Hii Challenge Coin aliyopewa Sugu na Balozi wa Marekani ina maana gani?

Sugu ni chawa wa mama tu hata usiwaze mkuu , mama anaupiga mwingi 2025 ndio atajua kuwa alitapeliwa kwa kuaminishwa anaupiga hadi unamwagika😒😒😒😒🀣🀣🀣🀣
 
Wasiojulikana watamuandama mpaka kijulikane
 
Tuwe wakweli na wawazi hii pesa wanaccm hawawezi kupewa kutokana na maovu waliyoyafanya tangu Uhuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…