Hii biashara kuuza mwili mpaka vijijini kweli maendeleo yanakuja kwa kasi

Hii biashara kuuza mwili mpaka vijijini kweli maendeleo yanakuja kwa kasi

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Nimestaajabu sana nimekutana na hii hali ambayo nilikuwa naamini ni kwa ajili ya mijini. Tu aisee hii kitu kumbe mpk vijijini swekini ndani ipo watu wanauza na wapo watu wananunua kama kawaida.ila wanawake kwanini wanaaamini kuwa hili nacho bi chanzo cha mapato yao hii dhana kubadilisha inabidi ianze kwa wanaume kuona sio lazima hilo jambo na liwe la kawaida TU
 
Nimestaajabu sana nimekutana na hii hali ambayo nilikuwa naamini ni kwa ajili ya mijini. Tu aisee hii kitu kumbe mpk vijijini swekini ndani ipo watu wanauza na wapo watu wananunua kama kawaida.ila wanawake kwanini wanaaamini kuwa hili nacho bi chanzo cha mapato yao hii dhana kubadilisha inabidi ianze kwa wanaume kuona sio lazima hilo jambo na liwe la kawaida TU
Wewe kwanini unanunua?
 
Yaani, ndio tuko ukongoni mwa Dunia kabisaaa.

Je wanaouuza viungo vyao kama Figo, macho, mikono, uume nk? Je wanokubali walipwe pesa wapandikiziwe mimba ya watu wengine (yaani mwanaume na mwanamke wanakubaliana watoe mbegu zao, then waziunganishe na wapandikize Kwa mwanamke mwingine Kwa malipo)

Na mengi, inashangaza Kwa kweli, watu wanaudhalilisha utu Kwa spidi ya rocket
 
Wewe kwanini unanunua?
Wadada poa hawatusumbui ukimaliza kazi unaendelea na mishe zako na siku ukihitaji unaenda kupunguza uzito. Waache vijana wapate huduma mana tushachoka kuchunwa hela na hawa wa kawaida tunaowaita wapenzi mara ohh nywele ohh chips ohh voucher mara kuna nguo modal flani zimetoka. Saivi hawatusumbui ukiwa na 3000- 5000 huduma uhakika bila garama ya ziada
 
Wadada poa hawatusumbui ukimaliza kazi unaendelea na mishe zako na siku ukihitaji unaenda kupunguza uzito. Waache vijana wapate huduma mana tushachoka kuchunwa hela na hawa wa kawaida tunaowaita wapenzi mara ohh nywele ohh chips ohh voucher mara kuna nguo modal flani zimetoka. Saivi hawatusumbui ukiwa na 3000- 5000 huduma uhakika bila garama ya ziada
Thats lovely. Kumbe wapo kwaajili yenu. Waendelee kuwepo .
 
Nenda maenei ya Tabora sikonge ndanindani huko,mpanda,igunga,nzega n.k
Mbona hii hali ipo hata maeneo mengine tena vijijini kabisaaa....nenda kigoma ndani ndani maeneo jirani na mipakani ni biashara ya wazi kabisa njoo iringa na njombe vijijini huko mbona yanafanyika kwa nini target imekuwa usukumani...
 
Nimestaajabu sana nimekutana na hii hali ambayo nilikuwa naamini ni kwa ajili ya mijini. Tu aisee hii kitu kumbe mpk vijijini swekini ndani ipo watu wanauza na wapo watu wananunua kama kawaida.ila wanawake kwanini wanaaamini kuwa hili nacho bi chanzo cha mapato yao hii dhana kubadilisha inabidi ianze kwa wanaume kuona sio lazima hilo jambo na liwe la kawaida TU
Unataka bure kjjn
 
Back
Top Bottom