Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Huko hakuna Gono wala UTI hakuna mizinga mzee ndio mana demand inazidi kuwa kubwaMkiacha kununua automatically na wai wataacha kuuza..
Maisha kusaidiana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko hakuna Gono wala UTI hakuna mizinga mzee ndio mana demand inazidi kuwa kubwaMkiacha kununua automatically na wai wataacha kuuza..
Maisha kusaidiana.
Mpaka kielewekeMkiacha kununua automatically na wai wataacha kuuza..
Maisha kusaidiana.
Kuna tofauti kati kuuza na kukodi hao wanakodisha miili wewe ukishamaliza hauna haki ya kuendelea kutumia wala kumiliki mpaka pale utapolipa hela tena ya kukodia😆Nimestaajabu sana nimekutana na hii hali ambayo nilikuwa naamini ni kwa ajili ya mijini. Tu aisee hii kitu kumbe mpk vijijini swekini ndani ipo watu wanauza na wapo watu wananunua kama kawaida.ila wanawake kwanini wanaaamini kuwa hili nacho bi chanzo cha mapato yao hii dhana kubadilisha inabidi ianze kwa wanaume kuona sio lazima hilo jambo na liwe la kawaida TU
Kweli kabisa,Hivi vitu hukutani navyo hivi hivi Kama sio mdau na huviwazi.
kwanini umetumia neno mkiacha?Mkiacha kununua automatically na wai wataacha kuuza..
Maisha kusaidiana.
Eeh wanaume mkiacha… ningekuwa mwanaume ningesema tukiacha.kwanini umetumia neno mkiacha?
Ehee,asante.Huwa nafarijika sana nkimuona mwanamke yupo JF.Binafsi naamini ukiingia JF tyari umekombolewa!!Eeh wanaume mkiacha… ningekuwa mwanaume ningesema tukiacha.
Arusha nako kuna wasukuma?Nenda maenei ya Tabora sikonge ndanindani huko,mpanda,igunga,nzega n.k
wanawake wanapaswa kuacha kwanza.Eeh wanaume mkiacha… ningekuwa mwanaume ningesema tukiacha.
Nguvu za kiume ziko nyingi, utawalinganisha na wanaume wa dar ambao mlo wao Ni kile kimfuko kidogo kinachouzwa Mia 2 kimewekewa karanga Chache na vipande vya Nazi.Anakula na kulalia msosi huo 😄😄😄😄.Dar banaHasahasa sehemu ambayo wasukuma wapo
Noma sana!Kabisaaa Wasukuma wakiona mwanamke mweupe hata kama kajichubua wanaenda sana mwalo mwalo(kavu kavu) na wanajisifia.
Ndiyo,wiki mbili zilizopita nilikuwa sehemu inaitwa Usa River Wasukuma kibaoArusha nako kuna wasukuma?
KATI YA WALE MALAYA HAKUNA MAKABILA MENGINE?Ndiyo,wiki mbili zilizopita nilikuwa sehemu inaitwa Usa River Wasukuma kibao