Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Kuna uhuni sana ktk ujenzi wa barabara unaofanyikaBarabara zote mpya zimechakaa balaa. Kuna ile ya kutoka Mbeya kwenda Chunya. Wamepanga hadi iende Tabora. Mashimo matupu. Sema waambie jamaa wasiwe wanaendesha wakiwa kinywaji, ni hatari kuliko mashimo😀
TANROADS POKEENI HII, INAWAHUSU.Habari wana JF, hii video nimeirekodi kwa mikono yangu mwenyewe, inaonesha Barabara ya Dodoma to Iringa jinsi ilivyo hatarishi kwa maisha ya watu wanaotumia, barabara ina viraka vingi na mahandaki mengi sana.
Nimeiangalia kwa jina la kizalendo na kugundua kuwa hii barabara inahitaji matengenezo makubwa.
Barabara hii ni mzigo kwa Serikali na walipa kodi.
Mbaya zaidi Wakala wa Barabara - TANROADS Dodoma wao wanachimba wanajaza udongo wanaondoka, tofauti na upande wa Iringa ambao wao wanaziba mashimo na wanajitahidi ku-maintain barabara.
Wananchi tumelalamika sana kuhusu hii changamoto, ukiangalia hapo kwenye video utaona jinsi gani ambavyo dereva unahitaji kuwa makini, la sivyo unaweza ajali ni nje-nje au kuharibu magari.
Ina tuta kila baada ya 30m,kwangu hii barabara it's a NOBarabara nzuri niliona Mbeya kwenda Sumbawanga ila ni miak imepita sijui nako sahiz hali ipoje
Mkuu iviNaunga mkono hoja hii,T5 ni road to hell na ndio maana royal families ni V8 tu kwa kodi yangu,mwenye IST hapo ataibeba mgongoni!,Tanzania barabara ni bado ,siku tukiukubali ukweli huu na kuanza kufanya kazi smart ndio siku tutaanza kutambaa,wenzetu wa Zambia ile T2 yao wanailamba safi sana,yaani in 40 day's kuingia na kutoka border ya Nakonde itakua super,sisi T1 yetu tunatia viraka,nini wanakifanya pale Kitonga Pass sielewi kabisa,serikali ya ccm hawana anything to brag about
15 au 10?Na haina miaka 15 lakin imechoka vibaya mno
Na ndiye aliyeizindua akiwa Rais... Na wakati anaizindua tayari ilikuwa imeshaanza kuwekwa viraka... angemfokea nani wakati yeye ndiye alikuwa waziri wakati inajengwa????Shujaa ndie aliesimamia barabara hiyo akiwa waziri wa ujenzi
Magufuli ndiye aliyesimamia ujenzi wake na ndiye aliyeizindua akiwa Rais.Hiyo ni barabara ya Kikwete sema Magufuli ndio alikiwa Waziri.
Kumbe mm nilipita 2015 nakumbukaIna tuta kila baada ya 30m,kwangu hii barabara it's a NO
watu walishangaa sana ni kwa nini Magufuli akiwa Rais alikubali kuizindua barabara hiyo iliyojengwa chini ya viwango...Ina tuta kila baada ya 30m,kwangu hii barabara it's a NO
Punguza hasira kamanda, sio mimi niliyesababibisha mvua jijin hali usafir ni daladala. Lazima uwe na hasira tu 😂😂Kwa hii komenti yako unaonyesha ni jinsi gani ulivyo kiazi! Kama taifa tuna hasara kubwa sana ya kuwa na vijana wa dizaini yako .
Jamaa alikua waziri, na nasikia alikataa kuizindua hiyo Barabara kwasababu hakuridhishwa na kiwango cha ujenzi. Lakini boss wake akaenda kuzindua.Marehemu alitupiga sana
Kuna Ile ya Lindi.....dahJamaa alikua waziri, na nasikia alikataa kuizindua hiyo Barabara kwasababu hakuridhishwa na kiwango cha ujenzi. Lakini boss wake akaenda kuzindua.
Pia barabara ya makambako njombe , barabara ya mwanza[nyerere road](nyanguge hadi lamadi)Habari wana JF, hii video nimeirekodi kwa mikono yangu mwenyewe, inaonesha Barabara ya Dodoma to Iringa jinsi ilivyo hatarishi kwa maisha ya watu wanaotumia, barabara ina viraka vingi na mahandaki mengi sana.
Nimeiangalia kwa jina la kizalendo na kugundua kuwa hii barabara inahitaji matengenezo makubwa.
Barabara hii ni mzigo kwa Serikali na walipa kodi.
Mbaya zaidi Wakala wa Barabara - TANROADS Dodoma wao wanachimba wanajaza udongo wanaondoka, tofauti na upande wa Iringa ambao wao wanaziba mashimo na wanajitahidi ku-maintain barabara.
Wananchi tumelalamika sana kuhusu hii changamoto, ukiangalia hapo kwenye video utaona jinsi gani ambavyo dereva unahitaji kuwa makini, la sivyo unaweza ajali ni nje-nje au kuharibu magari.