King Sae
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 3,282
- 6,471
Polee sanaaa mkuu...Kazi ndo hizo mtu kanipiga pini 4 months mqmbo yangu yapo pending sababu za kijinga . Nafanya kazi gani sasa ! My part is done ila government part hadi ni mjue mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polee sanaaa mkuu...Kazi ndo hizo mtu kanipiga pini 4 months mqmbo yangu yapo pending sababu za kijinga . Nafanya kazi gani sasa ! My part is done ila government part hadi ni mjue mtu
sasa chama kipi mbadara CHADEMA AU? unawashwa wewe lete chama mbadara chenye chenye sera za kuwagusa wananchiMkipewe ubwabwa na maharage, kapero na Tshirt wote mnakata viuno kusema CCM mbele kwa mbele.
Na hata mkiamua tofauti, ikiwa katiba ndio hii hii, Chura Kiziwi anapita mchana kweupe kwa msaada wa PoliCCM
CCM ni laana na jinamizi litakaloishi kwa muda mrefu sana hapa Tanzania.
Anaewashwa hasa ni mama yako mzazi ambae alienda kudanga kupelekea kupata ujauzito wa mbweha mmoja kama wewe unaeparamia wanaume kwa matarajio ya kulawatiwa upate pesa ya bundle.sasa chama kipi mbadara CHADEMA AU? unawashwa wewe lete chama mbadara chenye chenye sera za kuwagusa wananchi
Anaewashwa hasa ni mama yako mzazi ambae alienda kudanga kupelekea kupata ujauzito wa mbweha mmoja kama wewe unaeparamia wanaume kwa matarajio ya kulawatiwa upate pesa ya bundle.
Tatizo lenu mkiitwa kwenye maandamano kwenda kukataa ujinga wa Chura kiziwi na watu wake, wote mnabaki magetoni na kumuachia Mbowe, mwanae na Lissu. Halafu mkipigwa na kitu kizito hamuachi kulialia mitandaoni.I will be short
Watu tuna hustle sana kupush mambo yetu huko serikalini. Mambo ya viongozi ni chap sisi wengine ni hustle ya miezi kadhaa mambo mambo magumu sana.
Tukutane 2025, Watanzania kama ni mungu anatupiga pigo takatifu.
Hii serikali ya sasa sio yetu.
Ie 2025 mungu atuepushe na serikali kama hii. Isije kutokea tena.
Au mi ndo sijaelewa? Eti nimetafsiri 'nitakuwa mfupi'🤦I will be short
😔Kuna siku utaomba serikali ikusaidie kupika ugali.
Kulikuwa na serikali ya hovyo kabla ya uhuru? Mbona baba yako alitoboa ki maisha. Serikali haiwezi kukufanyia kila kitu. Changamsha kichwa, baba yako ameacha mashamba mazuri ya na rutuba, wewe umekalia kukaa Dar halafu gengeni ukanunua mazao yaliyotoka kijijini kwenu, wakati hiyo ili kuwa fursa ya wewe kurudi kijijini ukalima na ukawa unauza.
Unasubiri nafasi ya ajira wakati walioajiriwa ndio kwanza wana miaka 25 kiumri, watastaafu lini? Kila sehemu ni pomoni mpaka bhujee
Mwambie aliyekutuma akatafute kiki nyingine ndio maana mambo Yako unayo push huyasemi Wala kueleza ulikokwama.I will be short
Watu tuna hustle sana kupush mambo yetu huko serikalini. Mambo ya viongozi ni chap sisi wengine ni hustle ya miezi kadhaa mambo mambo magumu sana.
Tukutane 2025, Watanzania kama ni mungu anatupiga pigo takatifu.
Hii serikali ya sasa sio yetu.
Ie 2025 mungu atuepushe na serikali kama hii. Isije kutokea tena.
Aliyewatuma amefeli kabla.Kwa kweli nchi imelaanika kabisa hii, tuendelee tu tu kuishi ila mambo sio poa hata kidogo.
Ulitakaje?I will be short
Watu tuna hustle sana kupush mambo yetu huko serikalini. Mambo ya viongozi ni chap sisi wengine ni hustle ya miezi kadhaa mambo mambo magumu sana.
Tukutane 2025, Watanzania kama ni mungu anatupiga pigo takatifu.
Hii serikali ya sasa sio yetu.
Ie 2025 mungu atuepushe na serikali kama hii. Isije kutokea tena.
Nisipofurahia awamu ya 6 unataka nifurahie wapi?Mbona ChoiceVariable na chiembe wanafurahia?!
SERIKALI YA SASA NI YA RAIA FEKI WANAO AMINI WAO WAKILA NA KUNY*💩 NDIYO WAMEFUNGUA NCHII will be short
Watu tuna hustle sana kupush mambo yetu huko serikalini. Mambo ya viongozi ni chap sisi wengine ni hustle ya miezi kadhaa mambo mambo magumu sana.
Tukutane 2025, Watanzania kama ni mungu anatupiga pigo takatifu.
Hii serikali ya sasa sio yetu.
Ie 2025 mungu atuepushe na serikali kama hii. Isije kutokea tena.
Nitolee upumbavu wako mkuu!!Aliyewatuma amefeli kabla.
By the way mkome kabisa maana kama Kuna awamu mlinugmfaika basi wengine walikoma pia
Yaani kama mnakoma inatakiwa iwe mara 2 aisee ndio furaha yangu.Nitolee upumbavu wako mkuu!!
Chawa wewe enjoy tu . Ukila kuna awamu . Utajutia hizi hustle zote unafanya utalipwa mabaya time will tell. EnjoyMwambie aliyekutuma akatafute kiki nyingine ndio maana mambo Yako unayo push huyasemi Wala kueleza ulikokwama.
Mwisho unaemuita Mungu sio mjomba wako
Una ukichaa ndugu mchangiaji .Aliyewatuma amefeli kabla.
By the way mkome kabisa maana kama Kuna awamu mlinugmfaika basi wengine walikoma pia
Hili neno Mungu ukiliweka kwa herufi kubwa otapendeza.I will be short
Watu tuna hustle sana kupush mambo yetu huko serikalini. Mambo ya viongozi ni chap sisi wengine ni hustle ya miezi kadhaa mambo mambo magumu sana.
Tukutane 2025, Watanzania kama ni mungu anatupiga pigo takatifu.
Hii serikali ya sasa sio yetu.
Ie 2025 mungu atuepushe na serikali kama hii. Isije kutokea tena.
Pole Kwa maswahibu unayopitia,pambana dawa mambo ya awamu hayatakusaidiaUna ukichaa ndugu mchangiaji .
delutional of inclusion .