Hii CCM iliyokengeuka ni zaidi ya Mabeberu na Makabwela aliokuwa akiwapinga Hayati Nyerere. Sasa wamebaki kurithishana vyeo na kupiga madili tu

Hii CCM iliyokengeuka ni zaidi ya Mabeberu na Makabwela aliokuwa akiwapinga Hayati Nyerere. Sasa wamebaki kurithishana vyeo na kupiga madili tu

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Hakuna mwana CCM yoyote anayezungumzia juu ya mradi wa JNHP au SGR kwa uchungu. SGR, Moro Dar imebakia story. JNHP ilikuwa ikamilike June 2022 lakini sidhani kama itakamilika maaana mgao wa umeme ndio chanzo cha mafisadi wa CCM kupiga madili ya kifisadi.

Ikiibuka ishu kama kumg'oa Ndugai kwenye Spika au Kuondoa wamasai Ngorongoro utasikia yote yanaunga mkono hoja bila hata kupima maslahi ya taifa kwa mapana.

Yanajinasibu kuwa chama chao ni mali ya koo za akina Mzee Mwinyi, Malecela, Marehemu Moses Nnauye, Mzee Makamba na wengine kibao.

Kwa roho mbaya na dharau yao dhidi kwa wananchi bora hata mabeberu ba makabwela aliowapinga hayati JKN.
 
Hakuna mwana CCM yoyote anayezungumzia juu ya mradi wa JNHP au SGR kwa uchungu. SGR, Moro Dar imebakia story. JNHP ilikuwa ikamilike June 2022 lakini sidhani kama itakamilika maaana mgao wa umeme ndio chanzo cha mafisadi wa CCM kupiga madili ya kifisadi.

Ikiibuka ishu kama kumg'oa Ndugai kwenye Spika au Kuondoa wamasai Ngorongoro utasikia yote yanaunga mkono hoja bila hata kupima maslahi ya taifa kwa mapana.

Yanajinasibu kuwa chama chao ni mali ya koo za akina Mzee Mwinyi, Malecela, Marehemu Moses Nnauye, Mzee Makamba na wengine kibao.

Kwa roho mbaya na dharau yao dhidi kwa wananchi bora hata mabeberu ba makabwela aliowapinga hayati JKN.
[emoji871]Kwani wamasai kata ya Ngorongoro wamekuwa Waisraeli kwenye nchi yao ya ahadi?

[emoji871]Wao pekee ndio wanalishwa bure na serikali ya JMT.[emoji1241]

[emoji871]Wao pekee ndio wanasomeshwa bure na serikali ya JMT.[emoji1241]

[emoji871]Wao pekee ndio wanatibiwa bure na serikali ya JMT.[emoji1241]

[emoji871]Wao pekee ndio wafugaji ambao mifugo yao hutibiwa bure na serikali JMT.[emoji1241]

[emoji871]Hivi hao wamasai wachache ambao kimsingi wanateketeza mifumo ya maliasili uoto wa Ngorongoro.

[emoji871]Na kutishia sekta ya utalii nchini.

[emoji871]Ambayo kimsingi,mapato yake yananufaisha watanzania wote.

[emoji871]Wanalindwa na kudekezwa maslahi ya nani nchi hii??
 
Hakuna mwana CCM yoyote anayezungumzia juu ya mradi wa JNHP au SGR kwa uchungu. SGR, Moro Dar imebakia story. JNHP ilikuwa ikamilike June 2022 lakini sidhani kama itakamilika maaana mgao wa umeme ndio chanzo cha mafisadi wa CCM kupiga madili ya kifisadi.

Ikiibuka ishu kama kumg'oa Ndugai kwenye Spika au Kuondoa wamasai Ngorongoro utasikia yote yanaunga mkono hoja bila hata kupima maslahi ya taifa kwa mapana.

Yanajinasibu kuwa chama chao ni mali ya koo za akina Mzee Mwinyi, Malecela, Marehemu Moses Nnauye, Mzee Makamba na wengine kibao.

Kwa roho mbaya na dharau yao dhidi kwa wananchi bora hata mabeberu ba makabwela aliowapinga hayati JKN.
Jamaa kazi yao ni kutafuna nchi bila huruma
 
Inafikirisha!!
Hakuna mwana CCM yoyote anayezungumzia juu ya mradi wa JNHP au SGR kwa uchungu. SGR, Moro Dar imebakia story. JNHP ilikuwa ikamilike June 2022 lakini sidhani kama itakamilika maaana mgao wa umeme ndio chanzo cha mafisadi wa CCM kupiga madili ya kifisadi.

Ikiibuka ishu kama kumg'oa Ndugai kwenye Spika au Kuondoa wamasai Ngorongoro utasikia yote yanaunga mkono hoja bila hata kupima maslahi ya taifa kwa mapana.

Yanajinasibu kuwa chama chao ni mali ya koo za akina Mzee Mwinyi, Malecela, Marehemu Moses Nnauye, Mzee Makamba na wengine kibao.

Kwa roho mbaya na dharau yao dhidi kwa wananchi bora hata mabeberu ba makabwela aliowapinga hayati JKN.
 
Back
Top Bottom