Hii CHADEMA ya Dkt Slaa pale, huku Tundu Lissu kule Freeman Mbowe pale John Heche na John Mnyika katikati Godbless Lemma CCM kwisha kabisa

Hii CHADEMA ya Dkt Slaa pale, huku Tundu Lissu kule Freeman Mbowe pale John Heche na John Mnyika katikati Godbless Lemma CCM kwisha kabisa

Mbangaizaji wa Taifa

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
493
Reaction score
844
Kama Kuna mziki CCM itapitia tangu kuanza kwa vyama vingi basi ni huu wa CHADEMA ya sasa.

Najaribu kufikiria kama watakuwa na chopa tatu na wakawa na root tatu zitakazoongozwa na Dkt Slaa, Lissu, Mbowe na Heche naamini hii No reform No Election itakuwa ni kama kusukuma mlevi.
 
Kama Kuna mziki CCM itapitia tangu kuanza kwa vyama vingi basi ni huu wa CHADEMA ya sasa.

Najaribu kufikiria kama watakuwa na chopa tatu na wakawa na root tatu zitakazoongozwa na Dkt Slaa, Lissu, Mbowe na Heche naamini hii No reform No Election itakuwa ni kama kusukuma mlevi.
Bangi mbaya sana
 
CHADEMA hii ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
 
Hapo kwanza N'chekee😂😂😂😂. CCM mnaijua lakini. Full ngwamba, full mtiti. Waumini kibao, wapiga kura shindili. Yaani ccm hata awekwe mtoto agombee. Tutapiga kura ashinde. Kura shindili.
Wotyu tokabaut
 
Mchango wetu kukichangia chama imefika shingapi?
 
Mkuu usiwaamshee .....wakutane na Kimbunga usiku wa manane
 
Back
Top Bottom