurudi kijijini ukalima na ukawa unauza.

Unasubiri nafasi ya ajira wakati walioajiriwa ndio kwanza wana miaka 25 kiumri, watastaafu lini? Kila sehemu ni pomoni mpaka bhujee
😔

sema bado ujakuwa and probably ni chawa
 
I will be short

Watu tuna hustle sana kupush mambo yetu huko serikalini. Mambo ya viongozi ni chap sisi wengine ni hustle ya miezi kadhaa mambo mambo magumu sana.

Tukutane 2025, Watanzania kama ni mungu anatupiga pigo takatifu.

Hii serikali ya sasa sio yetu.

Ie 2025 mungu atuepushe na serikali kama hii. Isije kutokea tena.
Mwambie aliyekutuma akatafute kiki nyingine ndio maana mambo Yako unayo push huyasemi Wala kueleza ulikokwama.

Mwisho unaemuita Mungu sio mjomba wako
 
Kwa kweli nchi imelaanika kabisa hii, tuendelee tu tu kuishi ila mambo sio poa hata kidogo.
Aliyewatuma amefeli kabla.

By the way mkome kabisa maana kama Kuna awamu mlinugmfaika basi wengine walikoma pia
 
I will be short

Watu tuna hustle sana kupush mambo yetu huko serikalini. Mambo ya viongozi ni chap sisi wengine ni hustle ya miezi kadhaa mambo mambo magumu sana.

Tukutane 2025, Watanzania kama ni mungu anatupiga pigo takatifu.

Hii serikali ya sasa sio yetu.

Ie 2025 mungu atuepushe na serikali kama hii. Isije kutokea tena.
Ulitakaje?
 
I will be short

Watu tuna hustle sana kupush mambo yetu huko serikalini. Mambo ya viongozi ni chap sisi wengine ni hustle ya miezi kadhaa mambo mambo magumu sana.

Tukutane 2025, Watanzania kama ni mungu anatupiga pigo takatifu.

Hii serikali ya sasa sio yetu.

Ie 2025 mungu atuepushe na serikali kama hii. Isije kutokea tena.
SERIKALI YA SASA NI YA RAIA FEKI WANAO AMINI WAO WAKILA NA KUNY*💩 NDIYO WAMEFUNGUA NCHI
 
Mwambie aliyekutuma akatafute kiki nyingine ndio maana mambo Yako unayo push huyasemi Wala kueleza ulikokwama.

Mwisho unaemuita Mungu sio mjomba wako
Chawa wewe enjoy tu . Ukila kuna awamu . Utajutia hizi hustle zote unafanya utalipwa mabaya time will tell. Enjoy
 
I will be short

Watu tuna hustle sana kupush mambo yetu huko serikalini. Mambo ya viongozi ni chap sisi wengine ni hustle ya miezi kadhaa mambo mambo magumu sana.

Tukutane 2025, Watanzania kama ni mungu anatupiga pigo takatifu.

Hii serikali ya sasa sio yetu.

Ie 2025 mungu atuepushe na serikali kama hii. Isije kutokea tena.
Hili neno Mungu ukiliweka kwa herufi kubwa otapendeza.

Ila pia kuhusu watanzania mi sidhani hata wao wenyewe wanajua nia aina gani ya kiongozi wanamuhitaji.
 
Back
Top Bottom