FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
1-Mapato ya TRA kuongezeka kutoka wastani wa 1.5T Hadi 2.5T(ongezeko Trilioni 1 )I will be short
Watu tuna hustle sana kupush mambo yetu huko serikalini. Mambo ya viongozi ni chap sisi wengine ni hustle ya miezi kadhaa mambo mambo magumu sana.
Tukutane 2025, Watanzania kama ni mungu anatupiga pigo takatifu.
Hii serikali ya sasa sio yetu.
Ie 2025 mungu atuepushe na serikali kama hii. Isije kutokea tena.