KERO Hii Barabara ya Dodoma – Iringa ni hatari kwa usalama wa watu na vyombo vinavyopita

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Ila yule mkandarasi aliyejenga barabara ya Uyole Mbeya hadi Malawi ni mkandarasi bora kuliko wote katika barabara zote nilizopita,barabara ina zaidi ya miaka 25 lakini iko fresh
 
Jamaa alikua waziri, na nasikia alikataa kuizindua hiyo Barabara kwasababu hakuridhishwa na kiwango cha ujenzi. Lakini boss wake akaenda kuzindua.
Aliizindua Magufuli mwenyewe akiwa Rais. Sasa kama yeye ndiyo alikuwa Rais, bosi wake alikuwa nani!?
 
Ila yule mkandarasi aliyejenga barabara ya Uyole Mbeya hadi Malawi ni mkandarasi bora kuliko wote katika barabara zote nilizopita,barabara ina zaidi ya miaka 25 lakini iko fresh
upo sahihi mkuu... barabara bora sana ile
 
Aliizindua Magufuli mwenyewe akiwa Rais. Sasa kama yeye ndiyo alikuwa Rais, bosi wake alikuwa nani!?
Mkuu, Fuatilia vizuri. Jiwe la msingi lipo pale Dodoma Maghorofani. Alizindua Boss wake Magufuli na sio yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…